kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 256
- 460
Chelewa chelewa ,,,,,,,,,,,,,Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.
Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.
Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.
Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,
After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.