Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ila Mwaka 2020 stori zilikuwa tamu sana... kila siku hulali kabla ya Kusoma Uzi wa wananzengo... sahizi daaah!!!

Wanangu au masikhara yamepungua?
 
Nilijua tuu izi anuan za makazi zitaleta kizaa azaaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sio tu anuani za makaazi, kuna hizi kampuni zinazokusanya takataka mitaani, kuna wadada huwa wanapita nyumba hadi nyuma kukusanya hela ya takataka, sasa kuna mmoja nimeanza kumfanyia upembuzi yakinifu. Sema hiyo haitakuwa kimasihara bali planned.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Polen na kazi

Mkoa nilipo tumebahatika kupata mvua siku ya jumanne jioni majira ya saa 12 adi saa mbili ivi usiku, japo yalikuwa manyunyu

Nikiwa natoka zangu shambani kuangalia mazao yangu,gafla naona mbele yangu kuna binti ana mwamvuli anaongea na simu.,,nikatembea haraka nik
Aisee, japokuwa sijawahi leta kimasihara humu lakini hii siielewi elewi, kweli wanawake wamekuwa wa rahisi mno , lakini sidhani kama unajishikia tu mkono kwenda kumla!!! Naona hii kahawa na kashata.
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.

Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.

Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,

After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe
Dah, ukijichelewesha umekwisha..utashindwa kumla.
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.

Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.

Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,

After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.
Wahi ule mapema
 
Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.

Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.

Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.

Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,

After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.
Chelewa chelewa ,,,,,,,,,,,,,
 
Back
Top Bottom