Corosive
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 1,460
- 2,929
Bwana alitoa na bwana akatwaa jina lake lihimidiwe.Nina jamaa angu mmoja naye alikua ni muumini wa hiyo idea yako ya kuhakikisha utelezi upo, ila mwaka 2020 tukamzika.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
). Muhudumu akamleta mpaka room sema alivyofika tu hajaingia ndani demu akakataa akasema siyo yeye. Dah pisi kali haswa mtoto mfupi kiasi mnene kidogo mweupe na kalio kubwa na nywele za rasta ndefu mmh. Nikawaza faster huyu na mchukuaje? Baada ya kugundua mie sio wakarudi wote reception kuendelea kupiga simu kwa wageni wakiume waliokuwa ndani na hatmae wote walikataa maana niliwafuata huko. Basi demu akasema samahani kaka unachaja type C cable? Nikamwambia ninayo akaniambia naomba nikamwambia twende room. Kwa kujivuuuta akakubali. Tulivyofika akachomeka simu akaiwasha baada ya kama dk 5 hivi ilivyofikisha 2%. Akapiga kwa mshikaji wake bado hapatikani akawa kama anapanick. Nikamuuliza huyo jamaa amekwambia amefikia hapa? Akasema ndio nikauliza hujaangalia daftari la wageni akasema sijaona jina sasa sijui kanidanganya? Nikamuuliza kwani huyo jamaa unamtafutia nini ambacho mie sina? Demu akacheka kidogo. Nikaenda kuhakikisha mlango nimeufunga vizuri demu akasimama anataka aondoke. Nikamfuata nikamshika kiuno huku namuangalia akawa ametulia nikajisemea hapa tayari nimekula Kimasihara. Nikamsukuma kuelekea kitandani nikaanza kutafuta weak points hatimae nikagundua ni matiti nilivyo mchezea kama dk 10 dem hoi akadai anaomba aende bafuni. Alivyoenda nikatoka zangu nje nikafunga na mlango ili asitoke nikaenda kuchukua zana (zilikuwepo kwenye gari). Kurudi na yeye ndio anatoka bafuni chezea kidogo nikatunikiwa tunda. Tukapiga story na ndio tukaanza kufahamiana sasa majina na mkasa ulivyoenda mpaka anafika pale. Baada kama ya dk 20 mnara unataka tena nikapiga cha pili hapo ni saa 6 kasoro. Demu akachukua simu akapiga kwa jamaa bado hapatikani. Akaomba aondoke tukapeana namba akaomba nauli ya bodaboda nikampa akasepa.



