BravoZulu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2021
- 1,824
- 3,765
Oya hivi mwanaume unaandikaje "my" ??Masihala ya jana hayo [emoji119]View attachment 2226715
Oya hivi mwanaume unaandikaje "my" ??Masihala ya jana hayo [emoji119]View attachment 2226715
Niache kwanza[emoji41]Naona bikra umekuja kujifunza jinsi ya kugegeduana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmmmh hatauona ufalme wa mbinguMasihala ya jana hayo [emoji119]View attachment 2226715
Sana[emoji23]Kwani mie malaika jaman [emoji85][emoji85][emoji85]
Bikra unaachajwe
Mkuu, eti kwanini Zanzibar wanapata lunch usiku?Usiku nikaenda kupata lunch, kwenye majira ya saa tatu nikarudi chumbani kwangu lakini nikaamua kukaa hapo nje huku nikicheki habari mbili tatu kwenye simu; hawa mabinti waliendelea kupita japo wakati huu walikuwa wakipita mara chache.
Mkuu, eti kwanini Zanzibar wanapata lunch usiku?
Ngoja tusubiri majibu labda ndio taratibu za huko Zenji[emoji23][emoji23]nilijiuliza ili swali pia
Masihala ya jana hayo [emoji119]View attachment 2226715
Bora huyo Ana andikiana na demu kuna wapuuzi anamwandikia mwanaume mwenzake my, mara mambo wapumbavu sana
Kwakweli hapo hakuna jinsi...Kaa chonjo tayari kashawaza kuishi milele uyo[emoji23][emoji23]
Wanaume bwana,endeleeni kuchezea watoto wa watu.Kaa chonjo tayari kashawaza kuishi milele uyo[emoji23][emoji23]
KilemaBora huyo Ana andikiana na demu kuna wapuuzi anamwandikia mwanaume mwenzake my, mara mambo wapumbavu sana
Na laki 5,3 wapo jf kwenye uzi wa kula tunda kimasikhara.1.5M ila laki 9.7 wapo daslam[emoji38]View attachment 2226957
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Pole sana dogo mbona Serikali imetangaza ajira kibao za ualimu huku apply?WAKUBWA HABARI ZENU
WENGI WENU (80%) MNAFANYA KAZ NA MKO NA NAFASI KUBWA TU KWENYE TAASISI ZENU
NAOMBENI MSAADA WA KAZI AU CONNECTION
MDOGO WENU HALI ISHAKUWA TETE
Nilisomaga. BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION
Naombeni msaada wakuu, Pls pls [emoji120][emoji120]
Mi sijasomea Bachelor of Arts and Education but I have those skillsMzee, sijui umemaanisha nini. Ila, huyu ndugu amesomea Bachelor of Arts and Education. Ninachohitaji kujua toka kwake ni kama anafahamu kutumia computer na ktk level ipi, communication and customer care experience, anafahamu lugha gani na gani pengine?
Kama nimecomplicate mambo basi mdau anisamehe.
Duh...sio makambako1.5M ila laki 9.7 wapo daslam[emoji38]View attachment 2226957
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app