NILIVYOLILA JIMAMA SALIMA MZANZIBARI MOROGORO.
Back in 2009 nikiwa mwanafunzi wa SUA na nikiwa nimetoka zangu Mazimbu Campus kwa miguu baada ya kumaliza vipindi vya jioni nikapita vichochoro vya Dark City ili niende ghetto nilipopanga mitaa ya Kihonda Relini.
Sijui nilipata ujasiri wa wapi kulisimamisha limama linene, jeupe na jitu zima. Kwanza nikamuuliza kama ameolewa, akasema kwanini namuuliza hivyo. Baada ya kuniambia hakuolewa akanipa ujasiri wa kuongea naye. Nikaanza chombeza na kulisifia na kuliomba likapaone ghetto kwangu. Nilikuwa naogopa sana wake za watu. Hapo simjui Jina wala anapoishi. Akakubali tukaanza ongozana hadi ghetto kwangu kwani kigiza kilianza kuingia.
Ile kufika ghetto nikawasha subwoofer na yeye alifikia na kukaa kitandani kwani ghetto lilikuwa na kitanda tu, meza za kusomea na sehemu ya kupikia ilikuwa nje kwani nyumba tuliyopanga iliyokuwa nyumba ya nje/uani kwa Profesa fulani wa pale SUA na kulikuwa na vibanda vingi ndani ya Uzio wa nyumba yake.
Baada ya kuwasha Subwoofer, nikalilaza, chukua ndomu yangu na jipigia bila kuliandaa huku simjui jina lake. Saa 4 nikamtoa na kumrudisha kule relini. Njiani ndio tukapeana namba na kuulizana majina. Akaniambia anaitwa Salma.
Yule mama alinipenda sana kipindi hiko ndio balehe imechanganya, sijui alinipendea nini. Nilikuwa nampigia simu tu anakuja najipigia. Akaanza funguka alipoanza nizoea kuwa hana mme ila kuna boss mmoja pale Moro ndio mtu wake ila naye ana mke wake. Yeye ndiye aliyemjengea na amemnunulia Hiace zilizokuwa zinapiga tripu za Mjini-Mazimbu. Akaniambia anataka azae nami kwani kwa umri wake wa 40's hakuwahi kuwa na mtoto na amenipenda na jinsi nilivyo(Mimi mmachame). Akanipeleka hadi kwake na nikatambulishwa kwa mama yake aliyekuwa anaishi naye. Nikawa huru, nikawa kama nimeoa kwani alikuwa amekosana na huyo kibopa wake kipindi hiko. Akaniomba tukapime UKIMWI ili niwe namla kavu kavu ili apate mtoto na yupo tayari kunipa chochote ili nimzalishe.
Sijui nilikuwa na Roho gani na nilikuwa na ukatili wa ajabu nisiyethamini wanawake wala hisia zao. Nikakataa na nikaanza lisimanga kuwa "tajiri na mali yake na maskini na mb...lo yake". Nikampotezea na kumdharau japo alijitahidi nibembeleza na kutuma rafiki zangu ambao ni wanachuo tuliokuwa tumepanga nao wanibembeleze ila niliweka msimamo na kumuacha rasmi.
Nilikutesa na kukunyanyasa Salma wangu. Nisamehe kama bado upo hai au mfu ulikuwa ni umri tu unanisumbua.