Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mwanapole alimfinya yule mke wake sio poa mpaka mke akasema ninapopatikana wakati huo huo akanisanua na mimi nikabidi niache kazi mara moja kwa taarifa ya mdomo na kurudi zangu Dar.

Kusakwa na wanapolo tena ambao hawana hela ni bora usakwe na JWTZ... Alooo sijarudi Arusha mpaka leo

Hahaha, pole sana Mkuu.
 
nimejaribu kupitia nyuzi za humu ila nikagundua kua nyuzi kwa kiingereza ni thread, ila sa itakuwaje

au tumuulize msukule mkuu atupe majibu ya kuridhisha
 
Hahaha nafurahi sana kuwasoma Sua almumin wenzangu

Sema wale wadada wa usafi na wale wanaopita wanauza vitu kipindi hicho ndio first year walisababisha room yangu karibia wote wawe wanakojoa usaha
Wote walitumia azuma

Kilichoniokoa mimi mi nilikuwa na mademu mtaani na nilikuwa natumia kinga na ukicheki nimetoka Manzese na ukicheki jamaa jirani wengi wao waliukwaa so nikikumbuka wadau wanakonda mbavu unazihesabu unakuta mtu anakunywa gongo dawa hataki kumeza basi najikuta naogopa . Wale washamba waliumia
Aiseeeeee
 
NILIVYOLILA JIMAMA SALIMA MZANZIBARI MOROGORO.

Back in 2009 nikiwa mwanafunzi wa SUA na nikiwa nimetoka zangu Mazimbu Campus kwa miguu baada ya kumaliza vipindi vya jioni nikapita vichochoro vya Dark City ili niende ghetto nilipopanga mitaa ya Kihonda Relini.

Sijui nilipata ujasiri wa wapi kulisimamisha limama linene, jeupe na jitu zima. Kwanza nikamuuliza kama ameolewa, akasema kwanini namuuliza hivyo. Baada ya kuniambia hakuolewa akanipa ujasiri wa kuongea naye. Nikaanza chombeza na kulisifia na kuliomba likapaone ghetto kwangu. Nilikuwa naogopa sana wake za watu. Hapo simjui Jina wala anapoishi. Akakubali tukaanza ongozana hadi ghetto kwangu kwani kigiza kilianza kuingia.

Ile kufika ghetto nikawasha subwoofer na yeye alifikia na kukaa kitandani kwani ghetto lilikuwa na kitanda tu, meza za kusomea na sehemu ya kupikia ilikuwa nje kwani nyumba tuliyopanga iliyokuwa nyumba ya nje/uani kwa Profesa fulani wa pale SUA na kulikuwa na vibanda vingi ndani ya Uzio wa nyumba yake.

Baada ya kuwasha Subwoofer, nikalilaza, chukua ndomu yangu na jipigia bila kuliandaa huku simjui jina lake. Saa 4 nikamtoa na kumrudisha kule relini. Njiani ndio tukapeana namba na kuulizana majina. Akaniambia anaitwa Salma.

Yule mama alinipenda sana kipindi hiko ndio balehe imechanganya, sijui alinipendea nini. Nilikuwa nampigia simu tu anakuja najipigia. Akaanza funguka alipoanza nizoea kuwa hana mme ila kuna boss mmoja pale Moro ndio mtu wake ila naye ana mke wake. Yeye ndiye aliyemjengea na amemnunulia Hiace zilizokuwa zinapiga tripu za Mjini-Mazimbu. Akaniambia anataka azae nami kwani kwa umri wake wa 40's hakuwahi kuwa na mtoto na amenipenda na jinsi nilivyo(Mimi mmachame). Akanipeleka hadi kwake na nikatambulishwa kwa mama yake aliyekuwa anaishi naye. Nikawa huru, nikawa kama nimeoa kwani alikuwa amekosana na huyo kibopa wake kipindi hiko. Akaniomba tukapime UKIMWI ili niwe namla kavu kavu ili apate mtoto na yupo tayari kunipa chochote ili nimzalishe.

Sijui nilikuwa na Roho gani na nilikuwa na ukatili wa ajabu nisiyethamini wanawake wala hisia zao. Nikakataa na nikaanza lisimanga kuwa "tajiri na mali yake na maskini na mb...lo yake". Nikampotezea na kumdharau japo alijitahidi nibembeleza na kutuma rafiki zangu ambao ni wanachuo tuliokuwa tumepanga nao wanibembeleze ila niliweka msimamo na kumuacha rasmi.

Nilikutesa na kukunyanyasa Salma wangu. Nisamehe kama bado upo hai au mfu ulikuwa ni umri tu unanisumbua.
Nipo moro nipm namba yake
 
Nakumbuka nilialikwa na Shirika Moja lisilo la Kiserikali (NGO), linalo jishughulisha na mambo ya watoto walio ktk mazingira hatarishi, mkoa fulani, kutoa mafunzo! Waliniandalia chumba cha kulala gorofani ktk ofisi zao...
Kuwa mkweli mkuu,
Ulipata usingizi siku hiyo?
 
Ni Jana tuu npo kweny basi natok mby kuchkua chet, Mara nikawa naikagua kagua blog yangu brieflyhow.com
Bas kweny sit nlbahtik kukaa na kadem kamoj kakawaid sikakawa kanazoom screen yang bas nkajiongza nkaend kweny about page Kule Kuna pich yang sikakaion kakaniulz Kwan iyo blog Ni yako nikajib ndyo bi yang katk style Fulani ya kutokujal Mara kakanip hongra kakiwa Kama kananikubal ivi . Bas story zikaanzia mara stor 2 3 nkaingizia utan wa hap n pale ..... Nkagndua Kama kapo kweny bajet halaf gar infik usiku bas mzee njakaalik guest japo nlkuwa nmfika nkalpia chmb na kukdangny kuwa na mm sijfik bado ebwana ee usiku Sasa kiulain kakanip vuwil na asubuh nkapig kimoj kakaondk nkakaongzea na ya kula njian.

Kwa huo muandiko sipati picha ya huyo dada alikua ni wa aina gani
Jifunze kuandika kama mtu mzima mkuu..
 
Mwana kimasihara huyu....
Povu ruksa
IMG-20220111-WA0002.jpg


Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Dah... Nimedisaaa
Maana nimemkumbuka bek tatu wa Broo kipindi naishi kwake... Yule dada Mungu abariki sanaaa huko aliko...maana tume tom...bana sanaaaaa kila sehem mpaka Njee kwenye kumwagilia mauaaa.Mtoto mzurii hatarii

Sent from my SM-A125F

Dah... Nimedisaaa
Maana nimemkumbuka bek tatu wa Broo kipindi naishi kwake... Yule dada Mungu abariki sanaaa huko aliko...maana tume tom...bana sanaaaaa kila sehem mpaka Njee kwenye kumwagilia mauaaa.Mtoto mzurii hatarii

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Lete kisa hicho
 
Back
Top Bottom