maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,536
- 1,360
Inasimama kwa percentage flan lakini sio maximumMpk inafikia kupiga bao, maana ake ilisimama mpk mwisho.
Hakuna mbow inapiga bao imelala bwashee[emoji4]
Inasimama kwa percentage flan lakini sio maximumMpk inafikia kupiga bao, maana ake ilisimama mpk mwisho.
Hakuna mbow inapiga bao imelala bwashee[emoji4]
Tafiti mbalimbali zinaonyesha kwamba wastani wa Maumbile ya Uume kwa wanaume walio wengi duniani Ni urefu wa Inch 5.45
Ambapo,
Kutokana na mtizamo wa Wanawake walio wengi duniani jinsi wanavyoyachukulia maumbile ya wenza wao,
Ukubwa wa maumbile umeweza kugawanywa katika makundi mbali mbali
1. MKUBWA
- Uume mkubwa Ni kuanzia inch 6.3 MPAKA 7.1
NB: kuanzia inchi 7.1 na kuendelea, inachukuliwa Ni mKUBWA zaidi (extra large)
2.KAWAIDA
-Uume wa kawaida Ni kuanzia inchi 5.5 MPAKA inchi 6.2
NB: kuanzia inchi 5.5 kushuka chini, inachukuliwa Ni NDOGO.
3. MDOGO
-Uume mdogo Ni kuanzia inchi 4.6 MPAKA inchi 5.49
4. MDOGO ZAIDI
-Uume mdogo zaidi ni kuanzia inchi 4.5 kushuka chini
Ambapo,
- Wanaume wenye uume mdogo zaidi wakiwa na wastani wa Inch 3.8- NORTH KOREA
-Wanaume wenye Uume mkubwa zaidi wakiwa na wastani wa inchi 7.1- CONGO DRC
Pia, utafiti unaonyesha kwamba
[emoji117]Bara la AMERIKA KUSINI ndilo linaloongoza DUNIANI kwa wanaume wengi wenye Uume mkubwa zaidi.
- EQUARDOR inch 6.9
-VENEZUELA inch 6.7
-COLOMBIA inchi 6.7
-BOLIVIA inch 6.5
-BRAZIL inch 6.3
-PERU inch 6.3
[emoji117]Bara la ASIA ndilo linaloongoza DUNIANI kwa wanaume wenye Uume mdogo zaidi duniani
- NORTH KOREA inch 3.8
-INDIA inch 4.0
-THAILAND inch 4.0
- UFILIPINO inch 4.2
-TAIWAN inch 4.2
- SOUTH KOREA inch 4.3
-CHINA inch 4.3
-JAPAN inch 4.3
-VIETNAM inch 4.3
[emoji117]Barani Africa,
Uume mkubwa nchi zinazoongoza Ni -CONGO DRC (7.1 inchi),
-GHANA (6.8 inch) ,
-SOUTH SUDAN (6.4 inch)
NB: Tanzania haimo, Tanzania Ni inchi 4.56
[emoji117]Barani ULAYA,
Uume mkubwa nchi zinazoongoza Ni
NB: Uingereza haimo, Uingereza ni inch 5.5
- HUNGARY inchi 6.5
- CZECH REPUBLIC inch 6.3
[emoji117]Barani AMERIKA KASKAZINI,
Uume mkubwa nchi zinazoongoza ni
-JAMAICA inch 6.4
-PANAMA inch 6.4
-POERTO RICO inch 6.3
NB: MAREKANI haimo, MAREKANI Ni inch 5.0
[emoji117]Barani AMERICA KUSINI,
Uume mkubwa nchi zinazoongoza
-EQUARDOR inch 6.9
-VENEZUELA inch 6.7
-COLOMBIA inchi 6.7
-BOLIVIA inch 6.5
-BRAZIL inch 6.3
-PERU inch 6.3
[emoji117]Barani ASIA,
Uume mkubwa nchi zinazoongoza ni
- SINGAPORE- Inch 4.54
-MALAYSIA inch 4.52
-HONGKONG inch 4.41
-BANGLADESH Inch 4.41
View attachment 1808358
Picha zitaharibu uzi .picha picha picha.. kielelezo na picha MKUU
Unakimbizwa ama?Uliona Mana Sasa ya mtu wa kwenu mkuu. Binafsi nimejifunza mengi Sana duniani hapa.
Kuna muda nilikuwa na wazungu kwao huko twapiga misele wananionyesha mji wao Moscow. Underground train bana tunakutana na mdada black aka smile Ile kuniona namie too
Bahati nzuri tukashukia kituo kimoja.
Nikamfuata tukafahamiana Ila nilipata SoMo kubwa Sana yaani hata baada ya kurudi Bongo kubabake nilienda kutafuta binti kijijini kwetu yaani nyumbani kwetu nikaoa mpaka saivi namshukuru Mungu mie mwenyewe ndo Nina matatizo madogomadogo Ila kwake hakuna sijaona shida nashukuru Mungu.
Aisee nyumbani ni nouma mzazi asikauambie mtu sijui love haingalii.
Zile sexual emotionsor ugeni wa kitu ukishaisha nakuambia Kama hamna many shits in common umeisha.
Mana uzuri wa kitu ni mwanzoni pale kabla hujawa nacho.hapa ni SoMo kwa bachelor mwenye kufahamu na afahamu
Aiseeee. Huko makumazani wapo wengi sana.Hapana kiongozi nimeshuhudia ya kuchekesha
Eti kaka mtu anamfumania dada ake alio olewa na mwanaume mwingine anadai fidia [emoji1787][emoji1787]
Chengine demu uliyemtongoza usimuamini
Ila huku kuna watu washamba sana sema mademu wenyewe Mapepe eti ukimuhudumia demu ndio mke wako kwahyo akisimama na mwanaume kidume unaleta vurugu
Hahahhahahahhah vipi Mabahari washamla shemeji nini na pengine wamefika mpaka kwa mpalangeHili swala la kula wake za watu qmmk* mtakuja sukumwa tope
RelaxHili swala la kula wake za watu qmmk* mtakuja sukumwa tope
AiseeeeHakuna faida ya kufa mzima
angalia vizuri mwandiko, huenda nikawa mwalimu wako ila hujajua. Mie na mikiot ni watu wawili tofauti kabisaNina wasiwasi huyu Mpembawise atakua ni Mikito Mikito. [emoji23][emoji23]
Oa, ni moja kati ya mambo mema kabisa.Daah kuoa n Kama kanuni tu. Sitaoa
Hv ilikuwaje mkuu ukakimbia ule uzi wa wazee wa mikeka ukaja kwenye nyuzi za Dick dick?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee umeiona wapi?[emoji4]
Hata mimi naona tunachezea humo sijui tunagundu gani sisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chukua rula na tepu jipime mwenyewe ujijue size yako,
huo Ni wastani TU kimahesabu.
Ila wengi TZ wanachezea humo humo mkuu,
ukijiona uko above that avarage Basi nawwe kibongo bongo unanafas ya kutamba [emoji4]
Hz nchi 2 sindio dem akikohoa zinachomoka? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnawasitiri wenzenu wale wenye nchi 2 na nchi 3[emoji4]
Mkuu inamaana wa nchi 1 wapo? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapi mpk wa magobole ya nchi 18 chief[emoji4]
wengine vibamia vya nchi 1[emoji4]
suala linalozungumzwa ni wastani, yaani JUMLA ya wore gawanya kwa idadi[emoji4]
Vp hasira zimeisha[emoji39]![]()
muhimu sana hii[emoji122]Tukiacha kula masihara pia tunakumbushana
Note
Ukimuita demu guest usimwambie guest gani wewe lipia chumba toka nje tembea kaa eneo tofauti na guest haionekani msubirie akija nenda nae
Asiwe anachezea chezea simu usiruhusu ilo kabisa akifika akitaka aishike jifanye ume mind mwambie weka simu mfukoni uzime sitaki usumbufu mimi
Kuna jamii na sehemu nyengine za kifala sana hasa hawa wanyantuzu wa huku baridi nilipo kwa sasa