Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ubuyu, asante wajukuu wa babu Issa

Ngaramtoni, June 2012

Miaka hii nlikua wa moto bado, kichwa kinakimbia muda wote. Na nlikua nafatilia codes za mavazi, siwazi pango. In a normal day, ntatoka home nanukia Baccarat Rouge 540, nywele nmezitia mafuta zameta, nkiongea kila neno linasikika, na nguo simple ila zenye kunikaa vema. Nlikua nna date na mtoto mmoja wa kipare, alikua akijitahidi kupanga kabati langu ili nisionekane mchovu.

Majira ya saa 11 jioni, niko stand ya ndani Ngaramtoni nkitoka salimia washkaji narudi kwangu Njiro. Nasubiri daladala, hii siku zilikua adimu mno. Mkononi nna Huawei Y100 nkiperuzi page kadhaa mtandaoni, muda huo Nokia Asha iko mkono wa pili, nkiwa nmevaa donda la kueleweka. Wakati nasubiri gari, nlikua nkipepesa macho kuangalia abiria wengine pia. Macho yangu yakagota kwa mtoto mmoja alokua akila ubuyu wa kwenye pakiti ndogo.

Alikua kavaa wigi, lililomkaa vema, miwani mizuri ilokua na frame ya pinki. Alivaa kigauni chekundu, kina vidoa vyeupe kilichomkaa vema hadi chini ya magoti. Upande mmoja kaeka handbag ya ngozi, na Koti ya suti kuikumbatia. Ubuyu mmoja akiuweka mdomoni ulimumunywa hata nkawa nasikia vile unaisha na mbegu ikitemwa. Pembeni yake kulikua na wamama wauzao mboga za majani, nao kama mimi tulikua tukiduwaa na ule urembo wa huyu binti. Nadhani hata wao walitamani wawe wanaume, ili tu wafurahie ule uumbaji wa Muumba.

Nkaweka simu mfukoni, nkakohoa kidogo kusafisha koo sauti iwe safi. Nkaanza kuhesabu hatua kumfuata, nkiwa nawaza nimsalimie tu na moyo wangu uridhike. Kila hatua ilichukua hatua zaidi ya dakika 10, mita zile chache zikageuka uwanja wa mpira. Hatimaye nilifika, nkawa nko pembeni yake, hakika nlikosa vingi nkiwa mbali, sikuweza sikia haya manukato yake ya kike yenye kunukia vema wala kuiona ngozi yake nyororo.

Nlitabasamu, nkimwangalia kisha nkamwomba anigaie ule ubuyu. Alikua ananipa mwingi, nikamwambia moja yatosha, nataka nionje tu. Tabasamu langu lilimtoa woga, akajua huyu ni kaka mwema sio wale mafisi waokota mizoga. Nkawa naumumunya ule ubuyu huku nkimshukuru na kumuangalia kwa ukaribu zaidi. Nlivomaliza, nkabadili hali ya sura kama alokula jiwe, binti akauliza vipi?! Nikamwambia hapa hamna ubuyu, wamekuibia. Nkampa namba, na kumwambia siku akihitaji ubuyu mzuri anipigie ntampelekea.

Nafika home, imeingia msg kwenye simu. "J3 nlitee ubuyu" akinielekeza office yake, nikampelekea ubuyu original kutoka kwa wajukuu wa babu isa kiasi kidogo. Ulipoisha akaandika na leo nletee wa sh 5000 ili nsikusumbue, nkasema kashanasa huyu. Ile msg sikuijibu, hadi yalipopita masaa mawili "Sipo home, nkupitie tukachukue" Muda huo nipo home. Alipotoka kazini akanipigia, nkamuelekeza.

Kaja home, nkamkaribisha, nkamwomba angalau anywe maji au juice aniachie baraka pale home. Alipokunywa juice akabakiza kidogo, nkaichukua glass, nkatafuta alipoweka mdomo nkaweka wangu na kunywa. Nkaona anacheka na kuweka aibu aibu. Anainuka nimsindikize, nkamkumbatia nmuage.

Nmesimama kumkumbatia ukuni umesimama. Akawa aona aibu nkamchokoza kwa kumkumbatia mno na kutoa pumzi, na kumshukuru kwa kuja. Muda huo naongea story ambazo zipo, nlihakikisha ana uhisi ukuni ulivosimama ili autake. Kumbatio langu lilimlegeza.

Nkaletewa kisima cha mate, nkawa naburudika polepole, sikuwa na haraka. Kumbe alikua ashakufa, mji ushalowa. Nkamsogeza mezani, gauni likapandishwa, tight na chupi vikatupwa, suruali yangu ikashuka mpaka magotini.

Hakika aliuchezea ukuni, meza ikitupa ushirikiano kwa kutotoa mlio wala manung'uniko. La kwanza akavunja pale, nami nkajitahidi nimalizie nisimchoshe.

Akaaga akaondoka, amepata ubuyu na dafu kavunja. "Naomba usinitafute tena" ndo msg nlipokea usiku ule. Sikujibu chochote, maana hata mimi sikua na plan nae.

Mwezi mmoja mbele, imeingia msg "hey, it's me ubuyu, naomba tuongee" Sikua nmefuta namba, nikamwambia home wapajua njoo. Akaja home that Friday, it was all Fxxxccking hadi jtatu anaenda kazini, hakuna kilichoongelewa. Jtatu alipoondoka, akaandika ujumbe "am leaving him and everything for you, nipokee" Akawa anaileta rasmi kuchakatwa. Tukapoteana 2015 baada ya mambo kuwa mengi.

Tukakutana 2020, akiwa anataka kuolewa na alipigwa game la karne la kumaliza shombo zote....

Tea masala
 
Da kwa hali hii mbinguni ni mbali Sana sio kwa uzinzi huo
 
na huwezi kua na masihara nyingi kiasi hiko.....kiuhalisi kila mwanaume ana masihara moja tuu ikizd mbili sasa mpemba mpaka hapa masihara 6......sad
sio kweli. mimi zinafika hata 10,sema sina muda wa kuleta zote. Nyingi wanawake ndo walijitengenezea mazingira ya kuniingiza kwenye 18. Mtu mwenye mvuto ni rahisi sana,kwa sababu mwanamke anakuwa anakutaka ila hawezi kukutongoza. So anakuweka mazingira ya faragha ukielewa unapiga.
Mwaka mmoja nilisafiri kikazi,dada mwenyeji anakawa anakuja kunichukua na gari yake ofisini kila siku saa 1 kunipeleka lodge. Niliogopa kumtongoza ili nisivunje heshima pale ofisini kwao. Siku moja akaniuliza kwenye sms mbona sionyeshi kama namvutia? Jioni yake nikamkaribisha room nikamla.
 
Leo nimezama kwa demu wangu mara paa jiran yake amekuja,hapa nipo nimejificha chumban nyuma ya mlango, halafu hana dalili za kutoka.
Daaahhh, umalaya huu bwana , acha tu hata kichwa cha chini kimeshalala.
Hawa single mother wanatutesa jamani.
Halafu germ la watani karibu linaanza
N.b
Huyu jiran ananijua A Z, tupo ofisi moja
 
sio kweli. mimi zinafika hata 10,sema sina muda wa kuleta zote. Nyingi wanawake ndo walijitengenezea mazingira ya kuniingiza kwenye 18. Mtu mwenye mvuto ni rahisi sana,kwa sababu mwanamke anakuwa anakutaka ila hawezi kukutongoza. So anakuweka mazingira ya faragha ukielewa unapiga.
Mwaka mmoja nilisafiri kikazi,dada mwenyeji anakawa anakuja kunichukua na gari yake ofisini kila siku saa 1 kunipeleka lodge. Niliogopa kumtongoza ili nisivunje heshima pale ofisini kwao. Siku moja akaniuliza kwenye sms mbona sionyeshi kama namvutia? Jioni yake nikamkaribisha room nikamla.
kwahyo mkuu una mvuto??....mimi masihara nimepga moja tuu maishani
 
Leo nimezama kwa demu wangu mara paa jiran yake amekuja,hapa nipo nimejificha chumban nyuma ya mlango, halafu hana dalili za kutoka.
Daaahhh, umalaya huu bwana , acha tu hata kichwa cha chini kimeshalala.
Hawa single mother wanatutesa jamani.
Halafu germ la watani karibu linaanza
N.b
Huyu jiran ananijua A Z, tupo ofisi moja
tuma sms amfukuze huyo jirani
 
Mtunzi Mzuri Wa "Short Stori

na huwezi kua na masihara nyingi kiasi hiko.....kiuhalisi kila mwanaume ana masihara moja tuu ikizd mbili sasa mpemba mpaka hapa masihara 6......sad
Nmeanza kutia 2001, hadi leo ni miaka mingapi?! Kwa kazi yangu kwa uchache naeza kaa sehemu mpya hadi 4 kila mwaka, na mwaka mzuri kila mwezi niko njiani. Na kila sehemu nliyoenda nliwahi kugusa.
NB: sijawahi kuogopa mwanamke, ikichomoka najua ni sawa, kukataliwa ni 40% ile 60% ndo tunasimulia.
Btw, mengine waeza ruka maana hayakai katika kichwa chako, huenda ni mzee sana kuyajua au mtoto sana kuyafikia
 
sio kweli. mimi zinafika hata 10,sema sina muda wa kuleta zote. Nyingi wanawake ndo walijitengenezea mazingira ya kuniingiza kwenye 18. Mtu mwenye mvuto ni rahisi sana,kwa sababu mwanamke anakuwa anakutaka ila hawezi kukutongoza. So anakuweka mazingira ya faragha ukielewa unapiga.
Mwaka mmoja nilisafiri kikazi,dada mwenyeji anakawa anakuja kunichukua na gari yake ofisini kila siku saa 1 kunipeleka lodge. Niliogopa kumtongoza ili nisivunje heshima pale ofisini kwao. Siku moja akaniuliza kwenye sms mbona sionyeshi kama namvutia? Jioni yake nikamkaribisha room nikamla.
Ambao wanakaa sehemu moja kama sofa ya babu hawaezi kukuelewa.

Tembeeni, tokeni makwenu mjifunze.
 
A girlfriend turns lesbian

Muda hubadilisha watu, muda huongea. Kuna wakati tunaokota dodo kwenye mwarobaini

Arusha 2012, Rastaaaaaaaa haile

Nlikua nafanya kazi mbili tofauti ili mkono uende kinywani. Ilikuw ngumu lakini nlizoea, kutokana na asili ya kazi yangu nkawa najua kila chocho yenye cafe nzuri maana ndo sehemu nafanya vikao or kumaliza muda nikifanya kazi za watu.

Moja ya masiku, nmekaa icecream shop nna stress za mwaka. Wakaingia wadada wawili, weupe, mmoja mwembamba mmoja mnene, wakiwa wana furaha mno. Saa nzima wamekaa wakipiga story na kutabasamu, nkawa najiuliza mbona mimi sina furaha?! Nkawa namalizia ice cream nlizoagiza huku nkiwaza kuwaingia na kuwala.

Nlikua nna wallet moja ya ngozi, ikiwa ina card moja ya bank pamoja na business cards. Nkaona hapa lazima niwale mmoja wao, plan yangu ikiwa ni yule mwembamba. Nkainuka pale, nkaacha wallet nkijua wazi wakigeuka wataiona, hata wasipoiona akiona mtu wa cafe angeiona.

Nkaondoka nkiwa nna 20% za mafanikio. Mpaka nafika home bado sijapata lolote. Nkawa nmekaa nabadili channels za tv nkiwa sina a wala b. Saa 5 hivi usiku simu ikaita, "bro ulisahau wallet yako" Nkamuitikia asante.

Siku ya pili nkamwambia achukue pikipiki aniletee, nitalipia. Muda huo sijui ni yupi kati yao atakuja au nnaongea nae. Bodaboda nkamuelekeza nlipo, kwakua nyumba zilikuwa zimepangwa vema mtaa nnaoishi, haikua vigumu kunielewa.

Nkatoka kupokea namuona ni yule mnene. Nkasema si mbaya sana, kumbe mtego ule unaeza fanya kazi. Nkamkaribisha ndani, nikafungua friji nkamtolea ice cream ya ½kg. Nikamwambia sina la kukulipa, japo ice cream ule ujisikie raha. Nkatoa vijiko na tukawa tunakula huku tukupiga story za kujuana.

Namuangalia usoni, naona ice cream kwenye mdomo wake, ikasababisha nione vile midomo yake ilivyo laini na midogo. Kisura chake kipolee, akitabasamu nawe unalazimika kutabasamu.

Nikamwambia hebu nkufute, alivosogeza mdomo sikufuta kwa mkono, bali mdomo. Out of nowhere we kissed, na shughuli ya kula ice cream ikaishia hapo. Nkamla, and she was so sweet, ana mashine laini sijawahi ona yaani ni well kept and maintained. Akawa my +1, na hata akinikuta na girlfriend wangu hakuwa aki-mind, na kuna siku alisikia girlfriend wangu anatoka na mtu. Aisee bibie alimuwashia moto ni kinyama. Tukapoteana 2014.

2019 Dec, tukakutana ndani ya jiji la Makonda. Tukapiga story mbili tatu, nkaja jua now kawa lesbian, na ana furaha huko pale anavowasaga wenzie. Kwa kua ni rafiki nkawa nmepokea vile alivonambia, na kuchukulia ni hali ya kawaida. Ujinga ni kuwa mke wake wa sasa namjua, na akizinguliwa anakuja kusema kwa shemeji. Moja ya masiku kaja omba 3some, demu amtafute yeye ili tukamtie tu...

See you when am free, a few left, will type as I remember them. Nyingine naacha codes zake ni rahisi kukunjuka
 
Back
Top Bottom