MEGATRONE
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 948
- 1,772
Kuna dem nimekutana nae aisee ana bonge la tako daah noma sana! Katika kumfatilia nyumanyuma nijue anaelekea wap kumbe kuna miamba miwili nayo inamfatilia mmoja akawa anamuomba namba lakini hajafanikiwa! Me kanipatia ntawapa mrejesho! Ila ase tako lina nguvu huyu manzi njia nzima alkuwa anaangaliwa yeye tu😂😂😂