toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,840
- 10,267
Mchungaji mbona kama unatembea sana na huu uzi hatua kwa hatua?
Mchungaji mbona una ID FAKE kama hawa unaowaita wazinzi na waesherati?
Mchungaji mbona una maneno makali yasiyo staha kwa ajili ya kuwafungisha mataifa?
Tuanzie hapo kwanza mchungaji maana naona unaenenda sawa na wazinzi na waesherati kwa maneno yasiyo na hofu na upole huku kila kona ya kimasihara uko nayo, sa kama leo ni jpili we umeamukia huku kondoo utawarudisha zizini salama kweli?
Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
nimecheka daaaah hatari sana