Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

unajua huu uzi, ndo umenifanya niwajue watu vizuri, wanavo jionaga wao innocent kumbe nao ni wale wale tyuuh, nawazoom tyuuh. Khaaaah

Ila huu uzi mtamu.
Wanadamu wanaafiki sana kujifanya watakatifu kumbe hawana lolote!Humu hatujuani wala nini hata km tunajuana isiwe hoja wengine kujiona bora kuliko wenzao!
Mi naufatilia haswa watakaoniona wa hovyo sawa tu!mimi si mkamilifu nina madhaifu yangu na hili laweza kua ndo dhaifu langua...
Uzi mtamu na unanyegesha kichiziiii!!!!!
 
Wanadamu wanaafiki sana kujifanya watakatifu kumbe hawana lolote!Humu hatujuani wala nini hata km tunajuana isiwe hoja wengine kujiona bora kuliko wenzao!
Mi naufatilia haswa watakaoniona wa hovyo sawa tu!mimi si mkamilifu nina madhaifu yangu na hili laweza kua ndo dhaifu langua...
Uzi mtamu na unanyegesha kichiziiii!!!!!
hahah
 
Yule mzee wa picha za studio ka vile namwona alivyosababisha watu kula tunda kimasihara
 
Wanadamu wanaafiki sana kujifanya watakatifu kumbe hawana lolote!Humu hatujuani wala nini hata km tunajuana isiwe hoja wengine kujiona bora kuliko wenzao!
Mi naufatilia haswa watakaoniona wa hovyo sawa tu!mimi si mkamilifu nina madhaifu yangu na hili laweza kua ndo dhaifu langua...
Uzi mtamu na unanyegesha kichiziiii!!!!!
Usijipe shida Mwaya.... Tunaishi kila siku na kufa mara moja..

Fanya maisha, hakikisha una familia yaan watoto , hakikisha wanapata huduma boraaa na uwaweke mazingira maziri

Baada ya hapo...Mkumbuke Carlos The Jackal mkutane mpeane marahaa siku zinasongaa
 
YESU KRISTO alikuja duniani kwa ajili ya wale waliopotea na siyo kwa ajili ya wenye haki.

Na mimi nimeingia kwenye huu uzi kwa ajili ya kuwahubiria ninyi "wazinzi" na "waasherati" habari Njema ya Ufalme wa MUNGU.

BABA MUNGU anawapenda sana na ndiyo maana alimtoa Mwanae YESU KRISTO afe kifo cha aibu na mateso kwa ajili yenu ninyi. MUNGU anawapenda sana, wala hawachukii. Mnachotakiwa kufanya ni kubadilisha tu mitazamo yenu na kuacha uchafu huu na kuwa WATIIFU kwake.
MUNGU anataka kuwapa ninyi wazinzi na waasherati ufalme wake wa mbinguni lakini hawezi kuwapa ikiwa hamtaacha tabia zenu chafu.

Jamani, ikimbieni zinaa maana wazinzi na waasherati hawatauona kamwe ufalme wa MUNGU. Lakini mkitubu na kuacha hakika mtasamehewa kabisa na kukaribishwa kwenye ufalme wa MUNGU.
We kalio, samahani, naomba kujua mara ya mwisho kuingiziwa kijinga cha moto matakoni ni lini?
 
Jana nmewauomba mnishaur kuhusu Mdada mmoja alotaka apite au asipite ??



Nikaona hamna upendo, ivo nikaamua apite licha yakua Jana yake nilikua nmekojoa bao tano, huyu nmempa tatu , uaambiwa bao zoteee tatu nmepiga saa moja moja .


Huyu Dada niliamua apite. Kwa sababu nilikua sijawah kumla, pia tuna wiki moja ya kuwasiliana tu.


NI MKE WA MCHUNGAJI WA KANISA MOJA LA KIROKOLE.

Kwa alichonisimulia, nikagundua nayeye anahasira za kulipiza kisasi kufuata tabia ya Mchungaji kula kula kondoo wake.



NIMETEMBEA NA LUNDO LA WANAWAKE WA KILA AINA, NIMEPATA MKE NA WATOTO JUUU.

HAO WOTEE NASEMA HAO WOTEEE, HAWAKUWAHI KUNIPA MAHABA KAMA HAYAA ALONIPA HUYU BIDADA.


jamaan kuna wanawake wanajua kutumia Ndimi na lips zao, kuna wanawake wakata mauno kwa ustadi, kuna wakati wanajua kuamsha hisiaaa

SIKUTEGEMEA KATAKATA. KWA MWANAMKE TENA MKE WA MTUMISHI. ajue mambo haya namna hii


Alijifunzia wapi??? Je mchungaji anapewa haya?????.

Nmemuinulia mikono..


MAAJABU YA MWAKA..NILIPOMPA 50K YANGU, AKAKATAA KABISAA YAAN AKAKATAA NAKUSEMA KUSEMA KUA "G UNAPOKUA NAMM ,USIWAZE KIASI CHA PESA CHA KUNIPA, WEWE TUPEANE RAHA"


nikajitutumua sanaaa lkn wapi, demu amekataa katakata hela yangu

Tena ananiambia, G weee bado unafanya maisha, mimi nina kila kitu

Nmekoswa lakufanyaaa, nikaamua kumtumia kwa Tigo Pesa, lkn bado kairudisha
Dah nyie ndo mnafanya wanawake watuone hatuna maajabu,yaani unatia lisaa lizima ndo unakojoa binamu!!sasa hapo akikutana na mtu anatia dakika 15 anakojoa si atamuona fala tu!!
Nimesikitika😀😀
 
Wanadamu wanaafiki sana kujifanya watakatifu kumbe hawana lolote!Humu hatujuani wala nini hata km tunajuana isiwe hoja wengine kujiona bora kuliko wenzao!
Mi naufatilia haswa watakaoniona wa hovyo sawa tu!mimi si mkamilifu nina madhaifu yangu na hili laweza kua ndo dhaifu langua...
Uzi mtamu na unanyegesha kichiziiii!!!!!
Woiiiiiiiiiiiiiiiih wapi dea Madame, tuishi humo tyuuh.
Huu uzi mie na babeeh wangu 2naupitia, ila tatizo kila m1 hajui ID ya mwenzie.
 
Uzi wa "wazinzi" na "waasherati".

Watu mnaona "sifa" kuelezea zinaa? Mnaona ni ufahari kusimulia uasherati wenu?
Hata MUNGU hamwogopi, mnafikiri mtaishi milele kwenye hii dunia?

MUNGU aliwaweka hapa duniani mfanye zinaa???
Mnajua ni kwanini mlipewa uhai mlio nao?

Imeandikwa hivi :
"kila neno atakaloongea mwanadamu liwe jema au baya ataleta hesabu yake mbele ya kiti cha hukumu". Kwa maneno yako utahukumiwa na kwa maneno yako utahesabiwa haki.

Mwenye masikio na asikie.
Aaamen
Aaamen

Wait a minute. Ulipatikanaje wewe? Uliingiaje kwenye womb?
 
Back
Top Bottom