Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,136
- 13,258
Miaka ya nyuma tanga chumbageni, nilikuwa napiga kilaji mzee 1 akanizengua nikampa ngumi ya nguvu, that night sikufika hotelini nilikofikia nilipotea mpaka asubuhi ndo nikapaona. The next day nilimchapa kweli na keshoye nikaamkia baharin with bed!