Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Kwema!
Katika vitu nilikuwa naogopa ni kupima VVU. Ukimwi sio poa aseeh! Kwa sisi tuliouona miaka hiyo Watu wakiugua huo ugonjwa tumeathirika kisaikolojia. Hasa sisi wanaume ndio tunaogopa zaidi.
Haya. Embu eleza hisia ulizopata baada ya wewe mkeo kupima na kupata matokeo negative, yaani mpo salama. Ilikuwaje?
Kwa upande wangu, muda wote nilikuwa na hofu kubwa.
Nilikuwa nawaza itakuwaje kama mmoja wetu akipatikana na ugonjwa huo? Nini kitatokea.
Vipi nikikutwa na hayo maambukizi. Maana Mwanamke yeye hakuwa na wasiwasi, ila mimi hofu ilikuwa dhahiri.
Matokeo yalitoka vizuri. Hiyo ilimaanisha tupo salama na kila mmoja anapaswa kumlinda mwenzake.
Vipi kwako
Katika vitu nilikuwa naogopa ni kupima VVU. Ukimwi sio poa aseeh! Kwa sisi tuliouona miaka hiyo Watu wakiugua huo ugonjwa tumeathirika kisaikolojia. Hasa sisi wanaume ndio tunaogopa zaidi.
Haya. Embu eleza hisia ulizopata baada ya wewe mkeo kupima na kupata matokeo negative, yaani mpo salama. Ilikuwaje?
Kwa upande wangu, muda wote nilikuwa na hofu kubwa.
Nilikuwa nawaza itakuwaje kama mmoja wetu akipatikana na ugonjwa huo? Nini kitatokea.
Vipi nikikutwa na hayo maambukizi. Maana Mwanamke yeye hakuwa na wasiwasi, ila mimi hofu ilikuwa dhahiri.
Matokeo yalitoka vizuri. Hiyo ilimaanisha tupo salama na kila mmoja anapaswa kumlinda mwenzake.
Vipi kwako