Ulimwengu wa 3D na 4D

Ulimwengu wa 3D na 4D

Its only in Jamiiforums where any tom,dick and harry can be an expert of something they read or heard from somebody. And worst enough any person can take anything from here and believe.

Yaani kuna watu wao huwa wapo standby kuja kuchukua kila kinachoandikwa humu... Hawataki kabisa kufikiria. Na hili ni kundi kubwa sana ambalo utaliona kila siku linasema "nashukuru nmejifunza kitu, ukiandika tena nitag" unajifunza kila kitu kwa kila mtu we umekuwa funza?

Ni wakati wa kuanza kutumia akili yako ndugu msomaji. Mambo mengine ni ya kufikirika tu mtu anafikiri anakuja kubandika humu.
Mkuu GuDume upo?
 
Nimeeleza hapo juu kuwa anayeelewa kuhusiana na elimu hii ya consciousness siyo wote ila tu kama ni starseed au lightworker.

Wewe umeona 3d and 4d katika movie tu.basi unalazimasha kila mtu kuwa ameona hiki kitu ktk movie. Unachokifahamu kuhusiana na NATURE OF REALITY ni tofauti na wengine. Wewe umeona katika filamu za hollywood..
Hebu tuambie hizo movie ni zipi zinazozungumzia hili jambo? Tulete majina ya hizo film then tutaziangalia na tutajifunza jambo. Kwa upande wangu utanisaidia pia kwan nitakuwa nimejifunza jambo jipya kupitia movies.

Ukubali ukatae waafrika tuna msimamo mkali wa dini kuliko sehem yoyote ile kuanzia ancient egypt mpaka leo hii hakuna jamii inayokamatika na imani kirahisi kama sisi. (islam na christian zina nguvu kubwa africa ilihali siyo zao letu)

Njoo na facts zenye mashiko kuwa 4 dimension haiwezekan na ni uongo. ila ukikalia kulalamikia hollywood tu unakuwa umezingua.

Kinachokutesa wewe ni cognitive bias inayoitwa Dunning-kruger effect.


Alichokieleza ndugu hapo hadi kwenye academic field kinaelezewa sana tu katika maths,quantum physics, philosophy (metaphysics) na psychology (nature of reality perspectives). So ingekuwa ni jambo la hollywood tu lisingezungumziwa na kufundisha in education institutions yeyote.



Na dimensions ziko nyingi up to infinity


These crap about allies are all FICTION Pal.
non of it has been proven.
kuleta kisingizio cha kusema eti kwa sababu kinatajwa ktk baadhi ya education institutions basi lzm kiwepo " hizi ndio sababu wazungu walitutawala na wanaendelea kututawala mpk Kesho.

About Movies Go and watch
"The Others"
"4th Dimension "
"The Fields"
"Silent Souls "
"Orions"
and many many More.

Hizi zote ni FICTION Bro and NON OF IT WAS Based on Real events.
Wewe hujawahi kufundishwa kuwa Yesu ni mzungu? mpk tukatengenezewa na Firm iitwayo "The Passion Of The Christ," ambayo
inayomuonyesha Yesu ni nani.
Matokeo yake mpk leo baadhi yetu tumeweka picha ya JIM Caviezel makanisani na Tunaiabudu!! wakati UHALISIA ni kuwa asili ya Yesu ni Middle East with Darker Skin na Kamwe hafanani hatta kidogo na huyu mzungu macho ya paka.

Unafundishwa Fictions halafu na wewe unabeba mazima?
narudia kusema "Holywood Movies" ziwache zibaki km entertainment tu. ukianza kuleta imani kuwa huenda ikawa kweli lzm uharibikiwe.
 
These crap about allies are all FICTION Pal.
non of it has been proven.
kuleta kisingizio cha kusema eti kwa sababu kinatajwa ktk baadhi ya education institutions basi lzm kiwepo " hizi ndio sababu wazungu walitutawala na wanaendelea kututawala mpk Kesho.

About Movies Go and watch
"The Others"
"4th Dimension "
"The Fields"
"Silent Souls "
"Orions"
and many many More.

Hizi zote ni FICTION Bro and NON OF IT WAS Based on Real events.
Wewe hujawahi kufundishwa kuwa Yesu ni mzungu? mpk tukatengenezewa na Firm iitwayo "The Passion Of The Christ," ambayo
inayomuonyesha Yesu ni nani.
Matokeo yake mpk leo baadhi yetu tumeweka picha ya JIM Caviezel makanisani na Tunaiabudu!! wakati UHALISIA ni kuwa asili ya Yesu ni Middle East with Darker Skin na Kamwe hafanani hatta kidogo na huyu mzungu macho ya paka.

Unafundishwa Fictions halafu na wewe unabeba mazima?
narudia kusema "Holywood Movies" ziwache zibaki km entertainment tu. ukianza kuleta imani kuwa huenda ikawa kweli lzm uharibikiwe.
...hata Mungu/Allah hajawa proved mkuu..achilia mbali hao allies
...sijui kama umenielewa hoja yangu ?!...nyie wavaa visuruali vifupi MNA akili za kushikiwa hasa
 
...hata Mungu/Allah hajawa proved mkuu..achilia mbali hao allies
...sijui kama umenielewa hoja yangu ?!...nyie wavaa visuruali vifupi MNA akili za kushikiwa hasa
Teh teh teh.
Suruali fupi tuvae sisi Taabu upate wewe.
kijana bangi bila chakula ni shida.
kula ushibe kwanza japo hayo makande la sivyo lzm upagawe.

Sasa sisi tunajadili nini na wewe unaandika nini!
Teh Teh Teh Teh Teh.! Duh.......
 
hakuna kitu kama hii Bro. hizi ni ndoto ambazo Holywood wamezipandikiza ktk vichwa vya watu.
asilimia 99 ya maneno ya watabiri wote na waganga wote NI UONGO.
Nimefanya Research miaka chungu mbovu.

Usipoteze muda wako kuzigeuza hizi fictions kuwa Reality. Hizi habari za 4 Dimension ziwache kwenye movie's tu. kinyume cha hapo utapoteza muda wako huenda ukadhurika kwa kulishwa UCHAFU na sumu na waganga wa kienyeji.
Hahah, anazingua sana.. Ni porojo tupu.
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mshana Jr amekuwa msaada mkubwa kwangu kwenye kujifunza mambo mengi. Nami sasa naona nianze sasa kuwafundisha wengine ..

ULIMWENGU WA 3D NA 4D

Unajua kila mtu anaishi katika sehemu mbili; katika ulimwengu wa 3D na katika ulimwengu wa 4D. D= Dimension. / mwonekano

Katika ulimwengu wa 3D ndio huu unaoniwezesha sasa naandika haya kwenye kompyuta na nikiangalia ninaona jua magari na tunaenda shule kusoma nk. Ni ulimwengu huu ambao umeuzoea siku zote tuna kula na kunywa. Katika ulimwengu huu tunatumia macho mawili na huku tunashangaa kwanini watu wengine wanafanya miujiza wakati sisi wengine hatuwezi? Au kwanini watu wengine wanatabiri wakati sisi hatuwezi?.
Hawa watu wanaweza wakafanya hivyo kwa sababu wanaweza wakatumia jicho la tatu ambalo mtu akiwa mtoto mdogo au mchanga huwa lipo very active. Na kadri anavyozidi kuwa mkubwa jicho hilo hufumbwa na kufanya asiweze kuona tena vitu vilivyo kwenye 4D.

Watu wanafanya mambo hayo ni kwa sababu wanauwezo wa kufumbua jicho la tatu na kuona vitu vilivyo kwenye 4D. Huo uwezo wa kufumbua hilo jicho ndio unaosababisha watu wanafanya miujiza wanatabiri na wanafanya vitu vingi ambavyo havionekani.

Kwa sababu mtu amefumba jicho hilo kwa mda mrefu huwa inamchukua mda kuwa na uwezo wa kulifumbua jicho hilo. Lakini kwa maelekezo maalumu jicho hilo linaweza likafumbuka. Jicho la tatu linakufanya uone ulimwengu mwingine tunaoishi sisi ambao ni mzuri sana. Tofauti na huu ambao umeharibiwa na watu wachache. Mantiki ya sisi kuwepo ni kuufanya ulimwengu huu ufanane na ulimwengu ulio kwenye 4D. Uoga na kuogopeshwa kumewafanya watu wasiweze kabisa kuingia katika ulimwengu huo.

Nitajaribu kueleze jinsi ya kuingia katika ulimwengu huo hatua kwa hatua na ndipo sasa utaanza kujielewa wewe mtu ni wa namna gani? Je! ni nguvu gani uliyo nayo ambayo umefungwa na watu wachache walioweka kanuni zao ili wewe upumbazike.

*Jicho la tatu ndilo linalotufanya tuone vitu kwenye ulimwengu wa 4D*

Kwa sababu ni mda mrefu sana haujawahi kulitumia jicho hilo ni vyema kuanza kufanya mazoezi jinsi ya kulitumia. Tafuta sehemu iliyotulia. ambayo hakuna kelele kelele. Au ikiwezekana jifungie chumbani na uzime taa. Hatua utakazo fanya ni unakaa vizuri mikono yako weka kwenye magoti.

Fumba macho yako haya mawili. Kaa kimya kwa mda wa dakika kama 6 - 10 hivi. Vuta hewa kwa kutumia pua na itoe kwa kutumia mdomo. Fanya hivyo taratibu taratibu. wakati mwingine ukiwa unaanza utasikia kichwa kinauma. Usihofu hiyo ni kawaida.

Anza kutoa sauti kwa taratibu ukisema MEYIIIIIIIIIIIIII, MEYIIIIIIIIIII. Bada ya mda jicho la tatu litaanza kufunguka taratibu. Kwa sababu mda mrefu hujawahi kulifumbua utaona giza giza vitu vitu usivyo vielewa. Fanya hivyo kwa mda wa wiki mbili tayari utakuwa umezoea utaanza kuwa na uwezo sana.

Utaanza kujua vitu vingi sana na kuanza kujielewa sasa wewe ni nani na una nguvu gani. Nitakueleza siri hiyo wanatumia akina nani na inaleta matokeo gani. Hakuna uchawi hapa mtu asikudanganye. Ni wewe tu jinsi ya kujielewa.

Karibu tuujifunze kwa pamoja (theory na practical)

Updates
Je Utambuzi ni nini?

Kujitambua maana yake kukua kimwili, kiakili, kihisia na kiroho kwa njia ambayo itakusaidia wewe na watu wanaokuzunguka. Ni kuachana na mazoea, kuachana na akili ya kupewa (inayokuumiza au inayowaumiza wengine), kuwa na akili yako (isiyokuumiza au isiyowaumiza wengine). Kumbuka, tunapojifunza maarifa haya, hatuzungumzii dini wala sayansi, tunazungumzia maarifa ambayo yako juu ya hivi. Ingawa kuna mahali ambapo dini na sayansi inatumika kama rejea.

Tunajifunza Maarifa haya ya utambuzi ili:
· Yatusaidie kumudu kukabiliana na vikwazo na vurugu za maisha.
· Tuyaone maisha kwamba ni mepesi na siyo mzigo. Tuweze kuyaona maisha katika upande wa pili.
· Tuwe na amani, furaha na ridhiko la kweli katika maisha.
· Tuweze kuishi katika maisha ya uhitaji na siyo utashi.
· Tuweze kufahamu kwamba sisi siyo huu mwili unaoonekana, na hivyo tuishi sisi kama sisi na siyo sisi kama mwili huu unaoonekana.
· Yatuwezeshe kumudu kufanya mambo kama sisi na siyo kama baba, mama, shangazi, mjomba, jamii au watu wengine. Sisi ni kasuku au roboti wa baba/mama au jamii. Jiulize kila unachofanya kama hufanyi kile kile alichokuwa anafanya baba/mama au kama hufanyi kwa ajili ya jamii.
· Tuweze kuishi maisha halisi kwani haya tunayoishi siyo halisi, ni ya bandia.

Tunapata matatizo mengi kwa sababu tunaamini sisi ni huu mwili unaoonekana, tumejifunga sana na huu mwili (tumekuwa wafungwa wa mwili). Ndiyo maana unapofanya jambo baya unasingizia ibilisi. Huyu ibilisi ni nani/nini?


Upo msemo unaosema kuwa “Ibilisi wa mtu ni mtu mwenyewe” Kwa nini? Kwa sababu Ibilisi hawezi kutoka nje yako bali anatoka ndani yako, yaani kila mtu anao uwezo wa kudhibiti mambo mabaya dhidi yake. Kwa hiyo ukitokewa na jambo baya umejitakia, hakuna wa kumlaumu bali ni wewe mwenyewe.

Ebu tumwangalie kwanza mtoto; kwa kawaida mtoto anapozaliwa huwa hana utambuzi, hajui yeye ni nani. Kitu cha kwanza anachokibaini ni vitu vingine (vya nje). Macho hufunuka kuangalia mbele, mikono hushika watu au vitu vingine, masikio husikia watu au vitu vingine, ulimi huonja chakula na pua hunusa watu au vitu vingine. Milango yote mitano ya fahamu hufunguka, yote ikiwa inahusiana na vitu vya nje.

Mtu wa kwanza kumtambua ni mama yake na siyo yeye (hajijui). Baadaye hutambua mwili wake (ambao pia ni nje yake). Mwili huhusiana na dunia hii ya nje. Akiwa na njaa hulia ili anyonyeshwe kuulisha mwili wake, akiumwa hivyo hivyo. Akishiba au kupona,
huusahau mwili wake, hana habari nao tena.

Mama huanza kumwambia yeye ni nani, huanza kumsifu au kumkaripia. Akisifiwa wewe mtoto mzuri, hutabasamu na kujisikia vizuri, huhisi kukubaliwa na kujiona mwenye thamani. Hapa ndipo choyo cha kujipenda huanza (huzaliwa). Choyo (ubinafsi) ni ile tabia ya kutotaka kutoa kitu kumpa mwingine (tabia ya kunyima). Hapa ndipo mtoto
huanza kujitambua kuwa yeye ingawa kujitambua huku ni taswira ya kujitambua, siyo halisi.

Bado hajawa yeye halisi, anachojua ni wengine wanasema nini kuhusu yeye. Lakini kama hakuna anayemjali na kumuonyesha kwamba ana maana, ana thamani hapa napo choyo kingine cha kujipenda huzaliwa, lakini hiki ni choyo cha ubaya; visasi; huzuni; kukataliwa; kujihisi dhaifu, mnyonge na asiye na thamani. nk

Hivyo anaanza mama; baba; dada; wajomba; shangazi; msichana wa kazi; majirani; walimu; marafiki n.k. wote humwambia yeye ni nani; Hapa mtoto huchanganyikiwa kwani maoni kuhusu yeye ni nani huongezeka, huwa tofauti na mengi zaidi kutegemea chanzo yalipotoka.

Kama mtoto angeishi peke yake bila kukutana na watu asingekuwa na choyo cha kujipenda zaidi lakini asingejitambua kikweli (yeye kikweli) angekuwa kama mnyama ambaye hana choyo cha kujipenda. Choyo cha kujipenda zaidi ni hitaji (hitaji la kijamii). Kila kitu kinatuambia sisi ni nani, siyo sisi kujiambia sisi ni nani, hatuwezi kujiambia sisi ni nani kwa sababu hatujui kwamba tupo.

Wahuni, marafiki, na majirani ndiyo wanaokuambia wewe ni nani, hivyo hatua kwa hatua kila mmoja anaboresha choyo chako cha kujipenda zaidi; kila mmoja anajaribu kukirekebisha na kukiboresha choyo chako ili usiwe tatizo kwa jamii. Hivyo wewe ni jamii na siyo wewe kwa sababu kuanzia mama; marafiki; walimu n.k; ndiyo waliokuambia wewe ni nani.

Umefungwa sana na jamii; kiasi kwamba kuwa wewe siyo jambo rahisi kiasi hicho. Unakula kwa sababu wengine wanakula; unavaa suti kwa kwa sababu wengine wanavaa; unakwenda kuzika kwa sababu wengine wanakwenda, unalia msibani kwa sababu wengine wanalia; unakwenda msikitini / kanisani kwa sababu wengine wanakwenda- huwezi tena kuwa wewe kwa sababu ya hicho choyo.

Mfano: mtu akiua mtaani mtu mmoja anaitwa hatari sana; mwingine akaua vitani watu laki moja anaitwa shujaa. Jamii imekubali kuua vitani ni sahihi; mtaani siyo sahihi; jiulize swali hili ili uone jamii ilivyokufunga na hivyo ni ngumu kuwa wewe. Umekuwa jamii tangu kuzaliwa kwako. Kinachokubaliwa na jamii ndiyo sahihi hata kama kinanuka kiasi gani. Hicho ndicho unachotakiwa kuwa kwa sababu wewe ni jamii na siyo wewe.

Hutakiwi kuwa wewe, na ukiwa wewe jamii itakutema mara moja. Ukweli unatakiwa uwe nao wewe na siyo jamii. Lakini bahati mbaya hujawahi kuwa wewe, siku zote umekuwa jamii, hivyo unasikiliza Inasemaje kuhusu wewe na inakutaka uishi vipi. Ukiwa wewe jamii itaona umeasi au umekuwa kichaa.

Jamii haitaki ujitambue (ujue wewe ni nani). Ukijitambua utakoma kuwa jamii na jamii haiko tayari kukupoteza mtumwa wake. Jamii inakutumia kwa faida ya jamii. Ukiwa wewe jamii haiwezi kukutumia itakavyo. Ukifanya jambo zuri unapendwa na kusifiwa; na ukifanya jambo baya unachukiwa na kubezwa. Hii hujenga choyo cha kujipenda zaidi ambacho hutaka kushibishwa kila siku.

Mtu atajitahidi kufanya kile ambacho jamii inampangia ili kushibisha choyo alichopewa na jamii husika. Atataka gari na nyumba kwa sababu jamii imemwambia ni vya maana na vinampa thamani siyo kwa sababu yeye anavitaka. Atataka digrii, mke mzuri, utajiri, umaarufu yote ikiwa ni choyo alichopewa na jamii.

Kila siku tunatafuta sisi ni akina nani kupitia kwa watu wengine, wakituona kututambua, kutusifia ndipo tunahisi kuwa sisi. Jamii inayumba kila siku kuhusu kipi ni kipi na hivyo na sisi tunayumba kila siku kwa sababu sisi ni jamii. Kumbuka wakati unazaliwa ulishakuwa wewe na uwewe wako bado unao. Lakini kwa sababu umepewa uwewe mwingine na jamii ndiyo maana kuchanyikiwa na kujuta ni kwingi sana.

Ni hadi hapo utakapovua uwewe uliopewa na jamii na kubaki na uwewe uliozaliwa nao (kuwa wewe halisi), ndipo kuchanganyikiwa na kujuta kutaisha. Inawezekana!!!

Binadamu anahangaika sana na maisha. Anatafuta mambo ya nje (gari, pesa, mke mzuri, mume anayejali, elimu n.k.) ili yampe nafuu (furaha, amani na ridhiko). Lakini, anapoyapata anajikuta hayampi nafuu badala yake yanampa maumivu.

Mambo ya nje hayawezi kutupa nafuu hadi tuingie ndani yetu (ni wapi huko?). Tutapata jibu kwa kadri tunavyoendelea kujifunza maarifa haya vizuri zaidi, na hatimaye tutajijua sisi kama sisi na siyo sisi kama mwili huu unaoonekana, hisia, mawazo (akili) au roho. Ni vema kutazama miili (nyumba zetu) hiyo kwani ndiyo ambayo itatusaidia kujua hasa ni wapi tuendako kwenye maisha haya na pengine kujua maisha haya yana maana gani kwetu. Hii inaweza kutupunguzia mizunguko na mahangaiko ambayo kiukweli hayana maana.
Hilo neno "MEYIIIIII..! MEYIIIII" NI LUGHA GANI? NA LINA MAANA GANI?
Mkuu hyo research ulio ifanya niyakukaa peke ako dk 6-10 kwa wiki 2 au yakupita kwa waganga n watabili na ukashindwa kufanikiwa ishu zako
 
mkuu naona kama aujamuelewa mtoa mada vizuri kutokana na yeye kajichanganya kidogo alivyoanza na mambo ya 3D na 4D za kisayansi zaidi lakini mwisho wa uzii ameenda kwenye point yake mambo ya kumeditate na mjicho wa tatu sijui

Dunia ina mambo mkuu kwa habari ya jicho la tatu alilo lizungumzia mtoa mada ni kweli kabisa inawezekana na ukiwa na nia ya kulifungua ilo jicho litafunguka tu na utaona madudu ya ajabu ajabu
Sasa tuone madudu ya ajabu ili iweje? Mi nahitaji kujua faida ni ipi haswa.
 
HUKO MNAPOTAKA KWENDA NI KWENYE ULIMWENGU WA KISHETANI. DUNIANI KUNA VIUMBE VYA NAMNA NYINGI WANAISHI, WAPO BINADAMU, NDEGE, WANYAMA, MAJINI NA VIUMBE WENGINE. LKN WAPO AMBAO TUNAWAONA ILA HATUISHI NAO KAMA BAADHI YA WANYAMA, NDEGE NA WADUDU. ILA WAPO BAADHI YA WANYAMA NA NDEGE TUNAWEZA KUISHI NAO KAMA NG'OMBE, MBUZI, MBWA, KUKU, NJIWA NK.

PIA KUNA VIUMBE AMBAO HATUWAONI ILA TUNAISHI NAO KAMA MAJINI NA MALAIKA.. HIVYO KILA VIUMBE WAMEWEKEWA MIPAKA YAO KULINGANA NA ASILI YAO NA TABIA ZAO.
HAYA MAISHA TUNAYOISHI NDIO YETU NA NDIO TUAENDANA NAYO KUTOKANA NA MAUMBILE YETU NA ASILI YETU.

HAYO MAMBO YENU YATAKA KUFUMBUA JICHO LA TATU AMBALO SIJUI NI LIPI NA LIPO WAPI KTK MWILI WA MWANADAMU NI KUTAKA KULAZISHA KUISHI KATIKA ULIMWENGU USIO WENU. NA MTAYAONA MADHARA YAKE. NDIO MAANA HAKUNA ANAYEKUJA NA FAIDIA NA WATOA MADA WOTE WANAELEKEZA JINSI YA KUINGIA KTK ULIMWENGU HUO LKN WAO HAWASEMI KAMA WAMEWAHI KIFIKA HUKO KWA KUFUMBUA HILO JICHO LA TATU.
HAYA YOTE NI HADITHI ZA KUSADIKIKA TU.
 
HUKO MNAPOTAKA KWENDA NI KWENYE ULIMWENGU WA KISHETANI. DUNIANI KUNA VIUMBE VYA NAMNA NYINGI WANAISHI, WAPO BINADAMU, NDEGE, WANYAMA, MAJINI NA VIUMBE WENGINE. LKN WAPO AMBAO TUNAWAONA ILA HATUISHI NAO KAMA BAADHI YA WANYAMA, NDEGE NA WADUDU. ILA WAPO BAADHI YA WANYAMA NA NDEGE TUNAWEZA KUISHI NAO KAMA NG'OMBE, MBUZI, MBWA, KUKU, NJIWA NK.

PIA KUNA VIUMBE AMBAO HATUWAONI ILA TUNAISHI NAO KAMA MAJINI NA MALAIKA.. HIVYO KILA VIUMBE WAMEWEKEWA MIPAKA YAO KULINGANA NA ASILI YAO NA TABIA ZAO.
HAYA MAISHA TUNAYOISHI NDIO YETU NA NDIO TUAENDANA NAYO KUTOKANA NA MAUMBILE YETU NA ASILI YETU.

HAYO MAMBO YENU YATAKA KUFUMBUA JICHO LA TATU AMBALO SIJUI NI LIPI NA LIPO WAPI KTK MWILI WA MWANADAMU NI KUTAKA KULAZISHA KUISHI KATIKA ULIMWENGU USIO WENU. NA MTAYAONA MADHARA YAKE. NDIO MAANA HAKUNA ANAYEKUJA NA FAIDIA NA WATOA MADA WOTE WANAELEKEZA JINSI YA KUINGIA KTK ULIMWENGU HUO LKN WAO HAWASEMI KAMA WAMEWAHI KIFIKA HUKO KWA KUFUMBUA HILO JICHO LA TATU.
HAYA YOTE NI HADITHI ZA KUSADIKIKA TU.
...hao viumbe tusiowaona kama ulivyosema eg,majini na malaika _umejuaje(una uhakika gani ) kama wapo na tunaishi nao...kama sio ujuha wako wa kuamini mambo ya kuokoteza huko kwenye semina elekezi kanisani na miskitini.
....acha kujifanya unajua mambo wewe tu na kuona wenzako hawajui..pathetic
 
These crap about allies are all FICTION Pal.
non of it has been proven.
kuleta kisingizio cha kusema eti kwa sababu kinatajwa ktk baadhi ya education institutions basi lzm kiwepo " hizi ndio sababu wazungu walitutawala na wanaendelea kututawala mpk Kesho.

About Movies Go and watch
"The Others"
"4th Dimension "
"The Fields"
"Silent Souls "
"Orions"
and many many More.

Hizi zote ni FICTION Bro and NON OF IT WAS Based on Real events.
Wewe hujawahi kufundishwa kuwa Yesu ni mzungu? mpk tukatengenezewa na Firm iitwayo "The Passion Of The Christ," ambayo
inayomuonyesha Yesu ni nani.
Matokeo yake mpk leo baadhi yetu tumeweka picha ya JIM Caviezel makanisani na Tunaiabudu!! wakati UHALISIA ni kuwa asili ya Yesu ni Middle East with Darker Skin na Kamwe hafanani hatta kidogo na huyu mzungu macho ya paka.

Unafundishwa Fictions halafu na wewe unabeba mazima?
narudia kusema "Holywood Movies" ziwache zibaki km entertainment tu. ukianza kuleta imani kuwa huenda ikawa kweli lzm uharibikiwe.

hizo movie ni wewe umezitazama na ndizo zilizokufanya ukawa na uelewa huo....

kama umefahamu jambo kupitia movie haimaanishi kila binadamu basi yupo kama wewe anatazama hizo filamu.
bahati mbaya siyo mpenzi wa filamu na kupitia wewe nimejua kumbe 4d inaelezewa pia katika filamu.

NI JAMBO JEMA PIA ITASAIDIA SANA KATIKA REINFORCEMENT YA TOPIC NGUMU KAMA QUANTUM PHYSICS....

UKIONA JAMBO LOLOTE LINAKUBALIWA NA WANA TAALUMA WABOBEVU WEWE NI NANI HATA UTUKATALIE KWA KUTUMIA FILAMU ULIZOZITAZAMA MWENYEWE FOR YOUR ENJOYMENT?


UKIICHAMBUA CONCEPT YA DIMENSIONS KWA KUSIMAMIA MITAZAMO YA IMAN LAZIMA UTAJIKUTA UNACHANGANYA MADESA.....
4D IS BEYOND YOUR REALITY
 
Nimeeleza hapo juu kuwa anayeelewa kuhusiana na elimu hii ya consciousness siyo wote ila tu kama ni starseed au lightworker.

Wewe umeona 3d and 4d katika movie tu.basi unalazimasha kila mtu kuwa ameona hiki kitu ktk movie. Unachokifahamu kuhusiana na NATURE OF REALITY ni tofauti na wengine. Wewe umeona katika filamu za hollywood..
Hebu tuambie hizo movie ni zipi zinazozungumzia hili jambo? Tulete majina ya hizo film then tutaziangalia na tutajifunza jambo. Kwa upande wangu utanisaidia pia kwan nitakuwa nimejifunza jambo jipya kupitia movies.

Ukubali ukatae waafrika tuna msimamo mkali wa dini kuliko sehem yoyote ile kuanzia ancient egypt mpaka leo hii hakuna jamii inayokamatika na imani kirahisi kama sisi. (islam na christian zina nguvu kubwa africa ilihali siyo zao letu)

Njoo na facts zenye mashiko kuwa 4 dimension haiwezekan na ni uongo. ila ukikalia kulalamikia hollywood tu unakuwa umezingua.

Kinachokutesa wewe ni cognitive bias inayoitwa Dunning-kruger effect.


Alichokieleza ndugu hapo hadi kwenye academic field kinaelezewa sana tu katika maths,quantum physics, philosophy (metaphysics) na psychology (nature of reality perspectives). So ingekuwa ni jambo la hollywood tu lisingezungumziwa na kufundisha in education institutions yeyote.



Na dimensions ziko nyingi up to infinity
Halafu ukute Mtu anayepinga haya ana imani katika uislamu

Tena anaziamini zile safari za mtume za usiku mmoja (Isra na Miraj) _Kichekesho ndipo kinapoanzia

Anakataa reality kwenye Dimansion tofauti lakini anaamini mtume wake kaenda mbingu ya saba ...
 
...nilijua tu nyie wavaa visuruali vifupi ni short sight mno...mnachojua na kuamini ni jua kuzama matopeni tu
....hamko tayari kabisa kupokea elimu mpya vichwani mwenu..hopeless kabisa nyie
Hahaaa
 
Teh teh teh.
Suruali fupi tuvae sisi Taabu upate wewe.
kijana bangi bila chakula ni shida.
kula ushibe kwanza japo hayo makande la sivyo lzm upagawe.

Sasa sisi tunajadili nini na wewe unaandika nini!
Teh Teh Teh Teh Teh.! Duh.......
Halafu kwa waislamu hawapaswi kabisa kilikataa hili

Kama Mtume aliwahi kuwaasa juu ya kutafuta Elimu _kwanini mnapinga Tu bila kautafiti..!?

Safari za mtume za Isra na Miraj matazielewa vipi kama hamtofahamu yanayojiri katika reality tofauti...!?

4D reality or (astro_world/plane) ndipo panawezekana yote hayo ya Isra & Miraj

Kwa wataalamu wa mambo ya kispiritual huwa wanaita OBE (Out of body experience) Roho inakuwa ina uwezo wa kurandaranda bila tatizo(astro projection)

Mimi naona hii inaongeza Imani kuliko kuipunguza
 
Ninacho kijua ni kwamba,katika mada yoyote ile inayo husisha maswala ya imani ni ngumu kufikia conclusion

Kwa kawaida kila mmoja atasema kitu kulingana na kile anacho kiamini na lazima atavuta kwake ili kile anacho ki-amini kionekane bora na ndicho cha kweli....Hivyo nina imani hata hapa kila mtu atasema lake kutokana na kile anacho kiamini mwenyewe
exactly indeed
 
"Rafiki yangu ameandika kitabu kinachoitwa JINSI YA KUPATA UTAJIRI, anaomba udhamini wa kifedha ili achapishe kitabu chake..." Mtoa mada naomba usiwe kama rafiki yangu huyu.
Hahaa " kazi kweli kweli "...
 
Nimeeleza hapo juu kuwa anayeelewa kuhusiana na elimu hii ya consciousness siyo wote ila tu kama ni starseed au lightworker.

Wewe umeona 3d and 4d katika movie tu.basi unalazimasha kila mtu kuwa ameona hiki kitu ktk movie. Unachokifahamu kuhusiana na NATURE OF REALITY ni tofauti na wengine. Wewe umeona katika filamu za hollywood..
Hebu tuambie hizo movie ni zipi zinazozungumzia hili jambo? Tulete majina ya hizo film then tutaziangalia na tutajifunza jambo. Kwa upande wangu utanisaidia pia kwan nitakuwa nimejifunza jambo jipya kupitia movies.

Ukubali ukatae waafrika tuna msimamo mkali wa dini kuliko sehem yoyote ile kuanzia ancient egypt mpaka leo hii hakuna jamii inayokamatika na imani kirahisi kama sisi. (islam na christian zina nguvu kubwa africa ilihali siyo zao letu)

Njoo na facts zenye mashiko kuwa 4 dimension haiwezekan na ni uongo. ila ukikalia kulalamikia hollywood tu unakuwa umezingua.

Kinachokutesa wewe ni cognitive bias inayoitwa Dunning-kruger effect.


Alichokieleza ndugu hapo hadi kwenye academic field kinaelezewa sana tu katika maths,quantum physics, philosophy (metaphysics) na psychology (nature of reality perspectives). So ingekuwa ni jambo la hollywood tu lisingezungumziwa na kufundisha in education institutions yeyote.



Na dimensions ziko nyingi up to infinity
safi
 
Halafu ukute Mtu anayepinga haya ana imani katika uislamu

Tena anaziamini zile safari za mtume za usiku mmoja (Isra na Miraj) _Kichekesho ndipo kinapoanzia

Anakataa reality kwenye Dimansion tofauti lakini anaamini mtume wake kaenda mbingu ya saba ...
hahaaa ",.. dunia inashangaza sana".. aya ya mwisho nimecheka
 
...hao viumbe tusiowaona kama ulivyosema eg,majini na malaika _umejuaje(una uhakika gani ) kama wapo na tunaishi nao...kama sio ujuha wako wa kuamini mambo ya kuokoteza huko kwenye semina elekezi kanisani na miskitini.
....acha kujifanya unajua mambo wewe tu na kuona wenzako hawajui..pathetic
Ungefanya lamaana sana kama ungenijuza uyajuayo kuliko kuniona JUHA! Na wala sijasema najua sana kuliko wengine. Ni maoni kama ya watu wengine kama hukuyapenda isiwe sababu ya kutokwa na maneno machafu. Kama una uelewa mwengine mzuri zaidi kuliko uelewa wangu na unaisi sipo sahihi elezea sio kusema nimekariri kutoka kwenye semina za misikitini na makanisani.

Njoo ueleze unayajua wewe ambayo yametoka unapopaamini wewe na usilazimishe kila mmoja aamin unachokiamini wewe. Mwisho wa siku kila mtu ana njia zake za maisha.
 
Back
Top Bottom