Ulimwengu wa 3D na 4D

Ulimwengu wa 3D na 4D

Kumbe jibu unalo! Ipo siri kubwa sana tena sana!
Iweje ni nikuone wa nini (kwa mapokeo yangu) na mwingine awaze atakupata lini (kwa mapokeo yake)??? Siri hii kubwa ndo sasa tunahitaji walau watu waanze kufuatilia kinachosababisha.
Kama inge kua na umuhumi mimi nadhani Mungu angetupa uwezo wa kuyaona haya yote kirahisi tu
 
Ninacho kijua ni kwamba,katika mada yoyote ile inayo husisha maswala ya imani ni ngumu kufikia conclusion

Kwa kawaida kila mmoja atasema kitu kulingana na kile anacho kiamini na lazima atavuta kwake ili kile anacho ki-amini kionekane bora na ndicho cha kweli....Hivyo nina imani hata hapa kila mtu atasema lake kutokana na kile anacho kiamini mwenyewe
 
Katika dunia hii kuna watumishi wa aina tatu:-
1. Watumishi wa watu
2. Watumishi wa Shetani
3. Watumishi wa Mungu
Utawajuaje? kwa matendo yao ... hao unaowaita waganga wengine ni matapeli tu wasaka pesa ... watumishi wa watu hao.
Watumishi wa shetani wana nguvu za ajabu na wanaweza kukuumbua kabisa hadi wakakuathiri
Watumishi wa Mungu - hawa watakusaidia tu kwa sababu kazi waliyonayo kubwa ni kusaidia watu!
magufuli ana nguvu sana na ameathiri na kuwaumbua wengi.
tunamuweka kwenye wafuasi gani mkuu?
 
Nilitegemea ungeainisha faida za kimanufaa labda ugunduz au anything... Kumbe ni mambo ya mazngaombwe du...huo ni upuuzi wa kufanya vtu kwa nguvu za majini/Lucifer......et jicho la tatu haha...au ndo yale macho ya Zanzibar na mombasa kuyafungua du ujnga
 
Mkuu third eye au Ajna Chakra si kitu simple simple like that bro susha nondo za maana na kufunguka kwake you need practice hasa kutoka kwa mwalimu hasa
 
Mkuu third eye au Ajna Chakra si kitu simple simple like that bro susha nondo za maana na kufunguka kwake you need practice hasa kutoka kwa mwalimu hasa
hamna kitu bro.
haya majina ya kidosi wanayatumia kwenye mambo ya ushirikina tu.
hakuna cha jicho la tatu wala la nne.

nimesema yyt mwenye hilo jicho la ziada anitajie umri wangu tu na Mimi nikatafute hayo macho.
 
hakuna kitu kama hii Bro. hizi ni ndoto ambazo Holywood wamezipandikiza ktk vichwa vya watu.
asilimia 99 ya maneno ya watabiri wote na waganga wote NI UONGO.
Nimefanya Research miaka chungu mbovu.

Usipoteze muda wako kuzigeuza hizi fictions kuwa Reality. Hizi habari za 4 Dimension ziwache kwenye movie's tu. kinyume cha hapo utapoteza muda wako huenda ukadhurika kwa kulishwa UCHAFU na sumu na waganga wa kienyeji.
Mkuu naomba kujua kwanini Holywood wanapandikiza hiyo fikshen, kunafaida gani kwao kupandikiza uongo?
 
Mkuu naomba kujua kwanini Holywood wanapandikiza hiyo fikshen, kunafaida gani kwao kupandikiza uongo?
Faida ni nyingi tu wanazopata.
kubwa kabisa ni kuuza hizi Movie na Drama zao. na walengwa ni sisi wote.

pili kuweza kukuza hizo Cults zao km Freemason na kuongeza utajiri haramu.

Tatu Kuwaweka raia wa kawaida ktk hali tegemezi, Yaani ukiweza kuteka akili za watu kwa kuwatabiria yanayokuja una uwezo wa kuwapeleka unavyotaka wewe.
Na bahati mbaya waliotekwa na hizi Imani ni wengi sana kuliko wale ambao bado wanajitambua. kwa hio hii ni biashara kubwa sana kwa hawa watu.

umeshawahi kusikia kitu kinachoitwa Fortune Tellers"? basi hio ni biashara ingine kubwa mno.
Wapiga Ramli wamejaa sana Ulaya.
kila gazeti wamo na siku hizi hapa nilipo wana Tv station yao.
kazi kuibia watu tu
hapa tunaongelea Multi billion dollars Industry. Hawa watu wanafanya kazi na mashetani. believe it or Not lkn Juu ya kufanya hivyo 99% ni UONGO MTUPU.

Kaa mbali kabisa na imani hizi. utafilisika na hakuna utakachopata zaidi ya kujenga uadui na watu wako wa karibu.
Muamini Mungu Mkuu aliyeumba watu na majinni na vilivyomo mbinguni na ardhini hutopata tabu.
 
"Rafiki yangu ameandika kitabu kinachoitwa JINSI YA KUPATA UTAJIRI, anaomba udhamini wa kifedha ili achapishe kitabu chake..." Mtoa mada naomba usiwe kama rafiki yangu huyu.
 
"Rafiki yangu ameandika kitabu kinachoitwa JINSI YA KUPATA UTAJIRI, anaomba udhamini wa kifedha ili achapishe kitabu chake..." Mtoa mada naomba usiwe kama rafiki yangu huyu.
hahhahaahhaaaaa
 
HII ELIMU NI KWA AJILI YA WATU WACHACHE SANA HUKU DUNIANI....
NAWAITA STARSEEDS AU LIGHTWORKERS...
HUYU ATAKUELEWA SANA COZ ANAZALIWA TAYARI AKIWA NA ACCESS YA 4TH DENSITY LEVEL OF CONSCIOUSNESS...

JAMII YA WATZ UKIWAAMBIA JAMBO LOLOTE LILE WANALICHANGANYA NA IMANI......

3D AND 4D NI SUALA LA KAWAIDA KABISA. KATIKA QUANTUM PHYSICS INATHIBITISHA KUWA CONSCIOUSNESS CREATE REALITY.

UKIFATILIA VIZURI BILA SHAKA UTAKJWA UMEGUNDUA KUWA WAAFRIKA TUNA UFAHAMU WA DINI KULIKO JAMII YOYOTE ILE IN HUMAN HISTORY..... Na ndo maana wazungu wamefanikiwa kututawaliwa kwa kutumia imani zao...
 

Attachments

  • collective._.consciousness-20181001-0001.jpg
    collective._.consciousness-20181001-0001.jpg
    110.1 KB · Views: 61
HII ELIMU NI KWA AJILI YA WATU WACHACHE SANA HUKU DUNIANI....
NAWAITA STARSEEDS AU LIGHTWORKERS...
HUYU ATAKUELEWA SANA COZ ANAZALIWA TAYARI AKIWA NA ACCESS YA 4TH DENSITY LEVEL OF CONSCIOUSNESS...

JAMII YA WATZ UKIWAAMBIA JAMBO LOLOTE LILE WANALICHANGANYA NA IMANI......

3D AND 4D NI SUALA LA KAWAIDA KABISA. KATIKA QUANTUM PHYSICS INATHIBITISHA KUWA CONSCIOUSNESS CREATE REALITY.

UKIFATILIA VIZURI BILA SHAKA UTAKJWA UMEGUNDUA KUWA WAAFRIKA TUNA UFAHAMU WA DINI KULIKO JAMII YOYOTE ILE IN HUMAN HISTORY..... Na ndo maana wazungu wamefanikiwa kututawaliwa kwa kutumia imani zao...
statistics zako sio za kweli. acha imani potofu.

nani amekwambia sisi waafrika ndio wenye imani za dini kuliko wengine?

China na India kuna population ya over 2.6 BILLION people na hawa wote wana imani za Dini mbalimbali wakati Afrika nzima tuko 1.2 BILLION.

Pili wewe unaedai mambo haya ni kawaida nitajie kiumbe mmoja tu mwenye uwezo huo wa kuona yaliojificha au yajayo na Mimi niwe mfuasi wa hizi imani Zenu za Holywood .

Acheni kabisa kupotosha watu.
tazameni Movie km Enjoyment sio mzigeuze reality mtakula mitaji kutafuta visivyokuwepo.
 
statistics zako sio za kweli. acha imani potofu.

nani amekwambia sisi waafrika ndio wenye imani za dini kuliko wengine?

China na India kuna population ya over 2.6 BILLION people na hawa wote wana imani za Dini mbalimbali wakati Afrika nzima tuko 1.2 BILLION.

Pili wewe unaedai mambo haya ni kawaida nitajie kiumbe mmoja tu mwenye uwezo huo wa kuona yaliojificha au yajayo na Mimi niwe mfuasi wa hizi imani Zenu za Holywood .

Acheni kabisa kupotosha watu.
tazameni Movie km Enjoyment sio mzigeuze reality mtakula mitaji kutafuta visivyokuwepo.

Nimeeleza hapo juu kuwa anayeelewa kuhusiana na elimu hii ya consciousness siyo wote ila tu kama ni starseed au lightworker.

Wewe umeona 3d and 4d katika movie tu.basi unalazimasha kila mtu kuwa ameona hiki kitu ktk movie. Unachokifahamu kuhusiana na NATURE OF REALITY ni tofauti na wengine. Wewe umeona katika filamu za hollywood..
Hebu tuambie hizo movie ni zipi zinazozungumzia hili jambo? Tulete majina ya hizo film then tutaziangalia na tutajifunza jambo. Kwa upande wangu utanisaidia pia kwan nitakuwa nimejifunza jambo jipya kupitia movies.

Ukubali ukatae waafrika tuna msimamo mkali wa dini kuliko sehem yoyote ile kuanzia ancient egypt mpaka leo hii hakuna jamii inayokamatika na imani kirahisi kama sisi. (islam na christian zina nguvu kubwa africa ilihali siyo zao letu)

Njoo na facts zenye mashiko kuwa 4 dimension haiwezekan na ni uongo. ila ukikalia kulalamikia hollywood tu unakuwa umezingua.

Kinachokutesa wewe ni cognitive bias inayoitwa Dunning-kruger effect.


Alichokieleza ndugu hapo hadi kwenye academic field kinaelezewa sana tu katika maths,quantum physics, philosophy (metaphysics) na psychology (nature of reality perspectives). So ingekuwa ni jambo la hollywood tu lisingezungumziwa na kufundisha in education institutions yeyote.



Na dimensions ziko nyingi up to infinity
 
Its only in Jamiiforums where any tom,dick and harry can be an expert of something they read or heard from somebody. And worst enough any person can take anything from here and believe.

Yaani kuna watu wao huwa wapo standby kuja kuchukua kila kinachoandikwa humu... Hawataki kabisa kufikiria. Na hili ni kundi kubwa sana ambalo utaliona kila siku linasema "nashukuru nmejifunza kitu, ukiandika tena nitag" unajifunza kila kitu kwa kila mtu we umekuwa funza?

Ni wakati wa kuanza kutumia akili yako ndugu msomaji. Mambo mengine ni ya kufikirika tu mtu anafikiri anakuja kubandika humu.
Wanasemaga "za kuambiwa changanya na zako".
 
Back
Top Bottom