Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Nimetuma wakusalimie,barua pia nimetuma usome..... Nalog offUzuri wa mwanamke/msichana sio urembo ni Tabia-samangwana(Marina)
Nimetuma wakusalimie,barua pia nimetuma usome..... Nalog offUzuri wa mwanamke/msichana sio urembo ni Tabia-samangwana(Marina)
Mzuri wa sura, umbo na tabia. Mwenye upendo kwako na kwa watu wako wa karibu, heshima awe nayo. Anayependa kujishughulisha. Anayejiamini na awe ni mtu wa kutoa mawazo ya kujenga na si kubomoa. Awe ni mtu anayejua kuishi kwa budget. Asiwe mtu wa papara nyingi na kutamani kila kinachopita mbele ya macho yake.
Awe ni mtu anayejithamini na kuelewa nini maana ya utu.
hivyo vigezo vyenu vimeniacha a little bit less confident,,,sijui kupika,sijasoma sina degree,mvivu sipendi kujishughulisha,mchafu sipendi kuoga,..mnh kwa hio ndio niwe mseja for life???sitapata kweli mchafu mwenzangu?:msela:mwenye vigezo vinaendana na mie?
Vipi umesharudi Zimbabwe bi dada? Nalog offhivyo vigezo vyenu vimeniacha a little bit less confident,,,sijui kupika,sijasoma sina degree,mvivu sipendi kujishughulisha,mchafu sipendi kuoga,..mnh kwa hio ndio niwe mseja for life???sitapata kweli mchafu mwenzangu?:msela:mwenye vigezo vinaendana na mie?
Aminia Mzee wa kazi,pamoja sana. Nalog offAwe na viungo vya uzazi vya kike. Awe ana behave kike kike. Nalog off~washawasha
Wadau,naomba mniambia sifa za msichana anae faa kuwa mke!!
huyu ndo CEO wa whitedent..
hahahaahah
iiisee kwenda kwa dentist is so expensive naomba basi
nifanyie dili kidoncho basi .. hahaah maana hayo yako
yametoka mchicha mchicha....
Hapa mkubwa umeuliza SIFA hujauliza TABIA kl ki1 ktk hivyo ni muamala tofauti! Khs SIFA ili uzielewe hicho ni ktengo cha chumbani tn Ktandani huko ndy utazijua Sifa timbwiri utakalokutana nalo hapo ndy utajua msichana hucka ana acli ya Mtwara,Lindi,Tabora e.c.t Aidha kw sisi 2lio ndoani haitakua busara 2katoa Sifa za wenza we2! Na ingekua idara hiyo c nyeti mfn mi nikiweka open sifa za my wf wng humu jamvini Jf wote mtanganyikiwa! Alivyo na micfa ya ukweli. Khs tabia nako kuna ugumu wake kuzijua in a 100% coz binadamu jinc umuonavyo silka,hulka,mienendo kw nje au mbele ya pazia c kpimo cha nyuma ya pazia yu'hivyo! Muache binadamu aitwe binadamu! Nawaclisha.Wadau,naomba mniambia sifa za msichana anae faa kuwa mke!!