Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
kiongozi hakuna kitu kama hii.
sema "Meyiii" all day long hakuna kitakacho kukuta.
Hizi ni imani potofu. Na imani husababisha Brain ku react. ukiamini Nazi iliotupwa njia panda inadhuru na ukaikanyaga au kuiruka huenda ukadhurika Psychologically lkn kama huamini hii kitu hata wakikuwekea nazi Lori zima hakuna kitakachokukuta.
Imani ina athari kubwa sana ktk Ubongo.
na Ubongo ndio inayo control mwili wako wote. ukiathirika basi kila kiungo kinaathirika.
kuna watu through imani tu wanaweza kupona maradhi mengi kwa kunywa maji ya kawaida tu. kikubwa waaminishwe kuwa yale maji ni dawa KUU yenye kuponyesha hicho wanacho ugua.
hahahaaa Meyi the whole day,duh!
.