Ulimwengu wa 3D na 4D

Ulimwengu wa 3D na 4D

mkuu naona kama aujamuelewa mtoa mada vizuri kutokana na yeye kajichanganya kidogo alivyoanza na mambo ya 3D na 4D za kisayansi zaidi lakini mwisho wa uzii ameenda kwenye point yake mambo ya kumeditate na mjicho wa tatu sijui

Dunia ina mambo mkuu kwa habari ya jicho la tatu alilo lizungumzia mtoa mada ni kweli kabisa inawezekana na ukiwa na nia ya kulifungua ilo jicho litafunguka tu na utaona madudu ya ajabu ajabu
mkuu hakuna sehemu nimekataa kuwa Dunia hii ina mambo ya ajabu. tena ajabu sana.

kuna mambo nimekutana nayo ktk maisha yangu huwezi kuyaingiza kwenye science yakakubalika hata kidogo.

na kuhusu Jicho la tatu nakuhakikishia kwa asilimia 100 kuwa HUWEZI KUONA UHALISIA WWT bali utakachoweza kuona ni Uongo mkubwa na ukweli kidogo mno. na hii ni Kazi ya Majinni.

Watu wengi Duniani wamekuwa wakitumia majinni kutazama mambo yao na ya wengine sehemu mbalimbali Duniani.
Na Haya mambo yanafanyika DUNIA NZIMA.

Lkn kusema ukae peke yako ufanye meditation kisha uone bila kuingiza Ushirikina Hio kitu hakuna kaka.

unless uwe ktk influence of Drugs au mitishamba mikali inayosababisha akili ihame ktk Ulimwengu usiojulikana. na utakachokiona ni ktk yale yale uluokuwa ukitamani kuyaona.

hii wanafanya sana watu wa North America.
nimeona watu wa Peru,Na Pande za Bolivia ati wakitaka kutatua matatizo yao wanakunywa mitishamba flani kisha wanaongea na mizimu. kumbe zile zote ni Hallucination tu zinazotokana na ile mitishamba lkn Hakuna ukweli wwt ndani yake.
Ni sawa na mvuta bangi kavuta bangi kali kuliko zile alizo zoea kisha akaanza kuona maisha yake yoote yametengemaa kumbe bado anapiga debe kwenye daladala.
 
ha ha! likigoma tunakuwekea ndimu jichoni au mkojo wa mamba.. hapo utaona hadi funza watakavyokuwa wakikugombania kukutafuna siku ukiwa ardhini!
💃💃💃💃💃hizo mambo fanzeni nyinyi
 
mkuu naona kama aujamuelewa mtoa mada vizuri kutokana na yeye kajichanganya kidogo alivyoanza na mambo ya 3D na 4D za kisayansi zaidi lakini mwisho wa uzii ameenda kwenye point yake mambo ya kumeditate na mjicho wa tatu sijui

Dunia ina mambo mkuu kwa habari ya jicho la tatu alilo lizungumzia mtoa mada ni kweli kabisa inawezekana na ukiwa na nia ya kulifungua ilo jicho litafunguka tu na utaona madudu ya ajabu ajabu
Hahahahaaaaa!!ukumbafu haupungui hata jiwe akifanya elimu iwe bure! Jicho langu la tano limenionyesha hivyo,jicho! Eti jicho la tatu!! Upuuzi kabisa.
 
mkuu hakuna sehemu nimekataa kuwa Dunia hii ina mambo ya ajabu. tena ajabu sana.

kuna mambo nimekutana nayo ktk maisha yangu huwezi kuyaingiza kwenye science yakakubalika hata kidogo.

na kuhusu Jicho la tatu nakuhakikishia kwa asilimia 100 kuwa HUWEZI KUONA UHALISIA WWT bali utakachoweza kuona ni Uongo mkubwa na ukweli kidogo mno. na hii ni Kazi ya Majinni.

Watu wengi Duniani wamekuwa wakitumia majinni kutazama mambo yao na ya wengine sehemu mbalimbali Duniani.
Na Haya mambo yanafanyika DUNIA NZIMA.

Lkn kusema ukae peke yako ufanye meditation kisha uone bila kuingiza Ushirikina Hio kitu hakuna kaka.

unless uwe ktk influence of Drugs au mitishamba mikali inayosababisha akili ihame ktk Ulimwengu usiojulikana. na utakachokiona ni ktk yale yale uluokuwa ukitamani kuyaona.

hii wanafanya sana watu wa North America.
nimeona watu wa Peru,Na Pande za Bolivia ati wakitaka kutatua matatizo yao wanakunywa mitishamba flani kisha wanaongea na mizimu. kumbe zile zote ni Hallucination tu zinazotokana na ile mitishamba lkn Hakuna ukweli wwt ndani yake.
Ni sawa na mvuta bangi kavuta bangi kali kuliko zile alizo zoea kisha akaanza kuona maisha yake yoote yametengemaa kumbe bado anapiga debe kwenye daladala.
kwani mkuu unaamini kwenye habari zao kumeditate au
 
hakuna kitu kama hii Bro. hizi ni ndoto ambazo Holywood wamezipandikiza ktk vichwa vya watu.
asilimia 99 ya maneno ya watabiri wote na waganga wote NI UONGO.
Nimefanya Research miaka chungu mbovu.

Usipoteze muda wako kuzigeuza hizi fictions kuwa Reality. Hizi habari za 4 Dimension ziwache kwenye movie's tu. kinyume cha hapo utapoteza muda wako huenda ukadhurika kwa kulishwa UCHAFU na sumu na waganga wa kienyeji.
Nina uhakika asilimia mia moja hujui hata maana ya research na haujawahi kufanya research ya aina yeyote, hii ni kwa muujibu wa maandishi yako,

Pia hujui kama kuna watu wana PhD za hicho ulichokiita fiction, ujue unachekesha sana,

India kuna vyuo vikuu vinavyofundisha YOGA na hicho unachokipinga wao wanafundishwa kwa sababu kinafaida kwa jamii,
Mfano wa hivyo vyuo ni Lakurish Yoga university vice chancellor wake ni Dr Chandrasih Jhala

Wizara ya afya India hua inaazimisha dunia nzima kuhusu haya mambo kila tarehe 21 june,

Kwa hapa bongo kama upo dar uwe unaenda kila tarehe 21 june hapo uhuru stadium utawakuta wamejaa uwanja mzima,

Hujui hata Telepathy ni nini?, pre recognition ni nini? Meditation ni nini? Unachojua wewe ni hizo story za vijiweni na kuja kutamka hapa kuwa umefanya research,

Siku nyingine ukija kwenye hili jukwaa hakikisha unajua unachokisema na sio kudanganya watu.
 
kwani mkuu unaamini kwenye habari zao kumeditate au
meditation sio suala la imani bali ni practice.

hata wewe na mtu yyt anaweza ku-meditate lkn utakachokiona ktk meditation ni kile kile ambacho akili yako tayari imeshakifikiri.
hutoona Jipya au la ajabu.
Buddist wanafanya sana meditation.

hata Sisi waislamu tunapotaka kufanya ibada kwa utulivu na nidhamu ya hali ya juu tunafanya meditation lkn Hii huwezi kuita Jicho la tatu. bali ni kuilazimisha akili yako kufikiri kile UNACHOKITAKA .na vingine usivyovitaka unaviacha kitu ambacho ni kigumu kufanya bila Meditation.

ni Hilo tu.
 
Nina uhakika asilimia mia moja hujui hata maana ya research na haujawahi kufanya research ya aina yeyote, hii ni kwa muujibu wa maandishi yako,

Pia hujui kama kuna watu wana PhD za hicho ulichokiita fiction, ujue unachekesha sana,

India kuna vyuo vikuu vinavyofundisha YOGA na hicho unachokipinga wao wanafundishwa kwa sababu kinafaida kwa jamii,
Mfano wa hivyo vyuo ni Lakurish Yoga university vice chancellor wake ni Dr Chandrasih Jhala

Wizara ya afya India hua inaazimisha dunia nzima kuhusu haya mambo kila tarehe 21 june,

Kwa hapa bongo kama upo dar uwe unaenda kila tarehe 21 june hapo uhuru stadium utawakuta wamejaa uwanja mzima,

Hujui hata Telepathy ni nini?, pre recognition ni nini? Meditation ni nini? Unachojua wewe ni hizo story za vijiweni na kuja kutamka hapa kuwa umefanya research,

Siku nyingine ukija kwenye hili jukwaa hakikisha unajua unachokisema na sio kudanganya watu.
teh teh teh teh.
kwahio wao wakidhimisha siku ya Yoga tayari wewe masumbuko unaamini mia kwa mia kuna Jicho la tatu!
kaazi kweli kweli.

we Huna habari hakuna maadhimisho yenye sponsor wengi kama siku ya Mashoga Duniani?! sasa unataka kunambia wewe unakubaliana kuwa Ushoga ni kitu cha kawaida na kinafaa kupigiwa promo?
au kijana we sio rizki?
 
Jicho la tatu dili kuuubwa saaana mjini. Lifungue watu walifumue ndo utanielewa.


NB, fumbua jicho la tatu watu wachomeke ndaniiii baada ya kufyekerea mbali marinda ya sketi.
 
Kwanza nianze kwa kumshukuru Mshana Jr amekuwa msaada mkubwa kwangu kwenye kujifunza mambo mengi. Nami sasa naona nianze sasa kuwafundisha wengine ..

ULIMWENGU WA 3D NA 4D

Unajua kila mtu anaishi katika sehemu mbili; katika ulimwengu wa 3D na katika ulimwengu wa 4D. D= Dimension. / mwonekano

Katika ulimwengu wa 3D ndio huu unaoniwezesha sasa naandika haya kwenye kompyuta na nikiangalia ninaona jua magari na tunaenda shule kusoma nk. Ni ulimwengu huu ambao umeuzoea siku zote tuna kula na kunywa. Katika ulimwengu huu tunatumia macho mawili na huku tunashangaa kwanini watu wengine wanafanya miujiza wakati sisi wengine hatuwezi? Au kwanini watu wengine wanatabiri wakati sisi hatuwezi?.
Hawa watu wanaweza wakafanya hivyo kwa sababu wanaweza wakatumia jicho la tatu ambalo mtu akiwa mtoto mdogo au mchanga huwa lipo very active. Na kadri anavyozidi kuwa mkubwa jicho hilo hufumbwa na kufanya asiweze kuona tena vitu vilivyo kwenye 4D.

Watu wanafanya mambo hayo ni kwa sababu wanauwezo wa kufumbua jicho la tatu na kuona vitu vilivyo kwenye 4D. Huo uwezo wa kufumbua hilo jicho ndio unaosababisha watu wanafanya miujiza wanatabiri na wanafanya vitu vingi ambavyo havionekani.

Kwa sababu mtu amefumba jicho hilo kwa mda mrefu huwa inamchukua mda kuwa na uwezo wa kulifumbua jicho hilo. Lakini kwa maelekezo maalumu jicho hilo linaweza likafumbuka. Jicho la tatu linakufanya uone ulimwengu mwingine tunaoishi sisi ambao ni mzuri sana. Tofauti na huu ambao umeharibiwa na watu wachache. Mantiki ya sisi kuwepo ni kuufanya ulimwengu huu ufanane na ulimwengu ulio kwenye 4D. Uoga na kuogopeshwa kumewafanya watu wasiweze kabisa kuingia katika ulimwengu huo.

Nitajaribu kueleze jinsi ya kuingia katika ulimwengu huo hatua kwa hatua na ndipo sasa utaanza kujielewa wewe mtu ni wa namna gani? Je! ni nguvu gani uliyo nayo ambayo umefungwa na watu wachache walioweka kanuni zao ili wewe upumbazike.

*Jicho la tatu ndilo linalotufanya tuone vitu kwenye ulimwengu wa 4D*

Kwa sababu ni mda mrefu sana haujawahi kulitumia jicho hilo ni vyema kuanza kufanya mazoezi jinsi ya kulitumia. Tafuta sehemu iliyotulia. ambayo hakuna kelele kelele. Au ikiwezekana jifungie chumbani na uzime taa. Hatua utakazo fanya ni unakaa vizuri mikono yako weka kwenye magoti.

Fumba macho yako haya mawili. Kaa kimya kwa mda wa dakika kama 6 - 10 hivi. Vuta hewa kwa kutumia pua na itoe kwa kutumia mdomo. Fanya hivyo taratibu taratibu. wakati mwingine ukiwa unaanza utasikia kichwa kinauma. Usihofu hiyo ni kawaida.

Anza kutoa sauti kwa taratibu ukisema MEYIIIIIIIIIIIIII, MEYIIIIIIIIIII. Bada ya mda jicho la tatu litaanza kufunguka taratibu. Kwa sababu mda mrefu hujawahi kulifumbua utaona giza giza vitu vitu usivyo vielewa. Fanya hivyo kwa mda wa wiki mbili tayari utakuwa umezoea utaanza kuwa na uwezo sana.

Utaanza kujua vitu vingi sana na kuanza kujielewa sasa wewe ni nani na una nguvu gani. Nitakueleza siri hiyo wanatumia akina nani na inaleta matokeo gani. Hakuna uchawi hapa mtu asikudanganye. Ni wewe tu jinsi ya kujielewa.

Karibu tuujifunze kwa pamoja (theory na practical)
Inatofauti gani na meditation?
 
Nina uhakika asilimia mia moja hujui hata maana ya research na haujawahi kufanya research ya aina yeyote, hii ni kwa muujibu wa maandishi yako,

Pia hujui kama kuna watu wana PhD za hicho ulichokiita fiction, ujue unachekesha sana,

India kuna vyuo vikuu vinavyofundisha YOGA na hicho unachokipinga wao wanafundishwa kwa sababu kinafaida kwa jamii,
Mfano wa hivyo vyuo ni Lakurish Yoga university vice chancellor wake ni Dr Chandrasih Jhala

Wizara ya afya India hua inaazimisha dunia nzima kuhusu haya mambo kila tarehe 21 june,

Kwa hapa bongo kama upo dar uwe unaenda kila tarehe 21 june hapo uhuru stadium utawakuta wamejaa uwanja mzima,

.
Mbona upo nje ya Mada
hujajibu lolote ila umemkashifu kuwa jamaa hajui lolotwe kuhusu 4D
mwenzako kasema ACHENI KUTULETEA UONGO
na ni kweli hamjagusia 3D wala 4D
mnatuletea YOGA mara sinema
kwanini usiingie Google au Wikipedia
kupata maana ya 3Dimension au 4Dimension
ni tofauti kabisa na hizo YOGA
1538503553969.png
 
meditation sio suala la imani bali ni practice.

hata wewe na mtu yyt anaweza ku-meditate lkn utakachokiona ktk meditation ni kile kile ambacho akili yako tayari imeshakifikiri.
hutoona Jipya au la ajabu.
Buddist wanafanya sana meditation.

hata Sisi waislamu tunapotaka kufanya ibada kwa utulivu na nidhamu ya hali ya juu tunafanya meditation lkn Hii huwezi kuita Jicho la tatu. bali ni kuilazimisha akili yako kufikiri kile UNACHOKITAKA .na vingine usivyovitaka unaviacha kitu ambacho ni kigumu kufanya bila Meditation.

ni Hilo tu.
...nilijua tu nyie wavaa visuruali vifupi ni short sight mno...mnachojua na kuamini ni jua kuzama matopeni tu
....hamko tayari kabisa kupokea elimu mpya vichwani mwenu..hopeless kabisa nyie
 
Back
Top Bottom