Maelezo ya kwenye Red ndiyo maelezo ya Nyerere ninayemfahamu!!
Kigarama,
Hata mimi. Nilikuwa namjibu Ribosome ambaye alitaka kutuaminisha kuwa Nyerere alikubali yaishe kimya kimya.
Siku hizi za mtandao huwezi hata kumdanganya mtoto mdogo. Utaumbulika.