Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!


Klorokwini in ze haus!!!...nakweli
ulikuwa wapi siku zote!Karibu tena.



...Sssshhhhhhhh!!!!!!....kimya kimya,....yule babu yako 'mwanga!' LOL!

Nasikia harufu ya Conspiracy Klorokwini..........ulilianzisha ukadisapia...................limeendelea umekaa kipembeni, linakamilika ndo watokea?! mwe!!
Ulikuwa wapi siku zote weye?

"Nimejikuta moyo wangu umependa!"
"nikatingishwa kaa kibuyu cha mganga!"
(source: bongo fleva)

msiulize zaidi wakuu, maana kwasasa JF nitakuwa naingia kwa dharura tu kama msalani.

senks Moskwito, naomba michango ya halusi nizuwie mimi, fellow tablet aspirin sjawahi kumuamini kwa feza na vigori hata sekunde.
 
Hah TF.....nawe waungana na Klorokwini!!..............tutawaweka kwenye kamati ya maandalizi!!
Sasa niseme yes to what? The romantic proposal or the ring??

Mbu ulikuwa wapi siku zote??
Inabidi mfanye fasta kabla babu hajaibuka mzee, utashushwa busha asa hivi

...mnh, kile kibabu kama Mzee Joti wa Orijino Komedi kikiamka patakuwa hapatoshi hapa, ni bora niipate hiyo YES chap chap...la sivyo "wazimu wa mchinja mbwa utanirudia"
 
"Nimejikuta moyo wangu umependa!"
"nikatingishwa kaa kibuyu cha mganga!"
(source: bongo fleva)

msiulize zaidi wakuu, maana kwasasa JF nitakuwa naingia kwa dharura tu kama msalani.

senks Moskwito, naomba michango ya halusi nizuwie mimi, fellow tablet aspirin sjawahi kumuamini kwa feza na vigori hata sekunde.


Hii post naisoma katikati ya herufi!!..........Klorokwini in Love?? au?
Hahhaha umenifurahisha ulivyojipigia pande....haya nisikunyime uhondo.... sasa hivi lol
(Ila nihakikishiwe tu kuwa huyu bwana kapata kibali toka kwa 'Souldmate' wake ..................lol
 
"Nimejikuta moyo wangu umependa!"
"nikatingishwa kaa kibuyu cha mganga!"
(source: bongo fleva)

msiulize zaidi wakuu, maana kwasasa JF nitakuwa naingia kwa dharura tu kama msalani.

senks Moskwito, naomba michango ya halusi nizuwie mimi, fellow tablet aspirin sjawah

i kumuamini kwa feza na vigori hata sekunde.

aaah swahiba... hebu cheki video hiyo mtoto anavyong'aa... cant wait to hear this from MJ
YouTube - ‪Shania Twain - From This Moment On‬‏
 
Hii post naisoma katikati ya herufi!!..........Klorokwini in Love?? au?
Hahhaha umenifurahisha ulivyojipigia pande....haya nisikunyime uhondo.... sasa hivi lol
(Ila nihakikishiwe tu kuwa huyu bwana kapata kibali toka kwa 'Souldmate' wake ..................lol
mimi ndio lawyer wa Mbu, huyo soulmate unaemuongelea mbona hayuko kwenye file zangu?, sema Yes bana! kuna mdada hapa pembeni yangu anasubiri "Yes" tu alembee vigelegele hewani. hakyababu uswahilini kuna wambeya! khaaa!
 
...hapo anakaribia kuumaliza mti kwa kukata vijani na kuvishindilia vidoleni...
Jibu basi bana...kurudia proposal mwiko...LOL!

Na silog out mpaka nishuhudie jibu laivu kama nilivyoshuhudia lunar eclipse majuzi.

aaah swahiba... hebu cheki video hiyo mtoto anavyong'aa... cant wait to hear this from MJ
YouTube - ‪Shania Twain - From This Moment On‬‏

Mbona napata hisia kuwa haki yangu inabakwa hapa??........sijui nimwamshe Babu?! lol.
Afu Klorokwini its not fair ujue.....................

Mbu nikikataa proposal itamaanisha sikupendi?? lol leo ninalo
 
mimi ndio lawyer wa Mbu, huyo soulmate unaemuongelea mbona hayuko kwenye file zangu?, sema Yes bana! kuna mdada hapa pembeni yangu anasubiri "Yes" tu alembee vigelegele hewani. hakyababu uswahilini kuna wambeya! khaaa!

...mnh, Klorokwini ile flash disk yenye code names MJ aka Liberian Girl ndiye huyo huyo Soulmate!
basi tu anataka niuvunje mwiko hapa ni propose mara ya pili...!
Nimekutoa huko kwenye fungate uje u sign papers hapa, vumilia tu...kama ilivyokuwa Lunar Eclipse majuzi...!
 
Mbona napata hisia kuwa haki yangu inabakwa hapa??........sijui nimwamshe Babu?! lol.
Afu Klorokwini its not fair ujue.....................

Mbu nikikataa proposal itamaanisha sikupendi?? lol leo ninalo

MJ, make us proud.... and i wll definitely go for an early luch today....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom