Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Sasa Babu si tujue pa kuanzia?? We unawezanithaminisha Laki mbili ukaona umenithaminisha wakati mwenzio Mbu yu tayari kutoa milioni huoni kama utakuwa unajidhihirishia kuwa hujalea vema mjukuu wako? na kuwa Mbu ndiye anayeijua vema thamani ya mjukuu kuliko Babu? ngoja atupe ceiling!

ha ha ha, huyu babu yako anakufundisha ku bargain eeh? ha ha ha...
mahari haimalizwi malipo yake,...kila siku ni ku top-up mpaka kifo kitapotutenganisha.

Nyie wawili hapo juu..... msifikiri nimeondoka........... am watching!

...LOL!...Kibabu kimepandishia matofali kinapiga chabo,...utaporomoka ukose hip replacement!
 

Nilazima uwe na roho ngumu sana la sivyo pressure lazima ikupande na kukushuka, ebu fikiria unaye miaka mitano na hujawai kuperekwa topeni alafu gafla siku moja unashangaa anakuzamisha topeni! mara unapata raha yake na kustaajabu raha ya Dunia mwisho wa hiyo raha utasema? au utasema asante sana kesho pia lete ubunifu mwingine! ahaa haa hatari sana!
Hahahahah...dah!..... ubunifu zaidi ya topeni tena? labda kwenye pua au sikioni LOL
 
Hahahahahhh sasa Mbu..hebu ntumie via bluututhi basi hizo zivimbisha tumbo!! Maana nina shaka ntaanzafungiwa ndani nisitoke.


Hapa nimetoka kapa sijaelewa......sasa kitanda cha nani kisichozaa haramu?



Sasa Mbu wataka ukose kabisa mwana na maji moto..Babu mchaga we wamwimbia nyimbo? Mwekee harufu ya pesa na sauti ya sarafu bana!!
Kitanda cha babu...au kuthaminisha unafikiria inafanywa kijuujuu? Mpaka nihakiki kama mjukuu ni productive.... ikinasa, mahari inaongezeka.......mahari ya mgumba na ya mzalishaji haipaswi kuwa sawa....LOL
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
ha ha ha, huyu babu yako anakufundisha ku bargain eeh? ha ha ha...
mahari haimalizwi malipo yake,...kila siku ni ku top-up mpaka kifo kitapotutenganisha.



...LOL!...Kibabu kimepandishia matofali kinapiga chabo,...utaporomoka ukose hip replacement!
Hahahaahaaaaaa tumekwishakuona kuwe wewe ni 'potential candidate' so mimi na Babu tunadu the nidful

hahahhaaaa Babu hajalala!!
 
ha ha ha, huyu babu yako anakufundisha ku bargain eeh? ha ha ha...
mahari haimalizwi malipo yake,...kila siku ni ku top-up mpaka kifo kitapotutenganisha.



...LOL!...Kibabu kimepandishia matofali kinapiga chabo,...utaporomoka ukose hip replacement!
Sidanganyiki......AM STILL WATCHING
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahaahaaaaaa tumekwishakuona kuwe wewe ni 'potential candidate' so mimi na Babu tunadu the nidful

hahahhaaaa Babu hajalala!!
Ntalalaje wakati kuna jambawazi linataka kuingia kwenye hema yangu kwa nguvu?

naona umesharudi kwenye sense zako, natangulia kitandani. Ngoja nimtume bibi sokoni... akikutuma wewe useme unaumwa tumbo...sawa eh?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kitanda cha babu...au kuthaminisha unafikiria inafanywa kijuujuu? Mpaka nihakiki kama mjukuu ni productive.... ikinasa, mahari inaongezeka.......mahari ya mgumba na ya mzalishaji haipaswi kuwa sawa....LOL

Nashusha pumzi sasa hapa........naamini kabisa Mbu hapa atabwaga manyanga!! mwe Babu kwa staili hii ntaolewa kweli mie!!
 
Hahahahahhh sasa Mbu..hebu ntumie via bluututhi basi hizo zivimbisha tumbo!! Maana nina shaka ntaanzafungiwa ndani nisitoke.!!

naona, keshaanza Ooohh vaa jeans!...mnh!....

Sasa Mbu wataka ukose kabisa mwana na maji moto..Babu mchaga we wamwimbia nyimbo? Mwekee harufu ya pesa na sauti ya sarafu bana!!

ataelewa tu, wa pwani mie...! Tumewafanya hata morani wa kimasai wawe walinzi na wasusi wa kinadada siku hizi!
Hapa mjini nitamtafutia kigoli wa kindengereko amlee lee kwanza wakati akitafakari maamuzi yake...
 
Nashusha pumzi sasa hapa........naamini kabisa Mbu hapa atabwaga manyanga!! mwe Babu kwa staili hii ntaolewa kweli mie!!
Utaolewa tu, kwani watajua? Huyu moskwito amekuja kibabe ndo maana nikaitoa hii siri.....shhhhhhhh usimwambie mtu, sawa eh?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
naona, keshaanza Ooohh vaa jeans!...mnh!....



ataelewa tu, wa pwani mie...! Tumewafanya hata morani wa kimasai wawe walinzi na wasusi wa kinadada siku hizi!
Hapa mjini
nitamtafutia kigoli wa kindengereko amlee lee kwanza wakati akitafakari maamuzi yake...
Sasa haya mayuziful points kama haya si ungenambia kwa PM?.agrrrrrrrrr! Hebu delete kabla Mjukuu mtiifu hajayasoma.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ntalalaje wakati kuna jambawazi linataka kuingia kwenye hema yangu kwa nguvu?

naona umesharudi kwenye sense zako, natangulia kitandani. Ngoja nimtume bibi sokoni... akikutuma wewe useme unaumwa tumbo...sawa eh?

Hahahhaah we Asprini hebu kwenda kule mwone vile unanifundisha tabia mbaya.
Haya siesta imekwisha............ rudi kwenye mada kama bado inarudika!

Ulikuwa wapi siku zote?........... ila kwa hili shost alichemka.................unajua Babu kina dada sometimes tunatakiwa tujifanye malaika...........hata ukikissiwa jifanye unashangaa na kujivisha kile kijiaibu cha kike as if ndo umekissiwa kwa mara ya kwanza!! kuna raha yake kumfanya mwanaume ajione yeye ndo yeye kwenye hili tendo! Mwe sasa ukianzajifanya na weye unacompete naye basi lazima uonekane guberi!
 
Hahahhaah we Asprini hebu kwenda kule mwone vile unanifundisha tabia mbaya.
Haya siesta imekwisha............ rudi kwenye mada kama bado inarudika!

Ulikuwa wapi siku zote?........... ila kwa hili shost alichemka.................unajua Babu kina dada sometimes tunatakiwa tujifanye malaika...........hata ukikissiwa jifanye unashangaa na kujivisha kile kijiaibu cha kike as if ndo umekissiwa kwa mara ya kwanza!! kuna raha yake kumfanya mwanaume ajione yeye ndo yeye kwenye hili tendo! Mwe sasa ukianzajifanya na weye unacompete naye basi lazima uonekane guberi!
Mi nahisi alidhani akimsifia jamaa bichwa litapanda........ ingekuwa ni first date, hapo kingeeleweka. Lakini mtu mna miaka mitano anakufanyia jambo ambalo ye mwenyewe anahisi atakukwaza...amejiandaa kukutaka radhi endapo utakwazika badala yake unamjia na ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?....khaa!
 
Kitanda cha babu...au kuthaminisha unafikiria inafanywa kijuujuu? Mpaka nihakiki kama mjukuu ni productive.... ikinasa, mahari inaongezeka.......mahari ya mgumba na ya mzalishaji haipaswi kuwa sawa....LOL

ha ha ha hhaaahha!....e bana weeee!!!!

Utaolewa tu, kwani watajua? Huyu moskwito amekuja kibabe ndo maana nikaitoa hii siri.....shhhhhhhh usimwambie mtu, sawa eh?

...hapana bana, staili za Mbu kung'ata zipo za aina mbili....

kuna ile ya kimya kimya....wakati usingizi ushamchukua mtu...anapoamka asubuhi anajikuta na mapele..
halafu kuna ile ya ku 'Buzzzzzzzzzzzzz......!' masikioni....ukigeukia kule na 'buzzzzzzz......!' sikio la pili almuradi mpaka ujifunue shuka
nipate kunyonya poenye steki nzuri...

sasa huyu mjukuu wako alivyo damu moto halafu wewe unajidai umejifunika gubi gubi...aaarrrghhhh!
 
ha ha ha hhaaahha!....e bana weeee!!!!



...hapana bana, staili za Mbu kung'ata zipo za aina mbili....

kuna ile ya kimya kimya....wakati usingizi ushamchukua mtu...anapoamka asubuhi anajikuta na mapele..
halafu kuna ile ya ku 'Buzzzzzzzzzzzzz......!' masikioni....ukigeukia kule na 'buzzzzzzz......!' sikio la pili almuradi mpaka ujifunue shuka
nipate kunyonya poenye steki nzuri...

sasa huyu mjukuu wako alivyo damu moto halafu wewe unajidai umejifunika gubi gubi...aaarrrghhhh!
Hivi duka la silaha liko Upanga mtaa gani?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahhaah we Asprini hebu kwenda kule mwone vile unanifundisha tabia mbaya.
Haya siesta imekwisha............ rudi kwenye mada kama bado inarudika!

Ulikuwa wapi siku zote?........... ila kwa hili shost alichemka.................unajua Babu kina dada sometimes tunatakiwa tujifanye malaika...........hata ukikissiwa jifanye unashangaa na kujivisha kile kijiaibu cha kike as if ndo umekissiwa kwa mara ya kwanza!! kuna raha yake kumfanya mwanaume ajione yeye ndo yeye kwenye hili tendo! Mwe sasa ukianzajifanya na weye unacompete naye basi lazima uonekane guberi!

ha ha ha, duhhhh Mwj1 umebadilisha toka external service mpaka matangazo ya kifo....kwa wale wenzangu na mie RTD nadhani mtakumbuka External Service ndio tulikuwa tunakauwezo ka kusikiliza Abba, Bee Gees, Diana Ross et al... halafu lazima ilikuwa kusikiliza matangazo ya vifo, maana hatukuwa na mobile fone kama nyie wa kizazi kipya!

Back to topik!

Mwj1 kwa nilivyokusoma ni kana kwamba ni sahihi kwa mwanadada ku fake Oragsm, au?
Kwanini a fake jamani? Mimi namfagilia huyo mdada kulisema hilo la 'ulikuwa wapi siku zote'
Ningelikuwa huyo braza, wallahi hata nisingekwenda jisifia kwa wazee wenzangu...

Kwani kuambiwa hivyo na mwanamke wako ina maana kipindi chote kilichopita Push-ups zote "was equal to Zero!"


Mi nahisi alidhani akimsifia jamaa bichwa litapanda........ ingekuwa ni first date, hapo kingeeleweka. Lakini mtu mna miaka mitano anakufanyia jambo ambalo ye mwenyewe anahisi atakukwaza...amejiandaa kukutaka radhi endapo utakwazika badala yake unamjia na ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?....khaa!
 

"Ama fimbo ya mbali haiui joka!"....:music:...heri mie sijasoma wala kusikia lolote...
hivi nilikuwa wapi siku zote?

Klorokwini nae yupo wapi hizi siku zote?
he he he!....

aisee.....:A S 114::A S 114:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom