Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ehee nawe limekufika lipi?? ...mwe humu ndani watu waonevu !!
Wanamwonea babu wivu.... maskini hawajui babi ni joka la Kibisa? Halina meno na haling'ati......... unalichezea utakavyo.

Kagoma hujaona hicho kikatuni chake?
Mgomo wa nini sasa? Mjukuu hawezi kuwa mpenzi wa babu yake? LOL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom