Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote?........... ila kwa hili shost alichemka.................unajua Babu kina dada sometimes tunatakiwa tujifanye malaika...........hata ukikissiwa jifanye unashangaa na kujivisha kile kijiaibu cha kike as if ndo umekissiwa kwa mara ya kwanza!! kuna raha yake kumfanya mwanaume ajione yeye ndo yeye kwenye hili tendo! Mwe sasa ukianzajifanya na weye unacompete naye basi lazima uonekane guberi!

Now you are talking MJ....
.... look for a book 'straight talk, no chaser - its brilliant

common views to the 'elites'
 
Mi nahisi alidhani akimsifia jamaa bichwa litapanda........ ingekuwa ni first date, hapo kingeeleweka. Lakini mtu mna miaka mitano anakufanyia jambo ambalo ye mwenyewe anahisi atakukwaza...amejiandaa kukutaka radhi endapo utakwazika badala yake unamjia na ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?....khaa!

Au zamani alikuwa anatumia huduma hiyo.!?
 
ha ha ha, duhhhh Mwj1 umebadilisha toka external service mpaka matangazo ya kifo....kwa wale wenzangu na mie RTD nadhani mtakumbuka External Service ndio tulikuwa tunakauwezo ka kusikiliza Abba, Bee Gees, Diana Ross et al... halafu lazima ilikuwa kusikiliza matangazo ya vifo, maana hatukuwa na mobile fone kama nyie wa kizazi kipya!


Hahahahahaaa Mbu umenikumbusha mbali sana duh........hivi kumbe nimezeeka kiasi hiki?!!


Back to topik!

Mwj1 kwa nilivyokusoma ni kana kwamba ni sahihi kwa mwanadada ku fake Oragsm, au?
Kwanini a fake jamani? Mimi namfagilia huyo mdada kulisema hilo la 'ulikuwa wapi siku zote'
Ningelikuwa huyo braza, wallahi hata nisingekwenda jisifia kwa wazee wenzangu...

Kwani kuambiwa hivyo na mwanamke wako ina maana kipindi chote kilichopita Push-ups zote "was equal to Zero!"

Mbu bwana...hujanielewa vizuri mpenzi mie ninasema kuna vile ambavyo unawezakuvicontrol kwa akili! Mfano unapomsifia mtu just tambua ni visifa gani na vivumishio vipi vya kuvumishia sifa hizo pasipoharibu au amsha hisia tofauti. Orgasm ukifake si sawa hata kidogo (wote tuna haki ya kufurahi na kuenjoy kwa nini nijinyime nikupendelee wewe?)

Ni sawa katoa hisia zake but hisia hizo hizo angewezazitoa kwa namna nyingine mfano badala ya 'Ulikuwa wapi siku zote' angeweza pia kusema 'Mpenzi aksante kwa ulichonipa leo.'
 
ha ha ha hhaaahha!....e bana weeee!!!!

...hapana bana, staili za Mbu kung'ata zipo za aina mbili....

kuna ile ya kimya kimya....wakati usingizi ushamchukua mtu...anapoamka asubuhi anajikuta na mapele..
halafu kuna ile ya ku 'Buzzzzzzzzzzzzz......!' masikioni....ukigeukia kule na 'buzzzzzzz......!' sikio la pili almuradi mpaka ujifunue shuka
nipate kunyonya poenye steki nzuri...

sasa huyu mjukuu wako alivyo damu moto halafu wewe unajidai umejifunika gubi gubi...aaarrrghhhh!

Mbu unataka Babu aniweke kwenye Freezer ili damu yangu iwe baridi......kwani lakini kunichongea namna hii?? Unanipenda kweli weye au ndo unataka kumwonyesha Babu kuwa we ni kidume.........amebaaaana we lakini kwako ameachia?!!
 
Mbu unataka Babu aniweke kwenye Freezer ili damu yangu iwe baridi......kwani lakini kunichongea namna hii?? Unanipenda kweli weye au ndo unataka kumwonyesha Babu kuwa we ni kidume.........amebaaaana we lakini kwako ameachia?!!
will-you-marry-me-300x300.jpg


Will you marry me?
 
Umeona eh? Utandawizi wa siku hizi...........hivi Mababu, Bibi wetu mbona hawakuwa na hii kitu?? (au walikuwa nayo?!)nawaza sipati jibu?

take it from me, they were waaaaayyy worse than this generation, in the sexities sex was free and wild

all those brands such as wet and wild, rough rider, kinky lover, nasty nicky etc were blowing horns
 
take it from me, they were waaaaayyy worse than this generation, in the sexities sex was free and wild

all those brands such as wet and wild, rough rider, kinky lover, nasty nicky etc were blowing horns

TF so ni kuwa sie maadili hatuna? kama haya yalikuwepo tangu enzi hizo waliwezaje kuya'fungia' ndani ya kuta nne za vymbani mwao? kwa nini sie tunashindwa??
Ah nilikuwa wapi siku zote ...........................
 
Khaaa! acha nisogeze kamera langu la betri za mchina, kuna kila dalili za mnuso wa karibuni. Hivi nilikuwa wapi siku zote?

Klorokwini in ze haus!!!...nakweli ulikuwa wapi siku zote!
Karibu tena.


Hahahhaaaaaaaaaaaaa duh hebu tusijedaiwa fees hapa...........tutakiwe kuilipa JF kwa kutukutanisha (sijui ndo blind date!!) hadi kupata kapo !! hahah
Nice one umenikumbusha siku za ujana wangu!!

...Sssshhhhhhhh!!!!!!....kimya kimya,....yule babu yako 'mwanga!' LOL!
 
Khaaa! acha nisogeze kamera langu la betri za mchina, kuna kila dalili za mnuso wa karibuni. Hivi nilikuwa wapi siku zote?

Nasikia harufu ya Conspiracy Klorokwini..........ulilianzisha ukadisapia...................limeendelea umekaa kipembeni, linakamilika ndo watokea?! mwe!!
Ulikuwa wapi siku zote weye?
 
Hahahhaaaaaaaaaaaaa duh hebu tusijedaiwa fees hapa...........tutakiwe kuilipa JF kwa kutukutanisha (sijui ndo blind date!!) hadi kupata kapo !! hahah
Nice one umenikumbusha siku za ujana wangu!!

this is sooo sweet, please MJ if you say yes i will definitely ask to be a floor manager, the most romantic thread so far
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom