TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,185
- 18,201
Ulikuwa wapi siku zote?........... ila kwa hili shost alichemka.................unajua Babu kina dada sometimes tunatakiwa tujifanye malaika...........hata ukikissiwa jifanye unashangaa na kujivisha kile kijiaibu cha kike as if ndo umekissiwa kwa mara ya kwanza!! kuna raha yake kumfanya mwanaume ajione yeye ndo yeye kwenye hili tendo! Mwe sasa ukianzajifanya na weye unacompete naye basi lazima uonekane guberi!
Now you are talking MJ....
.... look for a book 'straight talk, no chaser - its brilliant
common views to the 'elites'