Nilikutana nae Steers K'nyama - na tulimatch kabisa, lakini sasa hivi najuta kumfahamu... maana ya kwangu haikuwa happy ending.
Swali lako kama halikueleweka?! unamaanisha the most current mwandani au kwa wenye ndoa- mwenzi wake, au wanao-date bado -the semi-permanent. Maana humu jamvini yaelekea ni cheatings tu mwanzo mwisho!
Dah pole sana mkuu nenda kapime afya yako ujilizishe kwanza
Mimi wala sijapata mwandani wangu mwaya.
Wakaka wenyewe siku hizi wala hawasemi ukweli na wala si waaminifu.
du mimi nilikutana nae wakati tukinyakua na kutembea kwa mwendo wa ndege kuelekea usawa wa gudulia!.
Nilikutana nae Steers K'nyama - na tulimatch kabisa, lakini sasa hivi najuta kumfahamu... maana ya kwangu haikuwa happy ending.
lol......
mimi nilikwenda kwa mganga wa kienyeji kusafishwa mikosi.......
nikamkuta pale kwao.baba yake ndo mganga mwenyewe....
acha tu .ngoja niishie hapa.......
Duh si mchezo kwa hiyo mpaka leo anakumega?
Na mara nyingi nikienda maeneo ya UDSM huwa naukumbuka sana ule mti maarufu pale wa "mdegree" katika vimbweta vya pale ndipo nilipotolea proporsal ilikuwa mida ya usiku hivi na hall 5 na 6 ndipo palikuwa "matrimonial home"
Nilifahamiana naye humu JF