Ulikutana wapi na mwandani wako?

hatuko pamoja tena, ila nakumbuka siku tuliyokutana kulikua na mvua kubwa sana, and i had an umbrella,since he had no umbrella na aliku anyeshewa na mvua,nikamwambia we can share my umbrella na alikubali.baada ya muda mfupi daladala ikaja na wote tukapanda daladala moja before droffing off tukapeana namba za simu na mawasiliano yakaendelea and we ended up dating for two years.mimi sikujua kama he had some aliyekua anasoma australia,muda wake wa masomo ulivyoisha akarudi nchini na hapo ndipo nilipoambiwa , SORRY,I LOVE U SO MUCH BUT I NEVER TOLD U THAT I WAS ENGAGED TO THIS OTHER LADY.....<br />
<br />
Iliniuma saana.........<br />
ila siyo mbaya najua Mungu atanipa mwingine
<br />
<br />
mwngne n mm!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom