Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,405
Nakumbuka siku hiyo sikukaa nyumbani, ilibidi nitoke mimi mwenyewe nikaenda mafichoni nakujitafakari, kweli mimi nitaitwa baba? Na majukumu yangu yatakuwa wapi?
Nikakumbuka msemo wa wahenga, unaosema, 'mwanamke akikuzalia ina maana amekupenda' vinginevyo anaweza akatoa ujauzito wako au akapachikwa ujauzito na mtu mwingine, kisha akakudanganya ni ya kwako.
Kwa furaha niliyokuwa nayo, sikutaka ata awe anafanya kazi; muda mwingi nilikuwa nambusu busu tu, pamoja na kurutubisha ujauzito wake; ukichangia na ile hali ya joto joto, pamoja na uzuri wake ilikuwa ni hatari zaidi.
Na mtoto alipokuja kuzaliwa, sura ilifanana na baba yake; Sijui kwa sababu alirutubishwa sana?
Wakuu; Ulipata furaha gani, siku ile mkeo alipokuambia ana ujauzito wako?
Nikakumbuka msemo wa wahenga, unaosema, 'mwanamke akikuzalia ina maana amekupenda' vinginevyo anaweza akatoa ujauzito wako au akapachikwa ujauzito na mtu mwingine, kisha akakudanganya ni ya kwako.
Kwa furaha niliyokuwa nayo, sikutaka ata awe anafanya kazi; muda mwingi nilikuwa nambusu busu tu, pamoja na kurutubisha ujauzito wake; ukichangia na ile hali ya joto joto, pamoja na uzuri wake ilikuwa ni hatari zaidi.
Na mtoto alipokuja kuzaliwa, sura ilifanana na baba yake; Sijui kwa sababu alirutubishwa sana?
Wakuu; Ulipata furaha gani, siku ile mkeo alipokuambia ana ujauzito wako?