Satirical Yet Awesome
JF-Expert Member
- Oct 11, 2023
- 338
- 652
Nahisi kuna mapepo ya kunywa pombe yananifatilia.
Mzee wangu huwa anapenda kuhifadhi pombe kwenye fridge, yaani ukifungua fridge hukosi pombe, anapendaga aina ya Heineken na desperados.
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
Huwaga anani onya sana kuhusu matutizi ya pombe, na huwa namsikilizaga sana, sijawahi kunywa pombe zake.
Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Kwaio swali langu sasa, Ulianza kunywa pombe ukiwa umri gani na kitu gani kilikushawishi?
Mzee wangu huwa anapenda kuhifadhi pombe kwenye fridge, yaani ukifungua fridge hukosi pombe, anapendaga aina ya Heineken na desperados.
Zikiisha kweny fridge, utamsikia "Oya dogo natoka mara moja narudi asaiv"....akirudi lazima awe amebeba bia za kutosha.
Mama kaongea sana hadi kachoka kuhusu tabia ya kuhifadhi bia kweny fridge ila mshkaji hata aelewi.
Huwaga anani onya sana kuhusu matutizi ya pombe, na huwa namsikilizaga sana, sijawahi kunywa pombe zake.
Ila sikuiz nikiziona huwa naziangaliaga sana, natamani hata nionje kidogo.
Kwaio swali langu sasa, Ulianza kunywa pombe ukiwa umri gani na kitu gani kilikushawishi?