Ule upendo wa kweli bado upo?

Ule upendo wa kweli bado upo?

Upendo upo kwa mama na mtoto tu, huko kwingine ni ubatili mtupu.

Labda mazoea ila sio upendo. Hutaki acha.

Imagine mondi angekuwa apeche unafikiri kila mwanamke angetamani kuzaa nae?

Leo zali kesho, hamisa, mara Tanasha, na sasa ni zuchu, mpunga baba ohhhh
 
wamekuwa adimu sana, siku hizi.
Sio adimu kiukweli upendo una gharama zake!!! je uko tayari???
1 kuvumilia
2 kuheshimu
3 ukweli tupu
4 tutokusalitiana
5 kuwa muelewa kwa chochote kile
6 kuheshimu maamuzi na faragha ya mwenza wako.
7 daima kusimama na mwenzi wako hata kama dunia ikishindwa kumuelewa.
8 kumjali na kuhudumia kifedha , kiakili na kimwili.
na mengine mengi.

Upendo upo na bado upo endapo tu mtu akiwa tayari kuupata.
 
Sio adimu kiukweli upendo una gharama zake!!! je uko tayari???
1 kuvumilia
2 kuheshimu
3 ukweli tupu
4 tutokusalitiana
5 kuwa muelewa kwa chochote kile
6 kuheshimu maamuzi na faragha ya mwenza wako.
7 daima kusimama na mwenzi wako hata kama dunia ikishindwa kumuelewa.
8 kumjali na kuhudumia kifedha , kiakili na kimwili.
na mengine mengi.

Upendo upo na bado upo endapo tu mtu akiwa tayari kuupata.
Noted! niko ready... ila kumpata sasa
 
Back
Top Bottom