Matunzo 02
JF-Expert Member
- Jul 7, 2026
- 754
- 1,510
tena kubwa nawaza niendeko mbinguni nikamuombe M-ngu anitegenezee wa kwangKazi tunayo...
tena kubwa nawaza niendeko mbinguni nikamuombe M-ngu anitegenezee wa kwangKazi tunayo...
Aaaah¡ ok.Mimi ni mkulima huku Ikungulyabashashi Mkuu
Hongera dadaupendo huo bado upo. niliupata na nina ishi nao
Hahahaaa umenikumbusha, kuna thread humu inasema sijui. kama tungekuwa na uwezo wa kuumba mwanamke unayemtaka ungechagua yupi. watu nikaona wamewahi kwenye makebo.tena kubwa nawaza niendeko mbinguni nikamuombe M-ngu anitegenezee wa kwang
asanteHongera dada
Huo upendo uliupatia wapi? sisterasante
Manyanza soma hapaupendo huo bado upo. niliupata na nina ishi nao
Niliupata kwa mshikaji mmoja hivi,, akanipokea jinsi nilivyo akaniweka nikakaa hapo tukaishi humo mpaka sasa.Huo upendo uliupatia wapi? sister
Mwamba Id yako ni ya kibabe sanaNdio bado upo, ila sikuhizi una tagline inasema "vigezo na masharti kuzingatiwa"
wamekuwa adimu sana, siku hizi.Niliupata kwa mshikaji mmoja hivi,, akanipokea jinsi nilivyo akaniweka nikakaa hapo tukaishi humo mpaka sasa.
wew ugeumba wa aina gan? MkuuHahahaaa umenikumbusha, kuna thread humu inasema sijui. kama tungekuwa na uwezo wa kuumba mwanamke unayemtaka ungechagua yupi. watu nikaona wamewahi kwenye makebo.
Hahahaaa dah!wew ugeumba wa aina gan? Mkuu
Kwa kweli... au ndo watu wasiojulikana!Mwamba Id yako ni ya kibabe sana
Kuna mchongo anauwinda kwako stukaUpendo upo mimi ndo natoka bafuni kuogeshwa na shem wenu na maji ya moto
Sio adimu kiukweli upendo una gharama zake!!! je uko tayari???wamekuwa adimu sana, siku hizi.
hahah inatakiwa upate binti mm kuna binti huku kaja kumsalimia mgonjwa namlia taimigi anashinda ndani tu nawaza njia za kumuopoaHahahaaa dah!
namba 6 fulani, hivi imejaza breasts halafu na..... au basi mawazo yameanza kuwaza ngono tu!
Noted! niko ready... ila kumpata sasaSio adimu kiukweli upendo una gharama zake!!! je uko tayari???
1 kuvumilia
2 kuheshimu
3 ukweli tupu
4 tutokusalitiana
5 kuwa muelewa kwa chochote kile
6 kuheshimu maamuzi na faragha ya mwenza wako.
7 daima kusimama na mwenzi wako hata kama dunia ikishindwa kumuelewa.
8 kumjali na kuhudumia kifedha , kiakili na kimwili.
na mengine mengi.
Upendo upo na bado upo endapo tu mtu akiwa tayari kuupata.