Dr William Mtanzania Real
Member
- Jul 10, 2024
- 31
- 24
Najua umetaniaNimetania tu
Asante mkuu
😊Najua umetania
Mikoani labdaBado upo sana.
🤣 Ila huna uhakikaNasikia upo🤔
Ni kweliUpo sana tu. Changamoto ni namna ya kuutambua.
Je kuna kiumbe ambacho kina miaka 28+ kiwe single?,kwa akili ndogo kabisa hili linawezekana? Au ni kuongopeana tu.Kwanini umpende mtu ambaye tayari ni mtu wa mwingine?
Kama ukisoma ile reply yangu niliyo ku-quote utanielewa.
Upendo wa kweli ni kujipenda mwenyewe. Haina sababu ya kulia kilio cha mbwa koko baada ya kuangukia kwenye upendo usio sahihi.
🤣🤣🤣🤣Kinachofuata nakijua
Umenena vema mkuu,kinaanza na sisiUnajua mimi hua najiuliza wao ndiyo hawawezi kukupenda kwa moyo wote ni Sawa.
Lakini hua naulize je " Is it necessary for me to ruin my good soul just to fit an ugly society " jibu ni no.
Unajua hua nasemaje ? Maybe the love you're searching for in other people is the love you'll find once you start loving yourself.
Kwahiyo Sister Abigail kila kitu kipo kwenye hii dunia lakini kianze na wewe 😊
Kuna kuachwa kuachanaJe kuna kiumbe ambacho kina miaka 28+ kiwe single?,kwa akili ndogo kabisa hili linawezekana? Au ni kuongopeana tu.
Nkwambie kitu Abigail ? unaamini the process?Umenena vema mkuu,kinaanza na sisi
Tunajipa mema,upendo tutajipa lakini kutafuta Kwa mwenzio ni vibaya?
Lakini Watu wanahitajiana.
Familia Bora zingejengwa vipi?
Ke au Me ?Je kuna kiumbe ambacho kina miaka 28+ kiwe single?,kwa akili ndogo kabisa hili linawezekana? Au ni kuongopeana tu.
Sawasawa!ukiwa na upendo wa dhati unawakera unaowapenda,watu wana mambo yao hawataki kugandanaInasikitisha sana saizi ukiwa na uo upendo unaonekana kero kwenye macho ya nyama
Nimekuelewa mkuuNkwambie kitu Abigail ? unaamini the process?
Kama unaamini basi amini pia kama wewe unamoyo wa kupenda na moyo mzuri.
Vivyo hivo kunamtu mwingine yupo kama wewe somewhere, a good people will always find you hii napin kama testimony one day utakuja kuirudia tena na kuamini hiki nnacho sema 📌
Unajua kua upendo pia ni mafanikio ? Na kama ni mafanikio basi yanahitaji muda mpaka kukufikia iwe kwa kuchelewa au kuwahi .. 😊😊
Anakuona kama umekosa pa kwendaSawasawa!ukiwa na upendo wa dhati unawakera unaowapenda,watu wana mambo yao hawataki kugandana
Kabisa!hii dunia ya ajabu sana aiseAnakuona kama umekosa pa kwenda
Dada yangu kila kitu inatakiwa kiwe ni "Kiasi ", ukizidisha sana unaharibu na ukipinguza sana unaharibu pia.Sawasawa!ukiwa na upendo wa dhati unawakera unaowapenda,watu wana mambo yao hawataki kugandana