Manyanza
Platinum Member
- Nov 4, 2010
- 20,098
- 46,224
Unashangaa nini ? Najipenda mwenyewe na nina upendo na wengine piaπππ ππππππ
Unashangaa nini ? Najipenda mwenyewe na nina upendo na wengine piaπππ ππππππ
Wewe mwenyewe hujanielewa broKwanini umpende mtu ambaye tayari ni mtu wa mwingine?
Kama ukisoma ile reply yangu niliyo ku-quote utanielewa.
Upendo wa kweli ni kujipenda mwenyewe. Haina sababu ya kulia kilio cha mbwa koko baada ya kuangukia kwenye upendo usio sahihi.
Haya MzeeUnashangaa nini ? Najipenda mwenyewe na nina upendo na wengine pia
Mi sikuelewi bwanaπEti upo serious twende, twende wapi binti! wakati ndo tumefika sasa hivi au wewe ni Abby Msafiri π, ni safari mpaka kieleweke!
Utanielewa siku nyingine usijaliπ€, bye kwa sasa!πMi sikuelewi bwanaπ
Haya usiku mwemaUtanielewa siku nyingine usijaliπ€, bye kwa sasa!π
Awww π€£π€£π€£Haya Mzee
Ntakuongezea na wanguπ€£
Lakini kwanini uhisi haupendwi na mtu fulani mpaka uone kwamba upendo haupo ?Wewe mwenyewe hujanielewa bro
Mtu wa mwingine sio lazima ujue wazi kuna mtu ana mpenda yeye ndiyo anajua
Mleta mada hajaongelea kujipenda kaongelea mtu A kumpenda mtu B
Tujifunze kuelewa mada
Umezeeka.huna habari?π€£π€£π€£Awww π€£π€£π€£
Nshakuwa mzee tena mara hii?
wengi tunapata kutoka kwenye tamaa zetu siyo kwa BWANAMbona wanasemaga MUNGU anakupa wa kufanana na wewe! kwa hiyo hii michengano inatoka wapi?
Kuna fungu la mithali linasema mke mwema hutoka kwa BWANA! kumpata sasa eh....wengi tunapata kutoka kwenye tamaa zetu siyo kwa BWANA
Mi nilijibu kulingana na uzi bro hata hivyo kuishi kama panga sio poaLakini kwanini uhisi haupendwi na mtu fulani mpaka uone kwamba upendo haupo ?
Mimi naona ukijipenda na kujithamini mwenyewe inatosha na inaziba ile hali ya kuhisi unakosa upendo.
Just a thought
Weeee Mi brand π€£π€£π€£Umezeeka.huna habari?π€£π€£π€£
yule mwanamke wa mithali 31 ameshabaki kwenye biblia tu dunia hii kumpata ni kaziKuna fungu la mithali linasema mke mwema hutoka kwa BWANA! kumpata sasa eh....
Kazi tunayo...yule mwanamke wa mithali 31 ameshabaki kwenye biblia tu dunia hii kumpata ni kazi
Brand hiyo kwiooWeeee Mi brand π€£π€£π€£
Hii user name mkuu, kuna jamaa hapa job ndo jina lake au ndo wewe?Unashangaa nini ? Najipenda mwenyewe na nina upendo na wengine pia
Doooh π€£π€£π€£π€£Brand hiyo kwioo
Mimi ni mkulima huku Ikungulyabashashi MkuuHii user name mkuu, kuna jamaa hapa job ndo jina lake au ndo wewe?