Ule upendo wa kweli bado upo?

Ule upendo wa kweli bado upo?

Kwanini umpende mtu ambaye tayari ni mtu wa mwingine?
Kama ukisoma ile reply yangu niliyo ku-quote utanielewa.

Upendo wa kweli ni kujipenda mwenyewe. Haina sababu ya kulia kilio cha mbwa koko baada ya kuangukia kwenye upendo usio sahihi.
Wewe mwenyewe hujanielewa bro
Mtu wa mwingine sio lazima ujue wazi kuna mtu ana mpenda yeye ndiyo anajua

Mleta mada hajaongelea kujipenda kaongelea mtu A kumpenda mtu B
Tujifunze kuelewa mada
 
Wewe mwenyewe hujanielewa bro
Mtu wa mwingine sio lazima ujue wazi kuna mtu ana mpenda yeye ndiyo anajua

Mleta mada hajaongelea kujipenda kaongelea mtu A kumpenda mtu B
Tujifunze kuelewa mada
Lakini kwanini uhisi haupendwi na mtu fulani mpaka uone kwamba upendo haupo ?

Mimi naona ukijipenda na kujithamini mwenyewe inatosha na inaziba ile hali ya kuhisi unakosa upendo.

Just a thought
 
Back
Top Bottom