Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,112
- 12,785
- Thread starter
- #181
Kwanini
Wanandoa mna kazi…
Wanandoa mna kazi…
Tuendelee kutafuta mkuu..kama sie tunao tutapata wa kufanana naoNo No,kwani unazungumzia upendo wa agape???
Kwakweli nina muda sana kuona,ata mm nautafuta sana,kuna wimbo ameimba jamaa mmoja anaitwa ambwene mwasongwe unaitwa upendo wa kweli nadhani ndicho unazungumzia.
😄😄Umebaki kwa wahadzabe tu
Nimelia sana😭😭😭Mkuu,
Sasa hivi mtu atakupenda kw vile kuna kitu, una kitu, kipo anachokiona kwako, kikipotea tu na huo anaouita upendo unayeyuka. Watu wanaishi kimkakati sana nyakati hizi.
Huyo Espy_ asikudanganye, hata maana ya upendo tu haijui vizuri.
kwanin tusiende au njia ya kwenda mbinguni imepata mafuriko?Hahahaaaaaa
kwa hari hii mkuu, mbinguni tutaenda kweli.?
Kama hakuna pesaNampenda na pesa zake🤣🤣
Huohuo nliouongeleaNdio upi huo?
Na mbado-yajayo yanashangaza zaidi. Stay tuned.Sawa mkuu
Ndio mambo yalipofikia Kwa Sasa😊
Kwanini zisiwepo sasa?Kama hakuna pesa
Hahahahaaaakwanin tusiende au njia ya kwenda mbinguni imepata mafuriko?
kuna dadagu hapa tu japo kaolewa ila ananiambiaga mtu aliyembikri hata akimjaribu tu anampa shinda za kuoa mke wa mtu sitakHahahahaaaa
upo lakn migwaruzano na kumrestart lazima. Mda mwingne upendo inabidi uulazishe pia uvumilivu lakin inafka mda inakulazimu ufanye kama reboot ndo maisha yasongeMopak njoo uone hii...
Kinachofuata nakijuaKwanini zisiwepo sasa?
Watch your back. Trust nobody.Tufanyeje Sasa..
Tuwe wahuni?
Hapana usiwe muhuni bado unapendwa Ila kata marafiki wanafikiNgoja niwe muhuni tu na kujipenda mwenyewe
Nimetania tuHapana usiwe muhuni bado unapendwa Ila kata marafiki wanafiki
Bora kupambana kivyako tu
Nasikia upo🤔Naulizia ule upendo unaopenda toka moyoni Kwa Nia ya dhati.
Ule upendo ambao hauangalii una Nini au we ni nani au ukoje,unaakuangalia moyo wako.
Unaowaunganisha watu Kwa mioyo Yao na sio walivyo navyo.
Ule upendo ambao hata ukiporomoka Hadi 0 mwenzio bado anakwambia nipo nawe.tutatafuta tutapata na Maisha yataendelea.
Ule upendo hata ukiwa hoi unaumwa mfano umepata ajali bado mwenzio yupo pembeni yako,anakwambia utakuwa sawa na Maisha yataendelea.
Ule upendo unaojali bila ubinafsi.
Ukipatwa na aibu yuko mstari wa mbele kukusitiri
Unapojikwaa ndie wa kwanza kukuinua
Unaoheshimu viapo na ahadi.
Bado upo?
Maana siku hizi ndoa zinavunjika kirahisi sana.
Ukikosa kazi tu mwenzio huyo anaondoka. Akiona unachelewa kuzaa kashatafuta mimba nje
Ukipata ajali au ugonjwa ukakuacha mlemavu msahau!
Wanandoa wanakimbiana.watoto wanatelekezwa.
Mtu anaamua kuwa nawe sababu unaweza kumpa hiki ama kile lakini sio Kwamba anakupenda wewe kama wewe.
Wengine huenda Hadi madhabahuni kula kiapo ila after few months anaondoka.
Ama mwingine anaingia sababu unaweza mpa ndoa lakini hakupendi,unaletewa mimba sio zako,anafanyana na anaowapenda na kukuletea wewe damu sio zako.
Anazaa watoto nje Kwa anaowapenda lakini hawana vigezo vya kuwa wake,yuko nawe sababu unafit na uko tayari kuwa mke.
Upendo genuine kabisa ule upo?