Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Dunia ya sa hv kingereza ni lazima ukijue tena vizur ..tusijidanganye kabisa ..... Kwa Kenya haina shida wale ni waswahili Tu fresh , lakn zaidi ya yote kingereza ni lazima ukijue ili utoboe ....hyo ni international language..acheni ujinga wa jiwe wa kujifungia ndani na kuwakomoa wananchi wake na mikodi ya ajabu ajabu alaf hela zianenda kwenye midege huko mnabaki mnashindia majani ya michicha na ugali
Unaandika mambo meeeeengii... ujinga mtupu! — Kuandika kwenyewe hujui.

Ni sawa, Kiingereza kina umuhimu wake. Lakini pia kina mahala pake.

Tutambue mahala sahihi pa kukizungumza.
 
Kwanza, English haikwepeki dunia hii, jifunze tu kama huwezi utaishi sana kwa stress.

Pili, Rais Samia hajasema atahutumia Kiingereza au Kiswahili tayari wewe umemhukumu na kuja na upumbavu wako.

Kama hujui, Kikwete amewahi kuhutubia bunge la Kenya na alitumia Kiswahili.

Nina uhakika kuwa umahiri wangu wa kuzungumza Kiingereza ni mara mia mbili zaidi yako.

Sibabaiki kwa sababu ninakijua vilivyo.

Kwahiyo usinitishe tishe hapa bwana mdogo.
 
Uganda siku ile, pamoja na waganda kukijua kiswahili lakini hadhira ile ilihusisha pia na wawekezaji wa bomba la mafuta ambao hawajui kiswahili bali kiingereza, kuna sababu gani kulazimisha kiswahili kama Magufuli aliyekuwa hajui hiyo lugha nyingine?
 
Uganda siku ile, pamoja na waganda kukijua kiswahili lakini hadhira ile ilihusisha pia na wawekezaji wa bomba la mafuta ambao hawajui kiswahili bali kiingereza, kuna sababu gani kulazimisha kiswahili kama Magufuli aliyekuwa hajui hiyo lugha nyingine?
Lazima lugha inayotumiwa iakisi "hadhira pana" inayolengwa.

Hao unaowaita wawekezaji walikuwa hawazidi hata kumi.

Lakini kulikuwa na maelfu ya wananchi ambao walihitaji kusikia mambo yakizungumzwa kwa Kiswahili.

"Muktadha". Zingatia sana.
 
Uganda akiongea Kiingereza, sawa tu manake wale jamaa wana bifu na Kiswahili!!

Kenya, kwa kuwakomoa tu, anapaswa atumie Kiswahili manake Kiswahili wanakijua vizuri lakini kutokana na ulimbukeni wao wa kumsujudia Mzungu, wanajifanya hawakijui!!
Ujue pia akiwa pale Nairobi bungeni atakua haongei na wakenya pekee, balianaongea na jumuiya ya kimataifa kupitia bunge la Kenya. Peleka watoto shule waweze kupambana duniani mkuu.
 
Lazima lugha inayotumiwa iakisi "hadhira pana" inayolengwa.

Hao unaowaita wawekezaji walikuwa hawazidi hata kumi.

Lakini kulikuwa na maelfu ya wananchi ambao walihitaji kusikia mambo yakizungumzwa kwa Kiswahili.

"Muktadha". Zingatia sana.
Kwa Uganda pale unadhani kuna mtu hakumuelewa? Pengine angeongea kiswahili ndio wengine wasinge muelewa
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Ukitaka kuendelea kuonekana kituko kwenye nchi za Commonwealth endelea kuongea Kiswahili.

Hivi mnataka kuendelea na UMBUMBUMBU wa Mwendazake ambaye anadai ana PhD ya Chemistry lakini hawezi kutengeneza sentensi ya English yenye correct grammar??

Hapana, Hapana, Hapana. Tutaongea Kiswahili kwenye masuala yetu lakini kwenye jumuiya za kimataifa kuna lugha 7 kubwa; Chinese, English, French, Portuguese, Spanish na Russian
 
Back
Top Bottom