Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,413
- 31,403
Mkubwa, sidhani kama Kiswahili linazuia mtu kujua lugha nyingine hasa katika zama hizi..kuna kitu kinaitwa " WORKING LANGUAGE " ambacho Watz lazima tufahamu maana yake.
..working language maana yake ni lugha rasmi zinazotumika ktk shughuli na mawasiliano ya shirika fulani la KIMATAIFA.
..tunapotafuta kazi ktk MASHIRIKA NA TAASISI ZA KIMATAIFA ni lazima tuwe na uwezo wa kuwasiliana ktk working languages zinazotumika ktk mashirika hayo.
..Ni vizuri kuipenda na kuienzi lugha yetu ya Kiswahili, lakini tuzingatie ukweli huo hapo juu.
cc Chige, Nguruvi3, Masanja
Wahindi wana lugha zao na utamaduni wao lakini bado wanazungumza lugha kama ya kiingereza kwa ufasaha
Nchi za nje wanajifunza Kiswahili licha ya kuwa lugha zao ni kubwa.
Katika 'working language' hili ni sehemu moja ya umuhimu, lakini pia kuna suala la maarifa.
Maarifa mengi yamefichwa katika lugha zingine, na ili tuweze kupiga hatua lazima tujifunze
Hivi kwanini Wajaluo wanazungumza lugha tatu na isiwe sisi Watanzania? Ndivyo wawemba walivyo n.k.
Kiswahili ni lugha yetu, lakini katika dunia ya leo 'working language' n.k. zinahitajika