Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Ukitaka kuendelea kuonekana kituko kwenye nchi za Commonwealth endelea kuongea Kiswahili.

Hapana, Hapana, Hapana. Tutaongea Kiswahili kwenye masuala yetu lakini kwenye jumuiya za kimataifa kuna lugha 7 kubwa; Chinese, English, French, Portuguese, Spanish na Russian
Commonwealth ipi wewee, wacha kujitutumua hapa.

Nina uhakika hata maana tu ya "Commonwealth" huijui.

Haya kamanda, hebu tueleze... "Commonwealth" ni kitu gani?
 
Ujue pia akiwa pale Nairobi bungeni atakua haongei na wakenya pekee, balianaongea na jumuiya ya kimataifa kupitia bunge la Kenya. Peleka watoto shule waweze kupambana duniani mkuu.
Kwani anapoongea Bungeni, Tanzania inakuwa hakuna watu wa mataifa ya nje?! Btw, suala la kuongea Kiingereza/Kiswahili linahusiana vipi na kupeleka mtoto shule?
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
english ndio international language. hakuna ubaya kama hadhara anayoenda kuhutubia ina uelewa.
 
Japo sikijui vizuri kiingereza ila kiingereza, kina maneno ikiyasema unaonekana yanatoka moyoni kabisa. Mfano mtu akikuambia, Nakupenda, na mwingine akakuambia i love you🤣🤣😁😁 kuna tofauti kubwa sana.

Mwache mama aongee lugha anayoona akiongea atafikisha ujumbe. Maana hata hao wakenya wanatuona hatujui hii lugha ya malkia.
 
Nina uhakika kuwa umahiri wangu wa kuzungumza Kiingereza ni mara mia mbia zaidi yako.

Sibabaiki kwa sababu ninakijua vilivyo.

Kwahiyo usinitishe tishe hapa bwana mdogo.
Isijekuwa kiingereza chako ni kama kile cha Jiwe au mlachako?
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Mleta mada sema wewe hujui English . Kinakusumbua na umekichukia . Samia anamudu lugha hiyo na huhitaji kumuwekea mipaka .

Rais akiwa ugenini kule hawahutubii waTz wenye matatizo na English . Bali anawahutubia wenyeji wake wenye uelewa wa English . So si lazima uhangaike na hotuba ya Rais akiwa ughaibuni. Subiri Msigwa atakutafsiria.
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
J. K. Nyerere alishasema English ndo Kiswahili cha dunia.. pamoja na kukikuza sana Kiswahili, alikijua Kiingereza vilivyo.

Ukiamua kujifunga kongwa la Kiswahili pekee ni juu yako
 
Uganda akiongea Kiingereza, sawa tu manake wale jamaa wana bifu na Kiswahili!!

Kenya, kwa kuwakomoa tu, anapaswa atumie Kiswahili manake Kiswahili wanakijua vizuri lakini kutokana na ulimbukeni wao wa kumsujudia Mzungu, wanajifanya hawakijui!!
Kenya mtaaniu wanaongea Kiswahili, hata kiongozi akiwa anahutubiua wananchi naongea Kiswahili, taarifa ya habari mara nyingi pia wanasoma pia kwa Kiswahili Kikwete alipohutubia Bunge la Kenya alitumia Kiswahili

Tofauti na Uganda, waganda wengi Kiswahili hawafahamu
 
Tupeleke watoto shule ...tuache kujificha kichaka cha kiswahili....watoto waweze compete karne hii yenye ushindani mwingi sana
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.

Kiingereza anachoenda kuongea ni cha kusoma, na kusoma anaweza. Ww sema hutaki aongee hicho kiingereza ili kumfichia aibu Magufuli maana alikuwa hakiwezi. Asiyejua kiingereza huku kwetu kuna uchambuzi wa hicho atakachokuwa ameongea.
 
Uganda akiongea Kiingereza, sawa tu manake wale jamaa wana bifu na Kiswahili!!

Kenya, kwa kuwakomoa tu, anapaswa atumie Kiswahili manake Kiswahili wanakijua vizuri lakini kutokana na ulimbukeni wao wa kumsujudia Mzungu, wanajifanya hawakijui!!
Kiswahili ni lugha ya kupigia Majungu na kufanyia ushirikina. Ni lugha duni isiyoweza kukusogeza kokote kwa maana, zaidi ya kuwasiliana na wanyonge a.k.a makondoo wenzako.
 
Back
Top Bottom