KOSA LA WALIMWENGU HUWA MBAHUKUMU MTU KWA KUSIKIA STORY BILA USHAHIDI NA SIKU MKIPATA USHAHIDI HUWA NI TOO LATE..
Mnangeni sana mzee bakhresa lakini ukweli msioujua ndio unaowafanya mtoe kauli chafu mithili ya kinyesi!
-"hata wayahudi walimhukumu MASIHI kwa habari za kusadikika ila walipougundua ukweli ikawa too late....
.
.
.
.
MZEE BAKHRESA NAAMINI NI MTU SAFI SANA KWA ULIPAJI KODI NCHINI KWA KUTUMIA "MFUMO WA KAMPUNI NDOGONDOGO ALIZO NAZO NA SI as "GENERAL COMPANY"...
"NINAHOFU ANAWEZA KUHAMISHA BIASHARA ZAKE TUKAKOSA HATA YALE MABILIONI AMBAYO HUWA ANAYALIPA..maana hili jambo lilipaswa kufanyika kimya kimya na kwa weledi kwa kumuita na kumweleza kiunda ili kumpa TIME LIMIT ya ulipaji wa deni kama kweli BANDARI YAKE ILI SABABISHA WENGINE WASILIPE KODI.
**Hata marekani haya yapo ila huwa yana malizwa kiutalaam ba maofisa husika na siyo kama sisi hapa ,JAMBO DOGO UNAITA HADI WAANDISHI WA HABARI NA KULISAMBAZA KWA UMMA ILI KUJIOATIA UMAARUFU WA KIJINGA WA KISIASA!
-ALIPASWA KUPEWA HESHIMA YAKE HUYU MR.BAKHRESA"