Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Dhambi mbaya sana, yaani mtu tajiri kama Bakhressa anakwepa kulipa kodi?
Na ndiyo maana ni tajiri, asingekuwa tajiri hivyo kama angekuwa hadhulumu mahali fulani iwe kwenye ulipaji kodi, au ulipaji wafanyakazi kulingana na uzalishaji wao n.k ni lazima kuna mahali anadhulumu na ndiyo maana ni bilionea!