ivi bakhresa ela zake anapeleka wap? kuna mtu yoyote mtaan kwao kuna mtu anafanya kazi kwa bakhresa alafu ana maisha mazuri? mbona wafanyakaz wanaofanya kwa bakhresa mtaan ni choka mbaya? ushaona mfanyakaz wa bakhresa ana gari, nyumba nzuri nk...... alafu nackia kukwepa kodi sio kwa makontenan tu hata mishahara wengi analipa kwa bahasha dirishan haina kodi wa nssf iyooooo alafu kila ijumaa eti watu wanapanga folen kupewa misaada ya buku tano tano anajifanya mshika dini pumbav sana!!!!
Yeah bila upinzani imara rais angekuwa Membe na mambo yangekuwa business as usual.
Jifunze kidogo,hapo ndio utafanya magufuli achukiwe na waislam.mkwepa kodi ahukumiwe kwa kukwepa kodi kwake na si kwa dini yake.chuki zako kwa waislamu zisikupunguzie uwezo wako wa kufikiri.
duh we mama chuki tu za kidin huna lolote ngoja bakhresa aje na majibu,unadhani ni gwajima yule
Mbona nasikiaga na muislam swafi na anatoaga sadaka kila ijmaa!
Sim gani labda naeza saidia maarifanaomba muwe mnaweka na maandishi maana simu zetu wengne hazifungui hayo mafaili mnayo yaupload
Huna akili wewe!!! mijizi ya escrow inatoka wapi? Lowassa ,chenge,tibaijuka,mengi ,wanaswali msikiti gani? sumaye anaswali msikiti gani? tutolee wazimu wako hapa,watawajibishwa kama wakwepa kodi wengine sio kwa sababu wanatoka dini fulani nyau wewe!! idadi kuubwa ya walisimamishwa kuanzia muhimbili mpaka TRA ni wale wanaabudu sanamu mshenzi wewe,ukileta kashfa hata sisi tunazijua zaidi yako ,ita mods wanipe ban kwa sababu nimekutukana
Sawa, ngoja tuone.Watabaki wafanyakazi waajiriwa wanaolipa kodi(PAYE) kamili na halali tena kuliko mfanyabiashara mwenye the same income.
Wewe endelea kuabudu watu tu. Ndio maana mnaidhia kulinda milango ya maduka ya wahindi. Huko Burundi wakamchukue kama hawahitaji kodi yake. Hapa Tanzania kila mtu atalipa Kodi hata kama anamtambo wa utoa pumzi ya kupumua kwa watanzania.
Na ndiyo maana ni tajiri, asingekuwa tajiri hivyo kama angekuwa hadhulumu mahali fulani iwe kwenye ulipaji kodi, au ulipaji wafanyakazi kulingana na uzalishaji wao n.k ni lazima kuna mahali anadhulumu na ndiyo maana ni bilionea!
Unaongea nonsense.Bakhresa ni taasisi kubwa imeajiri watu wengi.
Si ajabu ufisadi hufanyika bila yeye kujua.
Ila linapotokea tatizo kama hili ndipo shoda hutokea, atakaeonekana mkwepa kodi ni bakhresa mwenyewe kumbe kuna mti kajinufaisha kwa mgongo wa syndicate
Watu wengine bongo zimejaa funza. Mjadala majambazi yanayokwepa kodi,wao wanaugeuza kuwa udini. Hizi dini za wakoloni zimetufanya matahiri. Jambazi hana dini.
sio kwamba amekwepa kodi. hayo mkontena yamepita bandari yake bila kulipiwa kodi. maafisa wa TRA hapo kwake ndo wamecheza mchezo. yeye amesimamishwa kupokea mizigo kwa kuwa hakuisaidia serikali kukusanya kodi hapo bandari kavu kwake kama masharti yanavyoelekeza. hapo bakhresa hausiki, ila watendaji wa TRA na wale aliowaamini kuendesha ICD yake! inaonekana hayo makontena yalitoka bila ya kuwa na 'release order' kitu ambacho wangetakiwa kushtuka na kuripoti mapema ila hawakufanya hivyo na ndio maana wanaadhibiwa!