Ukweli utabaki kuwa ukweli

Kazi ngumu sana ushazoea ukiamka unaenda kazini lazima ujipange upate kashughuli cha kufanya nje ya hapo baada ya kustaafu. Mama gwamaka mimi sipendi kustaafu kama sijajipanga lazima niwe na ofisi zaidi ya moja niwe nasimamia mwenyew
Inapendeza Sana kipenzi,na katika hizo ofisi 2 mbili moja iwe bakery๐Ÿค—๐Ÿค—๐Ÿค—
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น huyu atakuwa mzabzab alisema engineer ๐Ÿคฃ
Acha ufala na wewe mie nikapande bajaj ya nini wakati nipo na machine ya ukweli boxer 150...inapepea kama nini.
Yeah nipp site hapa namtafutia level boss wangu....najenga nyumba kwa bei nafuu kabisa hasa ukiwa mwanamke basi nasimamia ujenzi buree kabisa muhimu uwe unakuja site umevaa crop top na leggings
 
Kumbe kapo zinapatina huku!
Kama mlianzia inbox, ilitakiwa muishie inbox, maana wakati mnakubaliana hamkutushirikisha
 
Ni wewe bhana na pima maji yako ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Siku nyingine tena guys mko pouwa? Mafundi najua mida hii mko site ๐Ÿคฃ

Marry leo uje uwataje saidia fundi..!!
 
Wewe ni chokambaya wa kwanza.
 
Mwenziooo nachekaaa hapaa, hadi machoziii.
Hadi sahivi, wanaume wa JF, boss ni mume wangu tyuh Mjep

Woiiiiiiiiih ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Siulisema upo single juzi tu sasa why umefunga ndoa bila taharifa dada yangu,๐Ÿ™„
 
Kwani bado haujapona?
 
Umeshusha brand ya JF...

JF na iheshimiwe na watu watu
 
Ushapanda bajaji tuonane hapa kwa mfuga mbwa au wewe unataka twende kiwanja kipi fundi ujenzi wanguโ€ฆ!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Ila marry falah sana yani nikikumbuka mbavu zaniuma..!! Matajiri wa JF bhana..!!๐Ÿคฃ
Jamani kusema ukweli ni ufala kumbe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ