Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Utaachwa msichana shaur yakoπNakosajee aunt? Ancoh wako kachoka kunikataza ubuyu na udaku, nilimuambia kati ya wee na udaku na ubuyu, nani kamkuta mwenzie kwangu?
ππππππ
Utaachwa msichana shaur yakoπNakosajee aunt? Ancoh wako kachoka kunikataza ubuyu na udaku, nilimuambia kati ya wee na udaku na ubuyu, nani kamkuta mwenzie kwangu?
ππππππ
Nakutafuta kma mia 8 ya mwana jfHapo si ndio kwenye shina, kwingine kote matawi, suala ni 50k!! ππ€£
Anhaaaa nimeiona π, hii thread nliiona sema sikuisoma freshMpaji Mungu nakusalimia
Hahaa... Hujanitafuta vizuri, mie mbona napatikana kirahisi kama da maria tu π€£πNakutafuta kma mia 8 ya mwana jf
πππ mambo ni mengi muda mchacheAnhaaaa nimeiona π, hii thread nliiona sema sikuisoma fresh
Ngoja nipige pasi hizi cadateπππ mambo ni mengi muda mchache
Aaah wapiii!! Msichana haachwi hapa.Utaachwa msichana shaur yakoπ
πππππHalafu huenda ni kweli si lake,maana siku ya Kwanza hakutaka niwashe radio,halafu ananyenyekea kwelikweli, mara hapo usishike,mara usiegamie hiki,halafu hafananii
ππππWataje mafogo wa jf mi naanza na yule anae ponda walimu
Aaah sasa mbona husemi? Naweza kukupenda hivyo hivyo na huna hela.Siwezi sahau maana Mimi mwenyewe nakuelewaga ni vile tu Sina hela ndio maana mapenzi nimeweka kando kidogo
πΉπΉπΉ utafika umechokaNipo hapa small planet nacheki misambwanda na mititi nje nje
Marry anazingua kweli kuwataja hao saidia fundi πΉπΉLeo awataje haswaaa, ππππ
Ntakufa kwa kihoro buree, Lol
Mi namwambia akichelewa kibao kitamgeukia yeye watamlipua..!! πΉπΉπΉYaaan awalipue haswaaa, ππππ
ππdaah hutaki mambo ya aibuNgoja nipige pasi hizi cadate
Wao mbona wanakutukana hawajali sheria za jukwaa. Hebu walipue πΉSi rahisi hivoo dada ,nitakiuka Sheria za jukwaaππ
Mods wenyewe wanasubiri kuona members wao mafogo πΉπΉπΉWee modes hawafanyi kitu, wataje bhana.
πππππ
We muache watamuwahi wamlete na kichaka chake hapa..!! πΉπΉWee Da marry hukomi tyuuh? Nakuambuaje hiyo kesho unaenda kupigwa mtungo.
Makapuku wana hasira na wee, sasa jichanganye kikulambeee.
πππππ
Alphard au sio? πΉMbona wanitisha?
Hamna huyu nadhani mstaarabu bhanaaa,mtu ana Alphard lake, namwachaje sasaππ