cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,131
Yaan, ๐๐๐Marry anazingua kweli kuwataja hao saidia fundi ๐น๐น
Yaan, ๐๐๐Marry anazingua kweli kuwataja hao saidia fundi ๐น๐น
๐๐๐๐Alphard au sio? ๐น
Ubebe nauli ushauri wa bure..!!
๐๐๐๐๐We muache watamuwahi wamlete na kichaka chake hapa..!! ๐น๐น
Hapo sasa ๐๐๐๐Mods wenyewe wanasubiri kuona members wao mafogo ๐น๐น๐น
๐๐๐๐Mi namwambia akichelewa kibao kitamgeukia yeye watamlipua..!! ๐น๐น๐น
Mie sina pakugika duniani nilishafika ndio mwanzo na mwisho wangu.๐น๐น๐น utafika umechoka
AYa sawa nafuu ukinikubalia ivyo ivyo waonekanana ni mfariji mzuri wa kunifaa kabisa hakika nitapoa .Aaah sasa mbona husemi? Naweza kukupenda hivyo hivyo na huna hela.
Jiamini bhanaa, ๐๐๐๐๐
Dada acheni dharau bhas ๐๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น
Siku nyingine tena guys mko pouwa? Mafundi najua mida hii mko site ๐คฃ
Marry leo uje uwataje saidia fundi..!!
๐๐Alphard au sio? ๐น
Ubebe nauli ushauri wa bure..!!
Astaghafillah๐คฃ๐คฃ๐คฃMie sina pakugika duniani nilishafika ndio mwanzo na mwisho wangu.
Hapa napata supu baada ya kutumikisha kibamia jana usiku. Mida mida niingie site.
Wee site yako ipo wapi nije na pima maji niweke tofali level
Mambo mrembo...ulipotelea wapiAstaghafillah๐คฃ๐คฃ๐คฃ
ephen_ kwemaMmmh...
Jambo la kheriKwema
AaliyyahAstaghafillah๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mshaanza weekend au bado? ๐นDada acheni dharau bhas ๐
Nimepanga chumba cha giza bado sijajipata ๐น๐น๐นMie sina pakugika duniani nilishafika ndio mwanzo na mwisho wangu.
Hapa napata supu baada ya kutumikisha kibamia jana usiku. Mida mida niingie site.
Wee site yako ipo wapi nije na pima maji niweke tofali level
Mimi sio fundi ujenzi.Mshaanza weekend au bado? ๐น
Matumizi mabaya ya titi hilo wape wenye hela wanyonye nae uishi masakiNimepanga chumba cha giza bado sijajipata ๐น๐น๐น