Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

😹😹😹 utafika umechoka
Mie sina pakugika duniani nilishafika ndio mwanzo na mwisho wangu.
Hapa napata supu baada ya kutumikisha kibamia jana usiku. Mida mida niingie site.
Wee site yako ipo wapi nije na pima maji niweke tofali level
 
Aaah sasa mbona husemi? Naweza kukupenda hivyo hivyo na huna hela.

Jiamini bhanaa, 😂😂😂😂😂
AYa sawa nafuu ukinikubalia ivyo ivyo waonekanana ni mfariji mzuri wa kunifaa kabisa hakika nitapoa .
 
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
Siku nyingine tena guys mko pouwa? Mafundi najua mida hii mko site 🤣

Marry leo uje uwataje saidia fundi..!!
Dada acheni dharau bhas 🙄
 
Mie sina pakugika duniani nilishafika ndio mwanzo na mwisho wangu.
Hapa napata supu baada ya kutumikisha kibamia jana usiku. Mida mida niingie site.
Wee site yako ipo wapi nije na pima maji niweke tofali level
Astaghafillah🤣🤣🤣
 
Mie sina pakugika duniani nilishafika ndio mwanzo na mwisho wangu.
Hapa napata supu baada ya kutumikisha kibamia jana usiku. Mida mida niingie site.
Wee site yako ipo wapi nije na pima maji niweke tofali level
Nimepanga chumba cha giza bado sijajipata 😹😹😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom