Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น uduguu inatosha naomba anzisha sala ya kulala..!!

SALA YA USIKU.
Tunakushukuru Mungu Baba yetu wa mbinguni kwa baraka na neema ulizotujalia siku ya leo.
Tunaukimbilia, ulinzi wako mzazi Mtakatifu wa Mungu, usitunyime tukiomba katika shida zetu, utuokoe kila siku tuingiapo hatarini, Ee Bikira Mtukufu mwenye baraka, Amina ๐Ÿ™

Haya wote kulala
Aminaaa!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Acha ufala na wewe mie nikapande bajaj ya nini wakati nipo na machine ya ukweli boxer 150...inapepea kama nini.
Yeah nipp site hapa namtafutia level boss wangu....najenga nyumba kwa bei nafuu kabisa hasa ukiwa mwanamke basi nasimamia ujenzi buree kabisa muhimu uwe unakuja site umevaa crop top na leggings
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Siku nyingine tena guys mko pouwa? Mafundi najua mida hii mko site ๐Ÿคฃ

Marry leo uje uwataje saidia fundi..!!
Leo awataje haswaaa, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ntakufa kwa kihoro buree, Lol
 
Ushapanda bajaji tuonane hapa kwa mfuga mbwa au wewe unataka twende kiwanja kipi fundi ujenzi wanguโ€ฆ!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Ila marry falah sana yani nikikumbuka mbavu zaniuma..!! Matajiri wa JF bhana..!!๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Walinzi tupoo, wee watajee bhanaa. Khaaah
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Si rahisi hivoo dada ,nitakiuka Sheria za jukwaa
Wee modes hawafanyi kitu, wataje bhana.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Akuuu,kesho weekend nimealikwa mahali, unataka wagairi,najua mafogo wapo humu wanasoma post zangu ,nisije kosa mwaliko,miye ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Si rahisi hivoo dada ,nitakiuka Sheria za jukwaa

Akuuu,kesho weekend nimealikwa mahali, unataka wagairi,najua mafogo wapo humu wanasoma post zangu ,nisije kosa mwaliko,miye ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wee Da marry hukomi tyuuh? Nakuambuaje hiyo kesho unaenda kupigwa mtungo.
Makapuku wana hasira na wee, sasa jichanganye kikulambeee.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wee Da marry hukomi tyuuh? Nakuambuaje hiyo kesho unaenda kupigwa mtungo.
Makapuku wana hasira na wee, sasa jichanganye kikulambeee.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mbona wanitisha?
Hamna huyu nadhani mstaarabu bhanaaa,mtu ana Alphard lake, namwachaje sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mbona wanitisha?
Hamna huyu nadhani mstaarabu bhanaaa,mtu ana Alphard lake, namwachaje sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wee Da Marry kuwa makini? Unaijua JF weyee?una uhakika lake? Kaazima huko ili akupate, sasa wee neng'eneka na hilo alphard kikukute kitu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wee Da Marry kuwa makini? Unaijua JF weyee?una uhakika lake? Kaazima huko ili akupate, sasa wee neng'eneka na hilo alphard kikukute kitu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Halafu huenda ni kweli si lake,maana siku ya Kwanza hakutaka niwashe radio,halafu ananyenyekea kwelikweli, mara hapo usishike,mara usiegamie hiki,halafu hafananii
 
Ushapanda bajaji tuonane hapa kwa mfuga mbwa au wewe unataka twende kiwanja kipi fundi ujenzi wanguโ€ฆ!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Ila marry falah sana yani nikikumbuka mbavu zaniuma..!! Matajiri wa JF bhana..!!๐Ÿคฃ
Nipo hapa small planet nacheki misambwanda na mititi nje nje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom