ripoti ya chande

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Ukweli ripoti ya Chande ni kituko! Aibu kwa Samia

    Hakuna hata idara yeyote inayo aminika imepongeza ripoti fake ya judge Chande. Ni mbaya kiasi kwamba imewaharibia hata washikiri wake kuaminika kimataifa hasa Sefue na Mwema wamekuwa wanajificha maana ni aibu kubwa. Kusema vijana walikufa walichomwa na mikuki, utekaji ni mambo ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Rweyongeza: Ripoti ya Chande imepikwa na watu wasiojua Hesabu

    Kuna jirani yangu ameniletea habari kutoka mitandaoni bahati mbaya au nzuri huwa sina muda wa mambo haya ya mitandao, akanambia naomba unieleweshe. Ripoti ya Chande kuhusu mauaji ya 29, Oktoba 2025, Ripoti ya Chande imepikwa na watu wasiojua hesabu, wamesema kuna vifo 518 nchi nzima wamesema...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania Jaji Juma: Kuna watu wanaokosoa bila kuwa na uelewa. Wanategemea wengine wawe wamechanganua, wanafuata wanayoyasema

    Jaji Mkuu Mstaafu Ibrahim Juma, Mjumbe wa Tume ya kuchunguza matukio ya Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu 2025, amesema hayo leo Aprili 28, 2026 wakizungumza na vyombo vya habari
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Ni maajabu ya Karne ya 22 haya! Wanatoaje ufafanuzi wa ripoti ambayo wapokea ufafanuzi haiwajui na wala hawajaisoma?

    Hii Mimi sijawahi kuona kuweweseka kwa namna hii kwa viongozi wa serikali popote duniani kama wanavyoweweseka wa serikali haramu ya Samia Suluhu Hassan na CCM... Just see what has happened today.. Eti hawa walioitwa viongozi wa Tume ya Jaji Mstaafu Othman Chande wamekuja tena kutolea...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Asasi za Kiraia (AZAKI) zaipinga vikali Ripoti ya Chande

    Kupitia ukurasa wa LHRC wamechapisha taarifa hii; Asasi za kiraia na watetezi wa haki za binadamu tuna jukumu kubwa katika jamii la kulinda na kutetea haki za binadamu, pamoja na kufuatilia masuala ya uwajibikaji na utawala bora. Baada ya Tume iliyoundwa na Rais Samia Suluhu kuchunguza matukio...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Jajiji Chande imewavua nguo na kuwaumbua Digital Sadism Content Creators wote

    Porojo zote, usushi wote, stori nonsense na uongo wote wa hata baadhi ya wadau wa JF kuhusu Oct.29.2025 umefutwa na kuzikwa rasmi na ripoti maalumu ya tume ya jaji chande, iliyojaa ukweli na uhakika wa kilichotokea Oct.29.2025. Mathalani Kuna yule mbibi mTanzania ambae pia ni kibaraka wa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Bagonza: Siwezi kusema kuwa ni nzuri au ni mbaya maana siyo yetu, nasubiri yetu

    Askofu Dkt. Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe ameandika haya katika mtandao wa FaceBook NASIKIA WAJALUO WANASUBIRI.. Iko hivi: Siwezi kusema kuwa NI NZURI au ni MBAYA maana siyo yetu. Yeye kasema ni ya kwake. Msimsumbue. Nasubiri ya kwetu. Msinisumbue tena nyie Wajaluo. Babu yenu...
  8. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania BAADA YA RIPOTI YA CHANDE, UPO UWEZEKANO WA CHADEMA KUFUTWA.

    Mwanzo wa ngoma lele, hivyo ndivyo tulivyofundishwa. Sasa hivi ni wazi mzigo wa lawama kwa yaliyotokea Octoba 29, atabebeshwa nani. Ukitaka kumuua mbwa wanasema sharti umpe jina baya. Jaji Chande katika ripoti yake kaeleza yaliyotokea yalipangwa, yaliratibiwa na kufadhiliwa. Hii ni hatua...
  9. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Chande: Hatua ya Umoja

    Sasa ni wakati wa kupona, kuwajibika na kusonga mbele kwa umoja. Ripoti hii ni hatua ya mwanzo ya mustakabali imara.#RipotiYaChande Tume Ya Uchunguzi
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Chande: Hatua Kuelekea Mustakabali Imara

    Sasa ni wakati wa kupona, kuwajibika na kusonga mbele kwa umoja. Ripoti hii ni hatua ya mwanzo ya mustakabali imara. #RipotiYaChande Tume Ya Uchunguzi
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tusikubali kuchochewa na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu, wenye maslahi binafsi kuvuruga tunu ya amani

    "...Watanzania tusikubali kurubuniwa kuharibu nchi yetu. Tusikubali kuchochewa, iwe na wanasiasa, wanaharakati, wahalifu au watu wenye chuki na wenye maslahi binafsi kwa njia yoyote ile kuvuruga tunu ya amani yetu. Tusimame imara na kwa umoja tulijenge taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Chadema unda team ya Kufanya SWOAT analysis ya Ripoti ya Chande

    Tafuteni wataalamu ndani na nje wafanye SWOAT ANALYSIS ya ripoti ya mchongo ya Chande et al. Msiache ikapita bila kuonesha STRENGTHS( kama zipo anyway),BUT za kuwasaidia ku impeach serikali zipo; WEAKNESS ( hapa ndipo pa kuichimbia), OPPORTUNITY seize this opportunity to expose the brutality of...
  13. Emilio Mzena

    JamiiForums Tanzania Kulikoni ukurasa rasmi wa Ikulu ya Tanzania huko Instagram kuzuia maoni ya Watanzania wakati wa tukio la uwasilishaji wa ripoti ya Jaji Chande?

    Waliruhusiwa machawa wachache ku-comment ili sisi wengine tulipigwa pini tusitoe mawazo yetu wakati Jaji Chande alipokuwa anawasilisha ripoti yake ya mauaji ya MO29. Kulikoni Ikulu ya Tanzania kuwa waoga na maoni ya Watanzania kiasi hiko?
  14. P

    JamiiForums Tanzania Ukimuona kwa mbali utafikiri hana akili, ukimsogelea ndio utajua kuwa ni mweupe amejaa funza, hakuna utafanya cha kumsaidia!

    Wallah tena nawaambia, ukiwa kwa mbali unaweza kudhani macho na masikio vinakudanganya maana muonekano wake unakufanya udhani ni mtu mwenye busara na maarifa, kichwani kuna nondo za kutosha, na moyoni amejaza utu na upendo! Msogelee sasa, ndio utajua kumbe fala falasi, mbinguni hayupo, akhera...
Back
Top Bottom