The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,300
Linapokuja swala la elimu nawakumbuka hayati Nyerere na Mkapa, hawa wakubwa walikuwa na dhamira ya kweli kuinua elimu ya Tanzania tofauti na awamu zingine........
Pamoja na katiba mpya kuna haja ya kudai elimu bora shule za umma kwa nguvu zote, Familia zenye uwezo mdogo zinaangamiza watoto kwa elimu dunii....
1.Sina uhakika kama saivi kama bado kuna wakaguzi wa elimu shule za msingi na secondary..
2. Sina uhakika sana kama watoto wa walimu bado wanasoma shule wanazofundisha wazazi wao...
3. Sina uhakika sana kama bado watoto wanzingatia muda wa kufika na kutoka shuleni....
4.Sina uhakika sana kama bado kuna mtendaji wa serikali kuanzia ngazi ya kata hadi Raisi wana uchungu na uduni wa elimu ya Tanzania hasa shule za umma....
5.Sina uhakika sana kama bado kuna walimu wanafundisha wanafunzi kwa upendo na kujitoa kama wanafundisha watoto wao.....
walimu wa UPE Waliupiga mwingi sana.
Pamoja na katiba mpya kuna haja ya kudai elimu bora shule za umma kwa nguvu zote, Familia zenye uwezo mdogo zinaangamiza watoto kwa elimu dunii....
1.Sina uhakika kama saivi kama bado kuna wakaguzi wa elimu shule za msingi na secondary..
2. Sina uhakika sana kama watoto wa walimu bado wanasoma shule wanazofundisha wazazi wao...
3. Sina uhakika sana kama bado watoto wanzingatia muda wa kufika na kutoka shuleni....
4.Sina uhakika sana kama bado kuna mtendaji wa serikali kuanzia ngazi ya kata hadi Raisi wana uchungu na uduni wa elimu ya Tanzania hasa shule za umma....
5.Sina uhakika sana kama bado kuna walimu wanafundisha wanafunzi kwa upendo na kujitoa kama wanafundisha watoto wao.....
walimu wa UPE Waliupiga mwingi sana.