Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,257
- 89,201
Siku ya kwanza, Mwanaume anasikiliza na Mwanamke anasikiliza, Padre ndio anaongea.
Mwaka wa kwanza wa ndoa, Mwanaume anaongea Mwanamke anasikiliza.
Mwaka wa pili, Mwanamke ndio anaongea. Mwanaume unasililiza.
Mwaka wa tatu, Mwanaume unaongea na Mwanamke anaongea, Majirani wanasikiliza.
Mwaka wa nne, Mwanaume unaongea, Mwanamke anongea, Majirani wanaongea, Wakwe wanaongea, Mashemeji wanaongea, hafu Mahakama ndio inasikiliza.
Mwaka wa kwanza wa ndoa, Mwanaume anaongea Mwanamke anasikiliza.
Mwaka wa pili, Mwanamke ndio anaongea. Mwanaume unasililiza.
Mwaka wa tatu, Mwanaume unaongea na Mwanamke anaongea, Majirani wanasikiliza.
Mwaka wa nne, Mwanaume unaongea, Mwanamke anongea, Majirani wanaongea, Wakwe wanaongea, Mashemeji wanaongea, hafu Mahakama ndio inasikiliza.