Ukweli mchungu kama UVCCM tu wanaweza kukusanya maelfu haya kwenye ngome za Upinzani hali ni mbaya zaidi 2025

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,542
2,172
Hebu angalia kwa makini video hizi kisha ufikirie Uchaguzi ujao wa 2025 katika angle ya Upinzani kupata hata jimbo moja tu,

Huyu ndio Crde Kenani Kihongosi Mkt wa UVCCM taifa huko Mkoani Geita,


 
Simple logic tu. Ukataze mikutano then Wewe peke Yako ufanye mikutano Kisha upost video kuwa "hakuna kama wewe" utakua mzima kweli wewe? Kwanini udingetafuta hata video ya ku-edit ukaweka??
Wanahamasisha sensa mkuu
 
Back
Top Bottom