matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,596
- 15,393
Aliyebuni kula liugali kubwa na kamboga kadoko au wali lumbesa na tumaharage kidogo ndio katufikisha hapa.
Tunakula ili tujaze tumbo sio kushibisha seli hai kwa virutubisho jengefu. Watu wengi tunashiba tumboni lakini seli za ubongo na za maamuzi ya msingi zinalala njaa kila siku. Matokeo yake ni ujinga, maradhi na umasikini.
Ukifanya mapinduzi ya lishe, utakuwa umefanya mapinduzi ya familia na taifa litakuwa lenye akili zenye akili.
Ni hayo tu.
Tunakula ili tujaze tumbo sio kushibisha seli hai kwa virutubisho jengefu. Watu wengi tunashiba tumboni lakini seli za ubongo na za maamuzi ya msingi zinalala njaa kila siku. Matokeo yake ni ujinga, maradhi na umasikini.
Ukifanya mapinduzi ya lishe, utakuwa umefanya mapinduzi ya familia na taifa litakuwa lenye akili zenye akili.
Ni hayo tu.