HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 175
- 212
Kama nilivyosema hakuna mtaji mzuri wa CCM kama umasikini na ujinga kwa Watanzania.
Ndio maana wanafanya kila hila ili umasikini uendelee.
Watanzania kila wakipambana hili wajikwamue na umasikini na wao wanajitahidi kuwa kwamisha
Watanzania wana bidii sana yakutafuta na serikali ina bidii sana yakuwa kwamisha.
Mfano kila Mtanzania anapo pangilia bajeti zake serikali inakuja kumuaribia wanafanya kila jambo kuhakikisha malengo ya mtu wa hali ya chini haya
Ndiyo maana kila kukicha wanamuongezea gharama raia mara tozo mara kodi ya majengo mara ongezeko la nauli na mengine mengi.
Yote haya yana haribu bajeti ya mlala hoi haya hayafanyiki kwa bahati mbaya wanafanya makusudi hili kumrudisha nyuma Ntanzania.
Kwenye ujinga wanajenga shule nyingi lakini hazina walimu hazina madawati na ndio maana shule wana zi simamia wao lakini hawapeleki watoto zao kwenye shule hizo wao wanapeleka watoto zao shule ambazo mwaka tu mtoto wake anaongea kimombo.
Lakini shule wanazo zi simamia wao miaka kumi mtu hawezi kuongea kimombo na hili ujue ujinga unafaida kwenye chama chao ngoja huone wanapo itisha mikutano yao wengi wanaojaa ni watu wa hali ya chini mtu ambaye hata kula yake haujui utakuta mtu anasombwa na gari kwenda kwenye mkutano.
unapokwisha mkutano ana baki kushangaa gari hiliomleta haioni inabidi harudi na mguu alikotoka wengi wanao hudhuria mikutano yao wengi ni wajinga na masikini utakuta mtu hata maana ya hoe hajui akiambiwa CCM hoyee yeye anajibu hoyeee.
Halafu akitoka hapo anaomba mia ya kahawa ujinga na umasikini ni mtaji mzuri kwa chama cha mapinduzi kuna baadhi ya watu wanadanganyawa na viongozi.
Kwa kuwa ambia Tanzania ina ma adui wa tatu ujinga umasikini na maradhi ni kweli ni ma adui watanzania lakini ni marafiki wa ccm hayo mambo yote matatu ni rafiki mzuri wa ccm na ndio maana kila siku wanamwagilia mbolea kwenye mambo hayo hili yazidi kuwepo kwenye umasikini kila mara wanapandisha gharama za maisha kwenye uhusiano
ujinga kila siku wanajenga shule nyingi ambazo hazina walimu kwenye maradhi wameunda tume nyingi na hizo tume zina wenyeviti utasikia mwenye kiti wa tume ya kudhibiti maralia huyo mwenyekiti anae ambiwa wakudhibiti maralia.
Anatembelea v8 ana mshahara na marupurupu kibao hivyo vyote ana vipata kwa ajili maralia kuwepo niambie wewe huyu mwenyekiti atadhibiti maralia hili kibarua chake ki ishe au ataboresha maralia hili.
Kibarua chake kiendelee kuwepo jibu unalo wewe ujinga umasikini ni tunu ya chama cha mapinduzi vitalindwa kwa gharama yoyote maana yakuandika maneno haya kamwe tusitarajie wala kuwaza wala kufikiri eti CCM inania ya ya dhati yakuwaondolea wananchi umasikini na ujinga.
Kamwe haito fanya hivyo na wala haito thubutu kufanya hivyo njia pekee ya kuepukana na haya ni kuikataa ccm kwa hali na mali
Ndio maana wanafanya kila hila ili umasikini uendelee.
Watanzania kila wakipambana hili wajikwamue na umasikini na wao wanajitahidi kuwa kwamisha
Watanzania wana bidii sana yakutafuta na serikali ina bidii sana yakuwa kwamisha.
Mfano kila Mtanzania anapo pangilia bajeti zake serikali inakuja kumuaribia wanafanya kila jambo kuhakikisha malengo ya mtu wa hali ya chini haya
Ndiyo maana kila kukicha wanamuongezea gharama raia mara tozo mara kodi ya majengo mara ongezeko la nauli na mengine mengi.
Yote haya yana haribu bajeti ya mlala hoi haya hayafanyiki kwa bahati mbaya wanafanya makusudi hili kumrudisha nyuma Ntanzania.
Kwenye ujinga wanajenga shule nyingi lakini hazina walimu hazina madawati na ndio maana shule wana zi simamia wao lakini hawapeleki watoto zao kwenye shule hizo wao wanapeleka watoto zao shule ambazo mwaka tu mtoto wake anaongea kimombo.
Lakini shule wanazo zi simamia wao miaka kumi mtu hawezi kuongea kimombo na hili ujue ujinga unafaida kwenye chama chao ngoja huone wanapo itisha mikutano yao wengi wanaojaa ni watu wa hali ya chini mtu ambaye hata kula yake haujui utakuta mtu anasombwa na gari kwenda kwenye mkutano.
unapokwisha mkutano ana baki kushangaa gari hiliomleta haioni inabidi harudi na mguu alikotoka wengi wanao hudhuria mikutano yao wengi ni wajinga na masikini utakuta mtu hata maana ya hoe hajui akiambiwa CCM hoyee yeye anajibu hoyeee.
Halafu akitoka hapo anaomba mia ya kahawa ujinga na umasikini ni mtaji mzuri kwa chama cha mapinduzi kuna baadhi ya watu wanadanganyawa na viongozi.
Kwa kuwa ambia Tanzania ina ma adui wa tatu ujinga umasikini na maradhi ni kweli ni ma adui watanzania lakini ni marafiki wa ccm hayo mambo yote matatu ni rafiki mzuri wa ccm na ndio maana kila siku wanamwagilia mbolea kwenye mambo hayo hili yazidi kuwepo kwenye umasikini kila mara wanapandisha gharama za maisha kwenye uhusiano
ujinga kila siku wanajenga shule nyingi ambazo hazina walimu kwenye maradhi wameunda tume nyingi na hizo tume zina wenyeviti utasikia mwenye kiti wa tume ya kudhibiti maralia huyo mwenyekiti anae ambiwa wakudhibiti maralia.
Anatembelea v8 ana mshahara na marupurupu kibao hivyo vyote ana vipata kwa ajili maralia kuwepo niambie wewe huyu mwenyekiti atadhibiti maralia hili kibarua chake ki ishe au ataboresha maralia hili.
Kibarua chake kiendelee kuwepo jibu unalo wewe ujinga umasikini ni tunu ya chama cha mapinduzi vitalindwa kwa gharama yoyote maana yakuandika maneno haya kamwe tusitarajie wala kuwaza wala kufikiri eti CCM inania ya ya dhati yakuwaondolea wananchi umasikini na ujinga.
Kamwe haito fanya hivyo na wala haito thubutu kufanya hivyo njia pekee ya kuepukana na haya ni kuikataa ccm kwa hali na mali