Emmanuel Njulumi
Member
- Sep 2, 2016
- 27
- 19
Acha umbumbumbu walimu ni kada ya walio soma kuliko wote mf ngazi ya cheti kada zingine wanachukua kuanzia d 4 na kuendelea lkn ualimu ngazi ya cheti wanachukua division 3 we vipi unashindwa kujiongezaNi nani aliyepata À mathematics au À chemistry ni mwalimu, walimu wengi ni watu waliofeli darasani, Mtu akishindwa Maisha anakimbilia kusoma ualimu apate ajira mapema