Ukweli kwa walimu

Ukweli kwa walimu

Si kila anaeliongoza gari kwenda mbele au nyuma basi ni dereva. Dereva ni lazima awe na mafunzo ya ziada kujua sheria mbalimbali za barabarani. Kwa uelewa huo huo mdogo hamishia kwenye ualimu utapata majibu
 
Si kila anaeliongoza gari kwenda mbele au nyuma basi ni dereva. Dereva ni lazima awe na mafunzo ya ziada kujua sheria mbalimbali za barabarani. Kwa uelewa huo huo mdogo hamishia kwenye ualimu utapata majibu
Nikweli kabisa,na watu wengi wanadhani ualimu ni kutema material tu pale mbele ya wanafunzi basi hiyo inatosha,kumbe ni zaidi ya hapo,ikiwa ni hivyo kila mmoja anaweza kuwa mwalimu
 
Si kila anaeliongoza gari kwenda mbele au nyuma basi ni dereva. Dereva ni lazima awe na mafunzo ya ziada kujua sheria mbalimbali za barabarani. Kwa uelewa huo huo mdogo hamishia kwenye ualimu utapata majibu
Fact
 
Ukweli mchungu walimu wengi ni vilaza sana, watoto wengi hufaulu masomo ya science wakifundishwa mitaani na watu ambao sio walimu, walimu wengi walipata madaraja ya mwisho hata masomo wanayofundisha wengi walifeli
Walimu hakika ni vilaza mno.
 
stress za kukosa ajira unaelekeza kwa walimu ???!!!!
 
stress za kukosa ajira unaelekeza kwa walimu ???!!!!
Hivi walimu mnasubiri Serikali iwape ajira kwani huko shuleni miaka 3 mpaka 4 mlikuwa mnafundishwa somo la kusubiri ajira za Serikali, Shame on you teachers
 
Na mtu asikudanganye kwamba kazi hupatikana kwa kuwadharau walipo kazini huo ni ujinga na kukosekana kwa elimu ,wewe kama unafundisha hesabu na uko mtaani usidhaninkuwasema walimu walio kufundisha ukafika hapo ndio kutakufanya nawewe upate kazi ni kujichuria tuu maana hapo ulipo kama ulisoma umepita katika mikono ya hao hao unao unao wananga ,kwanza sina hakika kwanza kama hata shule umesoma maana msomi yeyote hujua umuhimu wa mwalimu haijalishi awaje ,na kwa akili hizi utakaa sana mtaani kijana huku ukiendelea na majungu yako ya kuwa nanga walio kupa ujanja,
Na kama alifaulu mtaani anafanya nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujue kuwa mjinga ni gharama ndogo sana. Hivi huyo anayepata A ya hesabu na physics atakuwa alifundishwa na nani kama sio huyo mwalimu. Halaf niwambie nyie washenz kwamba kufeli ukapata c ama f sio kwamba ni mbumbumbu. Kuna watu wana akili sana ila huwa wanafeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kujua thamani ya ualimu nenda chuo ukaulize wale wanaoapply PGDE walisoma kozi zipi ngazi ya digrii?
Utashangaa wamejaa huko mainjinia kibao! Fikiria MTU anakomaa na engineering kwa miaka 4 halafu anasota mitaani miaka 4 bila ajira! Mwisho wa siku anaomba kwenda kusoma Postgraduate diploma in Education! PGDE! Tunao wengi kitaa wanashinda mitaani wakipiga tuition kwa bei chee!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli mchungu walimu wengi ni vilaza sana, watoto wengi hufaulu masomo ya science wakifundishwa mitaani na watu ambao sio walimu, walimu wengi walipata madaraja ya mwisho hata masomo wanayofundisha wengi walifeli
Safi sana mkuu
 
mwalimu ni facilitator kwa mwanafunzi,
na vyuoni hufundishwa jinsi ya kumwongoza mwanafunzi uelewa wake katika masomo,
ni vigumu sana kuelewa kama sio mwalimu,
saikologia ktk kumwongoza mwanafunzi pasina shaka hujui wewe.

acha watu wafanye kulingana na taaluma zao,
kama hijui uliza usoropoke
 
Akili zako robo. Ualimu ni zaidi ya kuwa na content kichwani. Nadhani umekosa adabu kwa sabab ulifundishwa tu na makanjanja wakasahau kukujenga kuwa rai mwema.ualimu ni zaidi ya kukupa maarifa ya darasana, ualimu unaambatana na ulezi na mambo kadhaa yafananayo. Usibeze taaluma usiyoijua. Pia umezungumzia tu walimu wa sayansi sasa na art huchelewi kusema wanaojua history na literature ni wanasheria
 
Ni nani aliyepata À mathematics au À chemistry ni mwalimu, walimu wengi ni watu waliofeli darasani, Mtu akishindwa Maisha anakimbilia kusoma ualimu apate ajira mapema
Kupata A ktk masomo hakumaanishi kuwa wewe unajua kufundisha. Kufaulu vizuri na kuweza kufundisha ni mambo mawili yasiyoendana.
 
Wewe itakuwa mpumbavu kuna na hoja kama hiyo.
Hebu angalia kwanza nn tatizo had hao unaowaita hawajui kuwa walimu.
Serikali ingekuwa imeweka kipaumbele kwa sekta ya elimu....hakika ualimu ungekuwa dili sana.
Div 1 ndo wange aply ualimu lakn ni kinyume chake
 
Ni kweli kabisa mwalimu anamchango kidogo sana kwenye ufaulu WA mwanafunzi.
 
Back
Top Bottom