Ukweli kwa walimu

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.

Hivyo hawa walimu tulionao wa Science wengi ni vilaza sana, Fuatilia masomo ya kidato cha tano wengi hufundishwa na watu ambao hawana mpango wa ualimu na wapo vizuri, Naunga mkono serikali ikague vyeti vyao walipata nini huko sekondari, utawezaje fundisha hesabu kidato cha sita wakati ulipata herufi za mwisho darasani.
 
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.Hivyo hawa walimu tulionao wa Science wengi ni vilaza sana, Fuatilia masomo ya kidato cha tano wengi hufundishwa na watu ambao hawana mpango wa ualimu na wapo vizuri, Naunga mkono serikali ikague vyeti vyao walipata nini huko sekondari, utawezaje fundisha hesabu kidato cha sita wakati ulipata herufi za mwisho darasani
Ualimu ni zaidi ya content, ualimu unahusisha maisha kwa ujumla. Kazi rahisi ni ile usiyoifanya.
 
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.Hivyo hawa walimu tulionao wa Science wengi ni vilaza sana, Fuatilia masomo ya kidato cha tano wengi hufundishwa na watu ambao hawana mpango wa ualimu na wapo vizuri, Naunga mkono serikali ikague vyeti vyao walipata nini huko sekondari, utawezaje fundisha hesabu kidato cha sita wakati ulipata herufi za mwisho darasani
Sasa hao waliochukua engineering na commerce walifundishwa na nani?!
 
Sio siri kila mtu anajua vichwa wote waliosoma PCM wanaenda engineering na wale wa PCB wanaenda udaktari.
 
Ni nani aliyepata À mathematics au À chemistry ni mwalimu, walimu wengi ni watu waliofeli darasani, Mtu akishindwa Maisha anakimbilia kusoma ualimu apate ajira mapema
 
Jamani,ukimcheka mchinja mbwa wazimu lazima upate,.sasa huyuuuu....?!
 
Jamani ee ,ukimcheka mchinja mbwa lazima wazimu upate.
Sasa huyuuu....?!
 
fanya uchunguzi kwanza kabla ya kuongea.je unajua wanachofundishwa waalimu vyuoni. na kwann awe engnier alafu umkute shulen akishika chaki wakat c eneo lake la kazi.be care
 
Dawa inawaingia walimu wa Science,uwezo wenu wa kujua masomo ni mdogo ndio maana serikali inapasa iwaverify upya
 
Unafikiria kwa kutumia kiungo gani?Ubongo upo likizo?
Hii ishu ya kuajiri walimu wote ndio imetufikisha hapa, kuna wengine wengi hawajielewi mtu hesabu alipata E form Six eti aende akafundishe hesabu wakati yeye alifeli ni ujinga uliopitiliza, Bora mtume vyeti vilaza wachujwe
 
na kama mwalimu wako alikuwa hakufundishi basi pole pia toa taalifa wapatiwe waalimu.lakin nina wasiwasi na ubongo wako.maana hata hao madaktari hufundashwa na waalimu
 
Walim wetu hawathaminiw na selkar na jamii kwa ujumla tutegemee nin. Yaan n sawa na mzaz aliemtelekeza mwanae wakat uo uo kwenye akil yake anategemea mwanae uyo uyo aje amsaidie. Walim wanauwezo mzur sana na wako vzur kwenye masomo yao, hebu selkar na jamii tuwape walim thaman na kile wanachostahl ndo tuhoj matokeo. N sawa na kuilaumu tim ya taifa stars haifany vzur akat mipango na maandaliz ya mda mref hakuna. Acha diamond akatumbuize
 
Mwalimu Nyerere naye! Jee vipi mwalimu maghufuri wote walikuwa viraza. Ngoja niwambie kitu ufaulu wa masomo sio kigezo tosha cha kumfanya mtu awe mwalimu bora! Mwalimu anaweza akapata hata hizo dvns za mwisho kama msemavyo lakini akaandaliwa vya kutosha na akawa mwalimu bora kuliko hata hao waliofanya vizuri katika masomo yao. Kitu kingine Tanzania ni nchi inayotumia mtaala mmoja kitu ambacho kwa shule za vijijini ni changamoto kwa sababu utamkuta mtoto kule kijijini anao uwezo mkubwa kuliko wa mjini anajituma kadiri ya uwezo wake mwisho wa siku anapata dvn III kutokana na changamoto za kijijini lakini yule wa mjini anapata dvns II ukiwachukua hawa wote wawili na ukawaweka ktk darasa moja na kuwandisha utabaini utofauti wao ambaye yule wa shule za kayumba tena za vijijini yuko vzr kuliko wa mjini. So I would like to conclude that, having division 1 or 2 doesn't mean of being a good teacher. Good teacher iz created no matter what divions she/he has......ni hayo tu. Think big....!!!
 
Back
Top Bottom