Ukweli kwa walimu

Ukweli kwa walimu

Kuna watu wanauwezo lakiniii mazingira ya kimaisha kiujumla yaliwakataa hasa kwa hizi comb zetu PCM na PCB so kiuchumi hawakuwa vizuri misuli yatima mingi mi nadhani usiwe unaongea na kuandika vibaya kwa watu ambao minajua wanajua na si wao mazingira we kama ulisoma na ukapewa pesa za pindi mshukuru mungu sio powa
 
Kwani nyie walimu lazima muajiriwe na serikali, Tafuteni kazi kama kozi zingine, mlidekezwa vibaya awamu ya nne, mlisoma ualimu ili kupata kazi fasta
 
Vipi aliyepata E ya Physics halafu akaenda kusomea Engineering? Naye akienda kusoma hiyo engineering anabadilika anakuwa kipanga au?
Tatizo kile chuo cha Teofil kisanji kilikuwa kinasajiri kila mwalimu shame on you science teachers
 
tujiajiri wenyewe au una maanisha nn
Mbona wenzenu walishazoea Maisha, siku hizi kwa idadi ya vyuo vilivyopo sasa walimu iwe basi nendeni mkalime kama kozi zingine, mkiendelea kusubiri serikali hata wewe ni serikali sasa sijui nani atamuajiri mwenzake ni vizuri wewe utengeneze idea sio kutegemea serikali
 
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.

Hivyo hawa walimu tulionao wa Science wengi ni vilaza sana, Fuatilia masomo ya kidato cha tano wengi hufundishwa na watu ambao hawana mpango wa ualimu na wapo vizuri, Naunga mkono serikali ikague vyeti vyao walipata nini huko sekondari, utawezaje fundisha hesabu kidato cha sita wakati ulipata herufi za mwisho darasani.

Hata hao unaowajua wanajua kufundisha wakiajiriwa na serikali hii bado wanafunzi watafeli ivi unajua mwalimu analipwa kiasi gani cha mshahara?

Kazi ya uwalimu tz ni Kazi ya kimaskini ukiamua kuwa mwalimu basi umeamua kujitia umaskini hao walimu stresi za maisha ndozinazo wafanya waichukie Kazi nakushindwa kuwasimamia wanafunzi.

Serikali yenyewe inahangaika na madawati tu ila walimu hawanampangonao unathani matokeo yatakuwa mazuri achenikuangalia upande mmoja wa shilingi fanya tafiti utajua ukweli kunawatu walistaili kupandishwa madaraja Leo mwaka hawajapanda mwalimu anaidai serikali deni tokea 2014 paka Leo hajalipwa alafu jitulinatokea linasema walimu hawajui kufundisha njoo wewe ufundishe tayaone hayo matokeo ya hao wanafunzi ambao washaoana wenyewe kwa wenyewe mwanafunzi anasmart fone ya hatari ukimchapa kila waziri atatoa matamko na kusimamishwa Kazi yote ya nini hayo au mnathani tumesahau
 
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.
maslahi
Najua wapo ambao watakata huu ukweli..!
Ualimu ni Course ambayo inasomwa na watu wengi walipata ufaulu wa kawaida sana.
Watu wengi sana wenye uwezo mkubwa sana wa masomo ya Science, huwa wanandoto za kusoma Course ambazo zitawapatia Ajira yenye kipato kikubwa kuliko Ualimu.

shinikizo; Wazazi wetu, utasikia "mwanangu usuthubutu kusoma ualimu,utakufa masikini"
Ni wazi kuwa watanzania tumewekeza sana kwenye elimu tukiwa tunaamini Elimu ndio itatufanya tuyashinde maisha baada ya masomo, na kuwa komboawazazi na ndugu zetu pia, hivyo pia huwa tunapata hata mashinikizo kutoka kwa wazazi na ndugu zetu kuwa tusithubutu kuchukua Ualimu pale wanapotuona tunamudu masomo ya science, hutupendekezea Udaktari,Uhandisi na kazi nyingine zenye mshahara mzuri.

Ualimu una dharaulika sana.
 
maslahi
Najua wapo ambao watakata huu ukweli..!
Ualimu ni Course ambayo inasomwa na watu wengi walipata ufaulu wa kawaida sana.
Watu wengi sana wenye uwezo mkubwa sana wa masomo ya Science, huwa wanandoto za kusoma Course ambazo zitawapatia Ajira yenye kipato kikubwa kuliko Ualimu.

shinikizo; Wazazi wetu, utasikia "mwanangu usuthubutu kusoma ualimu,utakufa masikini"
Ni wazi kuwa watanzania tumewekeza sana kwenye elimu tukiwa tunaamini Elimu ndio itatufanya tuyashinde maisha baada ya masomo, na kuwa komboawazazi na ndugu zetu pia, hivyo pia huwa tunapata hata mashinikizo kutoka kwa wazazi na ndugu zetu kuwa tusithubutu kuchukua Ualimu pale wanapotuona tunamudu masomo ya science, hutupendekezea Udaktari,Uhandisi na kazi nyingine zenye mshahara mzuri.

Ualimu una dharaulika sana.
Tatizo sio uwalimu tatizo serikali ivi unathani serikali ingekuwa inatoa posho kwa walimu,mshahara unaoeleweka,pesa za likizo zinatolewa kwa wakati,semina kwa walimu kila baada ya mwaka mmoja katika kuwajengea uwezo walimu mfano mwalimu tokea amalize Chuo miaka ishirini kapangiwa kijijini hajawai kupata semina yoyote ya mitaala mipya matokeo yake anafundisha kwa mazowea bado mnamlaumu uyu mwalimu kweli? Watu wanachangia vitu wasivyovijua pia uwezo Mdogo wakufikiri mtu anapata picha ya sehemu alipo then anatolea maamuzi tz kubwa hii kunawalimu wapo vijijini huko na mtihani unatungwa mmoja sio miwili alafu unategemea ufaulu sawa bila kutengeneza mazingira mazuri ni ujinga.
 
Tatizo sio uwalimu tatizo serikali ivi unathani serikali ingekuwa inatoa posho kwa walimu,mshahara unaoeleweka,pesa za likizo zinatolewa kwa wakati,semina kwa walimu kila baada ya mwaka mmoja katika kuwajengea uwezo walimu mfano mwalimu tokea amalize Chuo miaka ishirini kapangiwa kijijini hajawai kupata semina yoyote ya mitaala mipya matokeo yake anafundisha kwa mazowea bado mnamlaumu uyu mwalimu kweli? Watu wanachangia vitu wasivyovijua pia uwezo Mdogo wakufikiri mtu anapata picha ya sehemu alipo then anatolea maamuzi tz kubwa hii kunawalimu wapo vijijini huko na mtihani unatungwa mmoja sio miwili alafu unategemea ufaulu sawa bila kutengeneza mazingira mazuri ni ujinga.
Sasa si ndio maana nikasema Maslahi kwenye Ualimu ni madogo! (mi nazungumzia what is happening, wewe unazungumzia what should be done)
Halafu ukubali ukatae walimu wengi wa sasa wapo kwenye ualimu sio kwa sababu wana penda ualimu.
Wenye uwezo mkubwa na wito wa ualimu wanamashinikizo mengi ya kutoingia huko kwenye ualimu
 
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au Commerce wapo vizuri kwenye hesabu kuliko walimu waliosomea darasani.

Hivyo hawa walimu tulionao wa Science wengi ni vilaza sana, Fuatilia masomo ya kidato cha tano wengi hufundishwa na watu ambao hawana mpango wa ualimu na wapo vizuri, Naunga mkono serikali ikague vyeti vyao walipata nini huko sekondari, utawezaje fundisha hesabu kidato cha sita wakati ulipata herufi za mwisho darasani.
Kwahiyo ulikuwa unashauri nini?
 
Tanzania ipo shida sana aisee weka vyet vyako tuwek na sisi acha zarau na professional za watu tatizo mazingira so rafik usiseme walimu viraza sawa mkuu
 
Ualimu ni zaidi ya kufaulu vizuri darasani, yes anatakiwa awe na ufaulu mzuri lakini kama hana uwezo mzuri wa kudeliver kile alichofaulu ni kazi bure.

Wakati mwingine kufaulu huambatana na mambo mengi, wengine hufeli si kwakuwa hawakuwa vizuri darasani.
 
Wewe unatukana wakunga na uzazi unagalipo, mwenyewe unaweza kutumia hiyo simu kusoma msg na kuandika kwa sbb ya mwalimu ndio maana nimekwambia huna akili,na hao madaktari wamefundishwa na ww ? na hao ma engineer wamefundishwa na miguu yako, na watoto wako watafundishwa na mke wako?

jiulize vzr lazima tuwapongeze walimu kwa kazi nzuri wanazofanya .iv unafikiri kusoma kwa ajili ya kupatia kazi tu, maana ya elimu ni kujikomboa kifikra na kimawazo na iyo elimu iwe na msaada wa jamii inakuzunguka ,
 
Ukiweza kudefine ualimu maana yake, utabaini mawazo ya kumponda Mwl.hayafai kuwa humu.Wacha kuchezea taaluma ya Ualimu,
 
Ni nani aliyepata À mathematics au À chemistry ni mwalimu, walimu wengi ni watu waliofeli darasani, Mtu akishindwa Maisha anakimbilia kusoma ualimu apate ajira mapema
Alama za kwenye cheti co ualisia wa kichwani ww,watu wanafaulu kwa udanganyifu ww,mbona sasa hao wanashindwa kushindana na wakenya kwenye interviews,elimu co A,mm binafsi nawakubali sana Veta ,tuneshudia mtu amemaliza na GPA kubwa hata kujieleza kwa kingereza hawezi na cheti chake kina A
 
Wewe chizi kweli unatukana wakunga na uzazi unagalipo,wakakupime ubungo ww co mzima ww mwenyewe unaweza kutumia iyo simu kusoma msg na kuandika kwa sbb ya mwalimu ndio maana nimekwambia huna akili,na hao madaktari wamefundishwa na ww ? na hao ma engineer wamefundishwa na miguu yko ,na watoto wako watafundishwa na mke wako?jiulize vzr ukiitwa hauna akili na maanisha hauna akili kweli.lazima tuwapongeze walimu kwa kazi nzuri wanazofanya .iv unafikiri kusoma kwa ajiri ya kupatia kazi tu,maana ya elimu ni kujikomboa kifrika na kimawazo na iyo elimu iwe na msaada wa jamii inakuzunguka ,
Elimu ya makaratasi unayolazimisha serikali ikuajirî, hamna kitu tatizo vyuoni mnafundishwa nadharia sana hivyo kufundisha vizuri masomo ya science hamuwezi, Ndio maana mnawaza ajira za serikalini tu
 
Tatizo sio uwalimu tatizo serikali ivi unathani serikali ingekuwa inatoa posho kwa walimu,mshahara unaoeleweka,pesa za likizo zinatolewa kwa wakati,semina kwa walimu kila baada ya mwaka mmoja katika kuwajengea uwezo walimu mfano mwalimu tokea amalize Chuo miaka ishirini kapangiwa kijijini hajawai kupata semina yoyote ya mitaala mipya matokeo yake anafundisha kwa mazowea bado mnamlaumu uyu mwalimu kweli? Watu wanachangia vitu wasivyovijua pia uwezo Mdogo wakufikiri mtu anapata picha ya sehemu alipo then anatolea maamuzi tz kubwa hii kunawalimu wapo vijijini huko na mtihani unatungwa mmoja sio miwili alafu unategemea ufaulu sawa bila kutengeneza mazingira mazuri ni ujinga.

Mnawaza posho tu, uliposaini mkataba hukusoma Maelezo, Mbona wakulima hawapewi punguzo ya madawa na mbolea na ni wengi hawalalamiki, Utawezaje fundisha tena Biolojia ikiwa unawaza posho tu, watu wengi wasio walimu ndio wapo vizuri kwenye masomo ya science, Chukua vijana wa Agriculture Sokoine university wape mitihani mmoja na wale walimu wa Teku au Mwenge au Duce huko kuna utofauti mkubwa sana
 
Ukiweza kudefine ualimu maana yake, utabaini mawazo ya kumponda Mwl.hayafai kuwa humu.Wacha kuchezea taaluma ya Ualimu, kalale...
Serikali iachane na hawa walimu wa science
 
Haujaenda shule hata kidogo wewe, nahisi ni mpiga debe. Nenda stand kwa wenzako.
 
Back
Top Bottom